EPC + F Siyo Muujiza na Hakuna Utawala Ambao Ungeshindwa Kuutumia Kama Ungekuwa ni Absolute Solution

EPC + F Siyo Muujiza na Hakuna Utawala Ambao Ungeshindwa Kuutumia Kama Ungekuwa ni Absolute Solution

Tunawapongeza wale wote ambao kila siku, usiku na mchana, wanafikiria namna ya kutatua matatizo ya nchi na wananchi.

Lakini watu watambue kuwa hakuna muujiza wa kuifanya nchi ipate maendeleo, na kulala na kuamka, matatizo ya nchi na wananchi yakaisha, zaidi ya kufanya kazi kwa bidii, kujinyima, umakini wa mipango na usimamizi, kuzuia ufisadi na miradi yenye mikataba ya hovyo, weledi na uadilifu wa wasimamizi na watendaji wa Serikali.

Nchi yetu ina vitu vingi vya kuisaidia ipige hatua kwenda mbele. KIKUBWA INACHOKIKOSA NI SERIKALI MAKINI, ILIYOJAA WATU WAADILIFU NA WENYE WELEDI. Hilo ndiyo tatizo kubwa la nchi yetu, kuliko mengine yote.

Matatizo yetu kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na mipango mibovu, sera mbaya, sheria mbaya, usimamizi mbaya, wizi, ufisadi, ubadhirifu na weledi mdogo wa wafanya maamuzi na watunga sera.

Serikali yetu imekuwa ni Serikali ya hadaa kwenye mambo mengi. Ni Serikali inayofanya jambo dogo halafu kelele za kujisifu ni kubwa kupindukia. Hata inapofanya makosa, ni mwiko kukiri kuwa imefanya makosa, badala yake ni kuongeza nguvu na jitihada za kujisifu. Ni Serikali defensive, yaani kulinda kwa gharama yoyote yale makosa ambayo inakuwa imefanya.

Angalia hata mkataba wa DP, ni dhahiri kwa mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na mwadilifu, ataona kwa uwazi kabisa mkataba huo ulivyo wa hovyo na mapungufu mengi, lakini Serikali na watu wake wanapambana usiku na mchana kuwahadaa wananchi kuwa ni mkataba mzuri sana, utakaoondoa tatizo la ajira, na kuifanya nchi iwe tajiri, na kuwezesha kufutwa kwa kodi nyingi na tozo.

Sasa limekuja suala la ujenzi wa barabara kwa kutumia utaratibu wa EPC + F. Wanavyousifia utaratibu huo ni kama nchi imevumbua muujiza mkubwa utakaomaliza matatizo yote ya ujenzi wa barabara, na kama vile tawala nyingine zote zilizotangulia zilikosa ubunifu.

Ukweli ni kwamba EPC + F, hakuna utawala ambao ungeshindwa kujenga barabara kwa kufuata utaratibu huo kama ungeonekana ni rahisi na wenye tija.

Kwa mchumi mzuri, siyo mchumi wa makaratasi, ujenzi wa barabara kwa utaratibu huu, ndiyo aghali kuliko utaratibu mwingine wowote ambao nchi imewahi kutumia.

Kwa wasioelewa, utaratibu huu wa EPC + F, mjenzi anajenga barabara kwa kutumua pesa yake, halafu Serikali itakuwa inamlipa yule mjenzi taratibu kwa kiwango kilichokubaliwa.

Mjenzi wa barabara anapata wapi pesa?
Mjenzi wa barabara anachukua pesa toka kwenye mabenki na taasisi mbalimbali za fedha.

Mjenzi wa barabara anazichukua pesa toka benki kwa utaratibu gani?
Mjenzi anachukua pesa benki kwa njia ya mkopo. Mkopo ni lazima uwe na riba maana mkopeshaji naye anatafuta faida.

