EPC + F Siyo Muujiza na Hakuna Utawala Ambao Ungeshindwa Kuutumia Kama Ungekuwa ni Absolute Solution

Huyo Bams anaumwa mshaurini akatibiwe, anataka kupambana na rais huyo nyau asiweza hata kuonekana kwa macho. Amemzushia sana rais wetu vitu vya hovyo vya kipuuzi, vya uwongo. Huyo kima pamoja na kwamba hajui lolote anatumiwa na sukuma gang mpuuzeni
 
Wewe ndio umempuuza sio watanzania
 
Nimesikia kiongozi wa dini Kadinali Pengo anaishauri serkali nikapata aibu

Ule ushauri wanatakiwa wawe nao viongozi wa serikali wanaokula posho za bure
We Pengo ndio unamjua leo? Pengo ni mnafki mkubwa sana. Ni mfuasi wa Magufuli halafu mdini mno, kwa ujumla nim mbaguzi. Wakati Magufuli anafanya mambo ya hovyo ulimsikia akifunua kinywa chake? Hao ni mafisadi km mafisadi webgine walikuwa wanapitisha mizigo yao bandarini bure. Hao ni wa kupuuzwa, kwanza umri umeenda na hana watoto ana uchungu wa nini ni hii nchi.
 
mi sina wa kunipuuza napiga trophy za kutosha. Tulia mtot wa kiume tumia akili kufikiri siyo makalio
Endelea kukaa na ujinga wako eti wakujengee barabara free mtu akakope hela huko aje akujengee barabara free hahahahaaaa piga kelele tu chawa kwasababu kuna faida kwenye kelele zako.
 
Huu ni wizi na utaleta mzigo mkubwa sana kwa serikali zi azo kuja

1. Hakuna anaye jua haya makubaliano zaidi ya samia na mbarawa

2. Hakuna anaye jua interest rate iliyo kubaliwa.

3. Hakuna anaye jua gharama halisi za miradi hii .

4. Hakuna uwazi, hawa wachina wasije siku wakazitaka hizi barabara
 
Shukran πŸ™πŸ™πŸ™! umefafanua vizuri sana nlikuwa nauskia tu lkn siuelewi mradi
Ndugu we umeingizwa chaka huyo kilaza hakuna analoju huyo ni mzushi mwongo wa siku zote. We isikilize na kuiamini serikali yako achana na hao wafuasi wa mwendazake wametemwa sasa wanataka kutututmia watanzania kwa maslahi yao. Atapata mazuzu lakini wenye akili wanmfahamu huyo Bams, fuatilia nyuzi zake zote, ni za kizushi zilizojaa chuki na ubaguzi
 
Endelea kukaa na ujinga wako eti wakujengee barabara free mtu akakope hela huko aje akujengee barabara free hahahahaaaa piga kelele tu chawa kwasababu kuna faida kwenye kelele zako.
we kaweze ya kwako mambo hayo yako juu ya uwezo wako
 
Wanasiasa wa nchi hii wamejua kuwageuza raia wanasesere
 
Hakuna awamu ambayo hikukopa Tena magufuli ndio aliyekopa kwenye nabenk
Kwaiyo maoni yako ni nini?
 
Huwezi kuelewa,na hutamwelewa kwa sababu huna uwezo wa kumwelewa.
 
Tungekua na kiongizi aina yako hakika tungefika mbali wapo baadhi lakini system haiwaruhusu kutoa maoni Yao wanabk tu kusifia ...rip Magu
 
Endelea kukaa na ujinga wako eti wakujengee barabara free mtu akakope hela huko aje akujengee barabara free hahahahaaaa piga kelele tu chawa kwasababu kuna faida kwenye kelele zako.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nasikia kuna watu wanalipwa humu kushambulia serikali...Kwa hiyo usishangae threads za kushambulia Hadi mbinu za kutatua matatizo
 
Nakushukuru sana mleta mada umenifungua akili kwa mengi ambayo sikuyajua, ni kweli najifunza kuwa Mbalawa kama Waziri wa ujenzi hana jipya na wala hakufaa kuwa waziri wetu labda akawe waziri hukohuko Pemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…