EPA, ESCROW na RICHMOND nazo zilitetewa kama inavyotetewa DP World

EPA, ESCROW na RICHMOND nazo zilitetewa kama inavyotetewa DP World

Mkuu achana nae huyo, kosa lake kubwa ni kuchukua akili yake na kuikabidhi kwa wanasiasa wetu uchwara, ambapo sasa kila linaloongelewa na wanasiasa hao lazima akubaliane nalo. Kamwe hawezi kuwa na ujanja wa kuhoji kile kinachosemwa kama ni uongo au ukweli. Lakini pia hawezi tena kutumia akili yake kufikiri nje ya box maana akili ishafungwa.

Kwenye post yangu namb #8 nimemjibu kama ulivyomjibu wewe mkuu. Kuna wajanja wanapiga hela za bure pale bandarini afu mleta mada anatumiwa kuja kuwasafishia njia bila kupewa chochote.
Nani anayepinga ubinafsishaji?
Tunachopinga sisi ni vile vipengere au yale makubaliano ni makubaliano ya kinyonyaji na kitapeli.
Yale makubaliano yanaonekana ni kama uuzaji wa bandali mazima.
 
Jambazi namba 1 linalohujumu Bandari ni CCM na UVCCM, mali zao zote hazitozwi kodi,
Baadaye zinakuja Taasisi za serikali.
 
Tumia akili badala ya mihemko unayotengenezewa na wanaonufaika na bandari huku wewe ukitumika tu kwa niaba ya mafanikio yao na familia zao.

Hiyo DP World wapo mpaka Marekani, UK na katika nchi nyingine nyingi zilizoendelea kuliko Tanzania. Na huko wamepewa bandari kutokana na sababu kama hizi hizi za kwetu.

Je unafikiri Marekani na Uingereza kuipa DP World bandari zao ni kiashiria cha wao kutokuwa na uwezo wa kulinda hata mipaka yao na maliasili zao. Dunia ya leo sio ya kujifungia kwa kuendelea kulea ujinga, kama waliwekwa hapo kwa zaidi ya miaka 50 walishindwa kufikisha malengo yaliokusudiwa na serikali kutokana na wizi wao na uvivu wao basi acha serikali itafute watu wanaofahamu nimna ya kushughulika na mifumo ya bandari. Na ndio kilichofanyika katika nchi zote hata hizo kubwa nilizotaja hapo juu.

Uzuri wa raisi wetu ni kwamba ashawasoma watanzania na kuwajua vizuri. Ukiona mtu anapigania jambo ambalo tuka lianzishwe halijawahi kuwanufaisha wananchi basi ujue huyo anaepigania tayari ashanufaika nalo au bado linamnufaisha hadi leo.
Uliona mikataba yao. Pumbafu
 
Bandari haijawahi kuinufaisha serikali kwa miaka zaidi ya 50

Sasa kama serikali ameshindwa kusimamia hiyo mifumo mibovu ya bandari ndo mtu binafsi au taasisi binafsi itaweza???


Kama kweli serikali imeshindwa then tuna mashaka na usimamizi wa serikali kwenye mipaka yetu , maliasili zetu,Mapato yetu, ulinzi na usalama wetu etc.

Serikali anatakiwa awe final say...most powerful institution ndani ya sovereign yake kushinda mtu binafsi au taasisi binafsi.

Hakuna muujiza mkubwa au nguvu au tactic mpya ambayo DP world anakuja nayo alafu serikali hawaijui kwenye usimamizi wa bandari.
Ataweza

Ova
 
Tumia akili badala ya mihemko unayotengenezewa na wanaonufaika na bandari huku wewe ukitumika tu kwa niaba ya mafanikio yao na familia zao.

Hiyo DP World wapo mpaka Marekani, UK na katika nchi nyingine nyingi zilizoendelea kuliko Tanzania. Na huko wamepewa bandari kutokana na sababu kama hizi hizi za kwetu.

Je unafikiri Marekani na Uingereza kuipa DP World bandari zao ni kiashiria cha wao kutokuwa na uwezo wa kulinda hata mipaka yao na maliasili zao. Dunia ya leo sio ya kujifungia kwa kuendelea kulea ujinga, kama waliwekwa hapo kwa zaidi ya miaka 50 walishindwa kufikisha malengo yaliokusudiwa na serikali kutokana na wizi wao na uvivu wao basi acha serikali itafute watu wanaofahamu nimna ya kushughulika na mifumo ya bandari. Na ndio kilichofanyika katika nchi zote hata hizo kubwa nilizotaja hapo juu.