Mjenzi kwa nini akubali kutujengea barabara halafu alipwe taratibu?
Mjenzi ni mfanyabiashara. Anatafuta faida. Hivyo nchi italazimika kumlipa mjenzi kwa kiwango ambacho mjenzi lazima apate faida.

Mjenzi atapataje faida?
Lazima atahakikisha nchi inalipa kufidia riba ya benki alikochujua pesa, plus faida ya kwake yeye mjenzi. Na tukichelewesha, tutalipa na penalty.

Kwa hiyo utaratibu huu wa EPC + F, utatufanya tujenge barabara zetu kwa gharama kubwa kuliko kipindi chochote kile. Kwa wasioupendelea utaratibu huu wangeweza kuuliza, kwa nini ukalipe riba kwa taasisi mbili, yaani kwa benki na mjenzi, wakati kuna uwezekano wa kukopa benki moja kwa moja, ukaokoa riba ambayo ungemlipa mjenzi?

Wakati Waziri Mbarawa akiusifia utaratibu huu kama vile amegundua sayari mpya, hakutoa mchanganuo wowote. Kwa mfano alitakiwa kusema:
1) kwa wakati huu ambao barabara zimekuwa zinajengwa kwa taratibu tofauti na EPC + F, kilometer 1 ya barabara ya lami, gharama ya ujenzi ni sh. ngapi?
2) Kwenye utaratibu huu wa EPC +F, kilometer 1 ya barabara ya lami, itagharimu kiasi gani?

Mkopo siyo pesa ya bure. Na wala huwezi kujisifia kuwa umegundua mbinu mpya ya kukopa. Mateso ya mkopo utayajua wakati wa ulipaji. Uganda wanalalamika sasa hivi, maana kwa mara ya kwanza mwaka huu wa fedha, karibia 40% ya bajeti yao yote itakuwa inagharamia kulipa madeni. Na sisi kwa sababu ni watu ambao uwezo wetu unaishia kushangilia na kupongeza, tunaelekea huko huko. Ifahamike tuna mikopo ya kugharamia miradi kama SGR, bwawa la Mwalimu Nyerere, daraja la Busisi, mikopo ya miaka mingi ya huko nyuma, sasa inakuja na hii ya EPC + F, na kutakuwa na mikopo kuziba pengo la bajeti kila mwaka. Hatuwezi kukwepa kukopa, lakini mwenye weledi anakopa kwa umakini, na siyo kurundika mikopo mingi kwa wakati mmoja kwa sababu tu amepatikana wa kukukopesha.

Nchi nyingi zinazotumia utaratibu wa EPC + F, zinatumia wakandarasi wa ndani. Kwao, hata kama barabara zitajengwa kwa gharama kubwa, mabenki yanayokuwa yamenufaika kutokana na riba ni ya nchini mwao. Wajenzi walionufaika kutokana na riba ni wa nchini mwao. Kwa hiyo hela inakuwa imetoka Serikalini imeenda kwa watu wao. Sisi hela itatoka Serikalini kwenda kwenye mabenki ya nje, pesa itatoka Serikalini kwenda kwa makampuni ya ujenzi ya nje.

Utawala wa Samia japo unajitahidi kwenye ujenzi wa miundombinu lakini tusizidishe sifa za uwongo. Siyo kweli kuwa utawala huu utajenga barabara nyingi kuliko tawala zote. Ukweli ni kwamba, hakuna utawala uliojenga kilometa nyingi za barabara za lami kuliko awamu ya 4. Zaidi ya 60% ya barabara zote ndefu za lami zimejengwa wakati wa awamu ya 4. Hakuna utawala uliojenga taasisi nyingi na kubwa mbalimbali kama vile viwanda, hospitali na vyuo, tena vyenye ubora wa hali ya juu, kama utawala wa Mwalimu Nyerere. Hakuna utawala ulioanzisha miradi mingi mikubwa kwa wakati mmoja, kama utawala wa Magufuli. Hakuna utawala uliojenga mifumo mizuri ya uchumi, na aliyeweza kushusha mfumko wa bei kutoka two digits mpaka single digit, kama Mkapa.

