Mkuu Halisi asante kutuhabarisha, pamoja na usanii hili la kuwafikisha mahakamani ni hutua kubwa sana kwa serikali ya Muungwana, wengi hatukutegemea
Ushi
Niliwaambia Rais wetu atachukua hatua juu ya suala hili la EPA baadhi yenu mkabeza.
Huyu rwekaza bado anakumbuka kujiramba kama fiesta vile, hapo ni mahakamani dogo!Kuna kitu serikali ya JK ilikuwa inavizia...Matokeo ya uchaguzi wa USA nk....Ila hapa bado sitokurupuka na kusema everything cool. Ila ni hatua nzuri ya mwanzo.
Lukaza na Malegesi ni mashahidi muhimu sana na kama kweli kesi hii inaunguruma..Basi na wao kama maisha yao yanaweza kuwa hatarini kwani wanaweza kumwaga mchele mwingi kwenye kuku wengi, on the ither hand kesi either imepangwa ama serikali inaweza ikawa imeamua iwe mbaya.
Malegesi Law chamber(Advocates) kwa kushirikiana na FAMILIA YA KINA lUKAZA ndio walifanikisha uchotwaji wa pesa za EPA kwa kupitia amri ya ccm wazazi ambapo mwenyekiti alikuwa Idi Simba.
Kama alivyosema Halisi tunawapa muda...Ila muda unazidi kuwatupa mkono kwani hapa USA change tayari imekubali na swahiba wa JK ni Bush.
Hatua Zipi?
Kuwasamehe waloiba hela wakafanyia biashara na kurudisha? Umeona wapi
Duniani Rais anayesamehe Wezi!?!?!
Labda na yeye awe "mwizi" ndo anaweza samehe wezi
Mtuhumiwa wa wizi wa fedha za EPA Bwana Bahati John Mayenga amepandishwa kizimbani na ni kaka yake Janeth John Mayenga ambaye alipandishwa kizimbani mwezi Septemba kwa kosa la kughushi vyeti vya kidato cha nne kujipatia kazi BoT.
Utafutaji wa MAISHA na hasa fedha katika FAMILIA nyingi hapa Tanzania unafanana sana. Familia ya matapeli wote wanakuwa hivyo; sasa hivi familia za wanasiasa wote wanajitahidi kuwa wanasiasa!
JK sasa ameonyesha anaweza...
Mtuhumiwa wa wizi wa fedha za EPA Bwana Bahati John Mayenga (Mahenge?) amepandishwa kizimbani na ni kaka yake Janeth John Mayenga (Mahenge?) ambaye alipandishwa kizimbani mwezi Septemba kwa kosa la kughushi vyeti vya kidato cha nne kujipatia kazi BoT.
habariiliyoingia hivi punde toka redio one ni kua jamaa wa mibale farms kwenye ile sakata ya EPA nao wamepandishwa pale kwa mweshimiwa chusi wa kisutu
Haya bandugu, kura za Kikwete 2010 hizo hapo zinaanza.
Never underestimate that man. One of the most shrewd politicians Tanzania has ever seen. Anajua jinsi ya kuwashika vichwa Watanzania.
Unaachia wakina Ndullu na Mgonja na Chenge na Mramba waliokuwa viongozi wakati wa huu ufisadi unaenda kukamata Wahindi kafara wawili watatu halafu Watanzania wanakuwa taken in!! Daaah!
Kikwete ndugu yetu umetukamata sehemu muhimu, you got us by the balls, wanasema Wamarekani. Hatuwezi kufurukuta. Tusali.
Hahahaa....Siasa ndivyo ilivyo ndugu yangu; Timing is everything.
Haya bandugu, kura za Kikwete 2010 hizo hapo zinaanza.
Never underestimate that man. One of the most shrewd politicians Tanzania has ever seen. Anajua jinsi ya kuwashika vichwa Watanzania.
Unaachia wakina Ndullu na Mgonja na Chenge na Mramba waliokuwa viongozi wakati wa huu ufisadi unaenda kukamata Wahindi kafara wawili watatu halafu Watanzania wanakuwa taken in!! Daaah!
Kikwete ndugu yetu umetukamata sehemu muhimu, you got us by the balls, wanasema Wamarekani. Hatuwezi kufurukuta. Tusali.