Uzuri wa raisi wetu ni kwamba ashawasoma watanzania na kuwajua vizuri. Ukiona mtu anapigania jambo ambalo tuka lianzishwe halijawahi kuwanufaisha wananchi basi ujue huyo anaepigania tayari ashanufaika nalo au bado linamnufaisha hadi leo.
Bandari pale wezi sana

Aise na hao dp world wakitia maguu pale watu waliyozoea maisha fulani
Pale watalia sana

Ova
 
Ukute mleta mada toka uzaliwe hujawahi kufika hata mjini achilia mbali kujua wizi, upotevua wa spea za magari yaliopo bandarini na ufisadi mkubwa unaofanywa na viongozi karibia wote waliopo pale bandarini.

Bandari toka ianzishwe miaka zaidi ya 50 huko hadi leo haijawahi kuinufaisha serikali, wala mwananchi wa kawaida ( pengine ukiwemo mleta mada). Na ndio maana awamu zote zikiingia zimekuwa zikijaribu kubadili viongozi wa bandari bila mafanikio.

Tatizo kubwa ni mfumo mbovu wa uendeshaji wa bandari ambapo wanufaika wakuu ni hawa wanaopiga kelele leo ambao 85% walikuwa wameshatengeneza mfumo wa kupitisha biashara zao hapo bila kulipa kodi, huku wengine wakiitumia kusafirishia au kupitishia madawa yao ya kulevya.

Sasa hili swala la mkataba linawanyima usingizi kwani siku hao jamaa wadubai wakiingia itakuwa hamna janja janja tena ya kukwepa ulipaji wa kodi. Kila mtu atakamuliwa alipie mzigo wake ili serikali na kampuni vipate mapato yao.
Kufika mjini si kuchanganua hoja. Changia hoja na siyo umahiri wa kuwa mjini
 
Sisi hatukatai wawekezaji tunachokataa ni vile vipengere vilivyomo kwenye mkataba.
Vipengele vipi, hebu viweke hapa kila mtu avione ili na sisi tuuone ubaya wa mkataba.

Sio kuja kutulisha matango pori kama ulivyolishwa wewe na wanasiasa uchwara pamoja na wezi wengine wa bandarini.

Ishasemwa "za kuambiwa changanya na zako" . Sasa mimi nimechanganya na zangu kwa kukuomba uthibitisho wa hicho au hivyo vipengele vyako, japo naamini hivyo vipengele hamna ila ni njia tu waliotumia wajanja wanaonufaika na bandari kuwahadaa nyinyi msiotumia akili kuhoji ili wawatumie vizuri katika ajenda yao.

Nasubiri hapa chini hivyo vipengele mkuu.
 
Tatizo lipo kwenye vipengere vya huu mkataba.
Usisahau nimekuomba hivyo vipengele unavyosema ndio tatizo, ili na sisi tuvione.

Tatizo la vijana wengi wa humu mitandaoni ni kukimbilia kuwaamini watu ambao wanakula neema za nchi kwa kupitia ujinga wa hao wanaowaamini. Ndiomaana leo hii haishangazi kumkuta mtu anajifanya kupigania haki yako wakati tayari yeye ashatajirika kupitia jasho lako.

Wengi wameambiwa huu mkataba una vipengele vibaya, lkn bado nyie mnaoambiwa hamjawhoji hao wanaowaambia wawaoneshe hivyo vipengele, mmekalia kushupaa kwa faida zao wenyewe pale bandarini, huku wewe unaeshupaa ukitumia data zako ulizonunua kwa hela yako.
 
Nani anayepinga ubinafsishaji?
Tunachopinga sisi ni vile vipengere au yale makubaliano ni makubaliano ya kinyonyaji na kitapeli.
Yale makubaliano yanaonekana ni kama uuzaji wa bandali mazima.
Where's a prove mkuu, i'm still wait....

Au umekubali kufanywa karai tu la kupiga kelele mitandaoni kwa ajili ya kutetea masilahi ya wajanja wachache wenye faida na mfumo mbovu uliyopo pale bandarini?
 
Bandari pale wezi sana

Aise na hao dp world wakitia maguu pale watu waliyozoea maisha fulani
Pale watalia sana

Ova
Ndio hawa ambao washaanza kulia tayari mkuu.
Kuna watu wamechukua mikopo ya nyumba, viwanja au gari huku wakitengemea kulipa madeni ya vitu hivyo kupitia wizi wao wa pale bandarini.

Sasa mavi yanagonga chupi maana hawajui hivyo vitu walivyokopa watavilipa vipi ikiwa mianya ya wizi yote pale bandarini itazibwa na hawa jamaa wa dp world.
 