Mpaka sasa, hakuna kipya, hata kama kuna mambo mazuri yanafanyika.

Tupunguze sifa za hadaa, tufanye kazi. Nchi bado ni maskini, watu bado ni maskini. Katiba yetu na sheria zetu bado ni mbaya. Uadilifu ndani ya Serikali bado ni hafifu sana. Ubunifu, weledi na umakini ndani ya Serikali bado ni duni. Spidi ya miradi ya maendeleo na ongezeko la pato la Taifa ni ndogo kuliko ongezeko la watu.

Sifa nyingi tunazoipa serikali ni sifa bandia. Tunachotakiwa ni kuzidi kuisukuma serikali kuongeza speed zaidi ili iendane na ongezeko la mahitaji ya nchi.
Acha wivu mtoto wa kiume.

Kusema kwamba eti EPC +F ndio utaratibu ghali kuliko zote ni ujinga mwingine uliojaza kichwani mwaka Kwa sababu za wivu..

Kwanza ukiangalia unit cost per km unapata maximum of 1.9bl ,Sasa Kuna Barabara ambazo Wala hazikutumia hii model tena za kutosha gharama yake ni zaidi ya 2.2 bln,Nina mifano kama yote..

Faida za EPC+F ni zifuatazo

-Unajenga Barabara nyingi Kwa mda mfupi,
-Unajenga Barabara Kwa haraka zaidi na immediately zinaanza kuzalisha,
-Supervision Cost ya ku hire Consult hakuna so umesevu hela,
-Contractor mwenyewe ndio bearer wa risks zote hivyo atakuwa makini kujisimamia ,hakuna haja ya kugombana na contractor site,
-Gharama ni nafuu in relation to time yaani opportunity cost yake ni ndogo .
- Makubaliano ya kimkataba ni concessional agreement hivyo hakuna pressure Kwa Serikali kulipa maana inakuwa ni mda mrefu na hapa zile riba za malipo kuchelewa hakuna..

Sasa Ukiwa mchumi makini Utaelewa maana ya time factor kwenye Uchumi ila Ukiwa utopian basi utabakia huko huko kusema ooh sijui mkandarasi anaepata faida na blaa blaa za kijinga kama hizo maana hakuna kazi ambayo contractor anatoa Msaada in any construction model..

Mwisho unatakiwa utoe respect Kwa Prof.Mbarawa na Serikali ya Samia Kwa ku reverse traditional model ambayo imetuchelesha sana..

Mambo ya JK kujenga Km.nyinginsijui nani bila figures ni uchawi harafu Samia ndio kwanza ana miaka 2.5 hao unawataja walikaa miaka 10.
 
Tunawapongeza wale wote ambao kila siku, usiku na mchana, wanafikiria namna ya kutatua matatizo ya nchi na wananchi.

Lakini watu watambue kuwa hakuna muujiza wa kuifanya nchi ipate maendeleo, na kulala na kuamka, matatizo ya nchi na wananchi yakaisha, zaidi ya kufanya kazi kwa bidii, kujinyima, umakini wa mipango na usimamizi, kuzuia ufisadi na miradi yenye mikataba ya hovyo, weledi na uadilifu wa wasimamizi na watendaji wa Serikali.

Nchi yetu ina vitu vingi vya kuisaidia ipige hatua kwenda mbele. KIKUBWA INACHOKIKOSA NI SERIKALI MAKINI, ILIYOJAA WATU WAADILIFU NA WENYE WELEDI. Hilo ndiyo tatizo kubwa la nchi yetu, kuliko mengine yote.

Matatizo yetu kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na mipango mibovu, sera mbaya, sheria mbaya, usimamizi mbaya, wizi, ufisadi, ubadhirifu na weledi mdogo wa wafanya maamuzi na watunga sera.

Serikali yetu imekuwa ni Serikali ya hadaa kwenye mambo mengi. Ni Serikali inayofanya jambo dogo halafu kelele za kujisifu ni kubwa kupindukia. Hata inapofanya makosa, ni mwiko kukiri kuwa imefanya makosa, badala yake ni kuongeza nguvu na jitihada za kujisifu. Ni Serikali defensive, yaani kulinda kwa gharama yoyote yale makosa ambayo inakuwa imefanya.

Angalia hata mkataba wa DP, ni dhahiri kwa mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na mwadilifu, ataona kwa uwazi kabisa mkataba huo ulivyo wa hovyo na mapungufu mengi, lakini Serikali na watu wake wanapambana usiku na mchana kuwahadaa wananchi kuwa ni mkataba mzuri sana, utakaoondoa tatizo la ajira, na kuifanya nchi iwe tajiri, na kuwezesha kufutwa kwa kodi nyingi na tozo.

Sasa limekuja suala la ujenzi wa barabara kwa kutumia utaratibu wa EPC + F. Wanavyousifia utaratibu huo ni kama nchi imevumbua muujiza mkubwa utakaomaliza matatizo yote ya ujenzi wa barabara, na kama vile tawala nyingine zote zilizotangulia zilikosa ubunifu.

Ukweli ni kwamba EPC + F, hakuna utawala ambao ungeshindwa kujenga barabara kwa kufuata utaratibu huo kama ungeonekana ni rahisi na wenye tija.

Kwa mchumi mzuri, siyo mchumi wa makaratasi, ujenzi wa barabara kwa utaratibu huu, ndiyo aghali kuliko utaratibu mwingine wowote ambao nchi imewahi kutumia.

Kwa wasioelewa, utaratibu huu wa EPC + F, mjenzi anajenga barabara kwa kutumua pesa yake, halafu Serikali itakuwa inamlipa yule mjenzi taratibu kwa kiwango kilichokubaliwa.

Mjenzi wa barabara anapata wapi pesa?
Mjenzi wa barabara anachukua pesa toka kwenye mabenki na taasisi mbalimbali za fedha.

Mjenzi wa barabara anazichukua pesa toka benki kwa utaratibu gani?
Mjenzi anachukua pesa benki kwa njia ya mkopo. Mkopo ni lazima uwe na riba maana mkopeshaji naye anatafuta faida.

Mjenzi kwa nini akubali kutujengea barabara halafu alipwe taratibu?
Mjenzi ni mfanyabiashara. Anatafuta faida. Hivyo nchi italazimika kumlipa mjenzi kwa kiwango ambacho mjenzi lazima apate faida.

Mjenzi atapataje faida?
Lazima atahakikisha nchi inalipa kufidia riba ya benki alikochujua pesa, plus faida ya kwake yeye mjenzi. Na tukichelewesha, tutalipa na penalty.

Kwa hiyo utaratibu huu wa EPC + F, utatufanya tujenge barabara zetu kwa gharama kubwa kuliko kipindi chochote kile. Kwa wasioupendelea utaratibu huu wangeweza kuuliza, kwa nini ukalipe riba kwa taasisi mbili, yaani kwa benki na mjenzi, wakati kuna uwezekano wa kukopa benki moja kwa moja, ukaokoa riba ambayo ungemlipa mjenzi?

Wakati Waziri Mbarawa akiusifia utaratibu huu kama vile amegundua sayari mpya, hakutoa mchanganuo wowote. Kwa mfano alitakiwa kusema:
1) kwa wakati huu ambao barabara zimekuwa zinajengwa kwa taratibu tofauti na EPC + F, kilometer 1 ya barabara ya lami, gharama ya ujenzi ni sh. ngapi?
2) Kwenye utaratibu huu wa EPC +F, kilometer 1 ya barabara ya lami, itagharimu kiasi gani?