Kufika mjini si kuchanganua hoja. Changia hoja na siyo umahiri wa kuwa mjini
Haya tusaidie katika hayo niliomuomba mwenzako anaetetea ujinga, ila mpaka sasa hajajibu kitu 👇
Usisahau nimekuomba hivyo vipengele unavyosema ndio tatizo, ili na sisi tuvione.

Tatizo la vijana wengi wa humu mitandaoni ni kukimbilia kuwaamini watu ambao wanakula neema za nchi kwa kupitia ujinga wa hao wanaowaamini. Ndiomaana leo hii haishangazi kumkuta mtu anajifanya kupigania haki yako wakati tayari yeye ashatajirika kupitia jasho lako.

Wengi wameambiwa huu mkataba una vipengele vibaya, lkn bado nyie mnaoambiwa hamjawhoji hao wanaowaambia wawaoneshe hivyo vipengele, mmekalia kushupaa kwa faida zao wenyewe pale bandarini, huku wewe unaeshupaa ukitumia data zako ulizonunua kwa hela yako.
 
Tofauti ya mikataba hiyo mingine na huu ni kwamba huu serikali inayoongozwa na samia imeamua kuwaweka wazi hata kabla bado hawajaingia kwenye mkataba wenyewe,

Kinachosikitisha badala ya kutoa maoni yenu na kusema nin mnataka kifanyike mmekalia kulia kwa propaganda za uzanzibar na udini,huku mkiongopea et kuwa bandari imeuzwa,nan kawaambia bandari imeuzwa??

Kitu kingine kinachoonekana katika hili wapiga madili hapo bandarin wanaogopa akija mwekezaji hapo atawaumbua na mirija yao yoote ya wizi itafungwa,no way out majiz yamejaa sana bandarin lazima patafutiwe mwarobanin pale
 
Sio kila kitu serikali inaweza kusimamia mkuu. Hata huko Ulaya hasa Scandinavian Countries (Nimesoma huko) huduma za kibiashara zinafanywa na Private Sector na Government inakusanya mapato tu. Hii imeleta ufanisi sana.
Tatizo ni mkataba
 
Wakuu,

Kwenye hizo kashfa za epa, escrow, richmond, kagoda, meremeta, na kashfa kibao nazo zilipata waliozitetea kwa nguvu kubwa sana.

Na baadhi ya vyombo vya habari vilijitoa kutetea na baadhi ya waandishi waliandika kutetea sana hizo kashfa lakini mwisho waliishia kuaibika tu.

Hivo msishangae DP world inavotetewa kwa nguvu kubwa ikiwapo kununua media karibu zote, kisafirisha waandishi kama mifugo huko na kule ilmradi wafanye utetezi.

Cha msingi wapingaji tusikilizwe hoja zetu na zizingatiwe kwa maslahi ya nchi maana hapo tutakua tumewafichia aibu kiutu uzima kwa ujinga uliofanyika.
Kwenye uzi huu umeweka hoja zipi za kupinga?
 
Tofauti ya mikataba hiyo mingine na huu ni kwamba huu serikali inayoongozwa na samia imeamua kuwaweka wazi hata kabla bado hawajaingia kwenye mkataba wenyewe,

Kinachosikitisha badala ya kutoa maoni yenu na kusema nin mnataka kifanyike mmekalia kulia kwa propaganda za uzanzibar na udini,huku mkiongopea et kuwa bandari imeuzwa,nan kawaambia bandari imeuzwa??

Kitu kingine kinachoonekana katika hili wapiga madili hapo bandarin wanaogopa akija mwekezaji hapo atawaumbua na mirija yao yoote ya wizi itafungwa,no way out majiz yamejaa sana bandarin lazima patafutiwe mwarobanin pale
Wewe kwenye hili ungekaa kimya tu maana kama unautetea Mkataba wa DP World ni kwasababu ya udini tu na huna lolote!
 
Kwenye mkataba kuwe na win win situation na pia kuwe na vipengele vya kuvunja endapo any part akikiuka makubaliano ,haiwezekani mkataba hauna ukomo ,nasisitiza tena DP world waseme wanawekeza kihasi gani na vifaa gani kisha wataalam wakae waangalie ndani ya muda gani watakuwa washabreak even then waangalie wataweka mkataba wa muda gani ,mbona TICTS ulikuwa wazi ni 20 yrs? Hao DPW mbona hauna ukomo ,hata kama ni IGA lazima kuwe na terms nzuri.(MoU).
 
Back
Top Bottom