Mkopo siyo pesa ya bure. Na wala huwezi kujisifia kuwa umegundua mbinu mpya ya kukopa. Mateso ya mkopo utayajua wakati wa ulipaji. Uganda wanalalamika sasa hivi, maana kwa mara ya kwanza mwaka huu wa fedha, karibia 40% ya bajeti yao yote itakuwa inagharamia kulipa madeni. Na sisi kwa sababu ni watu ambao uwezo wetu unaishia kushangilia na kupongeza, tunaelekea huko huko. Ifahamike tuna mikopo ya kugharamia miradi kama SGR, bwawa la Mwalimu Nyerere, daraja la Busisi, mikopo ya miaka mingi ya huko nyuma, sasa inakuja na hii ya EPC + F, na kutakuwa na mikopo kuziba pengo la bajeti kila mwaka. Hatuwezi kukwepa kukopa, lakini mwenye weledi anakopa kwa umakini, na siyo kurundika mikopo mingi kwa wakati mmoja kwa sababu tu amepatikana wa kukukopesha.

Nchi nyingi zinazotumia utaratibu wa EPC + F, zinatumia wakandarasi wa ndani. Kwao, hata kama barabara zitajengwa kwa gharama kubwa, mabenki yanayokuwa yamenufaika kutokana na riba ni ya nchini mwao. Wajenzi walionufaika kutokana na riba ni wa nchini mwao. Kwa hiyo hela inakuwa imetoka Serikalini imeenda kwa watu wao. Sisi hela itatoka Serikalini kwenda kwenye mabenki ya nje, pesa itatoka Serikalini kwenda kwa makampuni ya ujenzi ya nje.

Utawala wa Samia japo unajitahidi kwenye ujenzi wa miundombinu lakini tusizidishe sifa za uwongo. Siyo kweli kuwa utawala huu utajenga barabara nyingi kuliko tawala zote. Ukweli ni kwamba, hakuna utawala uliojenga kilometa nyingi za barabara za lami kuliko awamu ya 4. Zaidi ya 60% ya barabara zote ndefu za lami zimejengwa wakati wa awamu ya 4. Hakuna utawala uliojenga taasisi nyingi na kubwa mbalimbali kama vile viwanda, hospitali na vyuo, tena vyenye ubora wa hali ya juu, kama utawala wa Mwalimu Nyerere. Hakuna utawala ulioanzisha miradi mingi mikubwa kwa wakati mmoja, kama utawala wa Magufuli. Hakuna utawala uliojenga mifumo mizuri ya uchumi, na aliyeweza kushusha mfumko wa bei kutoka two digits mpaka single digit, kama Mkapa.

Mpaka sasa, hakuna kipya, hata kama kuna mambo mazuri yanafanyika.

Tupunguze sifa za hadaa, tufanye kazi. Nchi bado ni maskini, watu bado ni maskini. Katiba yetu na sheria zetu bado ni mbaya. Uadilifu ndani ya Serikali bado ni hafifu sana. Ubunifu, weledi na umakini ndani ya Serikali bado ni duni. Spidi ya miradi ya maendeleo na ongezeko la pato la Taifa ni ndogo kuliko ongezeko la watu.

Sifa nyingi tunazoipa serikali ni sifa bandia. Tunachotakiwa ni kuzidi kuisukuma serikali kuongeza speed zaidi ili iendane na ongezeko la mahitaji ya nchi.
Waelewa wamekuelewa
 
Wivu baada kupigwa za uso.Unatumia EPC+F kama una pesa na akili,wajinga wajinga kama Wajamaa hawawezi kutumia..

Hiki ni kiwewe baada ya kuona legacy inaenda kufunikwa..

Mengine ni blaa blaa na ujinga wa kujifariji tuu.

Wewe mjinga unajifanya mjuaji. Mtu hujui hata idadi ya kilometer za barabara za lami, halafu unajifanya una ufahamu.

Ungekuwa japo unauelewa mdogo tu usingeuliza hata baadhi ya maswali ya kijinga kama haya ya utawala wa Kikete ulijenga kilometer ngapi? Ungefanya tu arithmetic ndogo, Tanzania ina km ngapi za barabara za lami (mpaka sasa ni approximately 20,000)? Tawala nyingine zote (awamu ya kwanza, ya pili, ya 5 na ya 6, zimejengwa km ngapi (almost 8,000)? Zilizobakia ndiyo zilijengwa wakati wa utawala wa Kikwete (approximately 12,000). Ufahamu kuwa Tanzania, nje ya hizo barabara mpya zilizopangwa kuchongwa kwenye EPC , ina trunk road kilometres approximately 23,000. Na total roads network ya Tanzania ni approximately 90,000.

Kwenya mambo mengine, sijui kulinda legacy, umeandika ujinga. Sijui wewe unayehangaika na mambo ya uchawa, hayo kwangu hayapo. Inaelekea huelewi hata maana ya legacy. Nani alikudanganya ujenzi wa barabara ni legacy.

Legacy ni fikra au falsafa. Ni kitu kinachoishi milele. Barabara huchakaa na kujengwa upya, hujengwa nyingine mpya tena zenye ubora zaidi, lakini falsafa huishi milele.

Mtu mwenye legacy hasa, hapa nchini ni Mwalimu Nyerere, ndiyo maana unaona kila wakati watu wananukuu falsafa na kauli zake kwa sababu zinaishi, hazichakai wala kufa.

Mbarawa kutumia namna nyungine ya kukopa kwa sababu hatuna pesa, nao unauita ni uvumbuzi?
 
Inaelekea huelewi hata maana ya legacy. Nani alikudanganya ujenzi wa barabara ni legacy.

Legacy ni fikra au falsafa. Ni kitu kinachoishi milele. Barabara huchakaa na kujengwa upya, hujengwa nyingine mpya tena zenye ubora zaidi, lakini falsafa huishi milele.

Mtu mwenye legacy hasa nchi hii ni Mwalimu Nyerere, ndiyo maana unaona kila wakati watu wananukuu falsafa na kauli zake kwa sababu zinaishi, hazichakai wala kufa.
Mlinda ligacy shida nini mbona unatapatapa? Harafu usikariri ndio maana unakuwa mjinga,simple dfn ya legacy ni Alama na sio lazima defn ya Wazungu ikawa hivyo Kwa Jamaa zote,punguza unyumbu na kukariri..

Machadomo nyie Huwa ni Majinga sana ,Huwa mnajikuta mna akili kumbe makopo tuu yaliyokariri 😁😁
 
Acha wivu mtoto wa kiume.

Kusema kwamba eti EPC +F ndio utaratibu ghali kuliko zote ni ujinga mwingine uliojaza kichwani mwaka Kwa sababu za wivu..

Kwanza ukiangalia unit cost per km unapata maximum of 1.9bl ,Sasa Kuna Barabara ambazo Wala hazikutumia hii model tena za kutosha gharama yake ni zaidi ya 2.2 bln,Nina mifano kama yote..

Faida za EPC+F ni zifuatazo

-Unajenga Barabara nyingi Kwa mda mfupi,
-Unajenga Barabara Kwa haraka zaidi na immediately zinaanza kuzalisha,
-Supervision Cost ya ku hire Consult hakuna so umesevu hela,
-Contractor mwenyewe ndio bearer wa risks zote hivyo atakuwa makini kujisimamia ,hakuna haja ya kugombana na contractor site,
-Gharama ni nafuu in relation to time yaani opportunity cost yake ni ndogo .
- Makubaliano ya kimkataba ni concessional agreement hivyo hakuna pressure Kwa Serikali kulipa maana inakuwa ni mda mrefu na hapa zile riba za malipo kuchelewa hakuna..

Sasa Ukiwa mchumi makini Utaelewa maana ya time factor kwenye Uchumi ila Ukiwa utopian basi utabakia huko huko kusema ooh sijui mkandarasi anaepata faida na blaa blaa za kijinga kama hizo maana hakuna kazi ambayo contractor anatoa Msaada in any construction model..

Mwisho unatakiwa utoe respect Kwa Prof.Mbarawa na Serikali ya Samia Kwa ku reverse traditional model ambayo imetuchelesha sana..

Mambo ya JK kujenga Km.nyinginsijui nani bila figures ni uchawi harafu Samia ndio kwanza ana miaka 2.5 hao unawataja walikaa miaka 10.
Safi sana Bora umemjibu huyo nyumbu wa mbowe
 
Mlinda ligacy shida nini mbona unatapatapa? Harafu usikariri ndio maana unakuwa mjinga,simple dfn ya legacy ni Alama na sio lazima defn ya Wazungu ikawa hivyo Kwa Jamaa zote,punguza unyumbu na kukariri..

Machadomo nyie Huwa ni Majinga sana ,Huwa mnajikuta mna akili kumbe makopo tuu yaliyokariri [emoji16][emoji16]
Wewe mjinga unajifanya mjuaji. Mtu hujui hata idadi ya kilometer za barabara za lami, halafu unajifanya una ufahamu.

Ungekuwa japo unauelewa mdogo tu usingeuliza hata baadhi ya maswali ya kijinga kama haya ya utawala wa Kikete ulijenga kilometer ngapi? Ungefanya tu arithmetic ndogo, Tanzania ina km ngapi za barabara za lami (mpaka sasa ni approximately 20,000)? Tawala nyingine zote (awamu ya kwanza, ya pili, ya 5 na ya 6, zimejengwa km ngapi (almost 8,000)? Zilizobakia ndiyo zilijengwa wakati wa utawala wa Kikwete (approximately 12,000). Ufahamu kuwa Tanzania, nje ya hizo barabara mpya zilizopangwa kuchongwa kwenye EPC , ina trunk road kilometres approximately 23,000. Na total roads network ya Tanzania ni approximately 90,000.

Kwenya mambo mengine, sijui kulinda legacy, umeandika ujinga. Sijui wewe unayehangaika na mambo ya uchawa, hayo kwangu hayapo. Inaelekea huelewi hata maana ya legacy. Nani alikudanganya ujenzi wa barabara ni legacy.

Legacy ni fikra au falsafa. Ni kitu kinachoishi milele. Barabara huchakaa na kujengwa upya, hujengwa nyingine mpya tena zenye ubora zaidi, lakini falsafa huishi milele.

Mtu mwenye legacy hasa, hapa nchini ni Mwalimu Nyerere, ndiyo maana unaona kila wakati watu wananukuu falsafa na kauli zake kwa sababu zinaishi, hazichakai wala kufa.

Mbarawa kutumia namna nyungine ya kukopa kwa sababu hatuna pesa, nao unauita ni uvumbuzi?
 
Tunawapongeza wale wote ambao kila siku, usiku na mchana, wanafikiria namna ya kutatua matatizo ya nchi na wananchi.

Lakini watu watambue kuwa hakuna muujiza wa kuifanya nchi ipate maendeleo, na kulala na kuamka, matatizo ya nchi na wananchi yakaisha, zaidi ya kufanya kazi kwa bidii, kujinyima, umakini wa mipango na usimamizi, kuzuia ufisadi na miradi yenye mikataba ya hovyo, weledi na uadilifu wa wasimamizi na watendaji wa Serikali.

Nchi yetu ina vitu vingi vya kuisaidia ipige hatua kwenda mbele. KIKUBWA INACHOKIKOSA NI SERIKALI MAKINI, ILIYOJAA WATU WAADILIFU NA WENYE WELEDI. Hilo ndiyo tatizo kubwa la nchi yetu, kuliko mengine yote.

Matatizo yetu kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na mipango mibovu, sera mbaya, sheria mbaya, usimamizi mbaya, wizi, ufisadi, ubadhirifu na weledi mdogo wa wafanya maamuzi na watunga sera.

Serikali yetu imekuwa ni Serikali ya hadaa kwenye mambo mengi. Ni Serikali inayofanya jambo dogo halafu kelele za kujisifu ni kubwa kupindukia. Hata inapofanya makosa, ni mwiko kukiri kuwa imefanya makosa, badala yake ni kuongeza nguvu na jitihada za kujisifu. Ni Serikali defensive, yaani kulinda kwa gharama yoyote yale makosa ambayo inakuwa imefanya.

Angalia hata mkataba wa DP, ni dhahiri kwa mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na mwadilifu, ataona kwa uwazi kabisa mkataba huo ulivyo wa hovyo na mapungufu mengi, lakini Serikali na watu wake wanapambana usiku na mchana kuwahadaa wananchi kuwa ni mkataba mzuri sana, utakaoondoa tatizo la ajira, na kuifanya nchi iwe tajiri, na kuwezesha kufutwa kwa kodi nyingi na tozo.

Sasa limekuja suala la ujenzi wa barabara kwa kutumia utaratibu wa EPC + F. Wanavyousifia utaratibu huo ni kama nchi imevumbua muujiza mkubwa utakaomaliza matatizo yote ya ujenzi wa barabara, na kama vile tawala nyingine zote zilizotangulia zilikosa ubunifu.

Ukweli ni kwamba EPC + F, hakuna utawala ambao ungeshindwa kujenga barabara kwa kufuata utaratibu huo kama ungeonekana ni rahisi na wenye tija.

Kwa mchumi mzuri, siyo mchumi wa makaratasi, ujenzi wa barabara kwa utaratibu huu, ndiyo aghali kuliko utaratibu mwingine wowote ambao nchi imewahi kutumia.

Kwa wasioelewa, utaratibu huu wa EPC + F, mjenzi anajenga barabara kwa kutumua pesa yake, halafu Serikali itakuwa inamlipa yule mjenzi taratibu kwa kiwango kilichokubaliwa.

Mjenzi wa barabara anapata wapi pesa?
Mjenzi wa barabara anachukua pesa toka kwenye mabenki na taasisi mbalimbali za fedha.

Mjenzi wa barabara anazichukua pesa toka benki kwa utaratibu gani?
Mjenzi anachukua pesa benki kwa njia ya mkopo. Mkopo ni lazima uwe na riba maana mkopeshaji naye anatafuta faida.

Mjenzi kwa nini akubali kutujengea barabara halafu alipwe taratibu?
Mjenzi ni mfanyabiashara. Anatafuta faida. Hivyo nchi italazimika kumlipa mjenzi kwa kiwango ambacho mjenzi lazima apate faida.

Mjenzi atapataje faida?
Lazima atahakikisha nchi inalipa kufidia riba ya benki alikochujua pesa, plus faida ya kwake yeye mjenzi. Na tukichelewesha, tutalipa na penalty.

Kwa hiyo utaratibu huu wa EPC + F, utatufanya tujenge barabara zetu kwa gharama kubwa kuliko kipindi chochote kile. Kwa wasioupendelea utaratibu huu wangeweza kuuliza, kwa nini ukalipe riba kwa taasisi mbili, yaani kwa benki na mjenzi, wakati kuna uwezekano wa kukopa benki moja kwa moja, ukaokoa riba ambayo ungemlipa mjenzi?

Wakati Waziri Mbarawa akiusifia utaratibu huu kama vile amegundua sayari mpya, hakutoa mchanganuo wowote. Kwa mfano alitakiwa kusema:
1) kwa wakati huu ambao barabara zimekuwa zinajengwa kwa taratibu tofauti na EPC + F, kilometer 1 ya barabara ya lami, gharama ya ujenzi ni sh. ngapi?
2) Kwenye utaratibu huu wa EPC +F, kilometer 1 ya barabara ya lami, itagharimu kiasi gani?

Mkopo siyo pesa ya bure. Na wala huwezi kujisifia kuwa umegundua mbinu mpya ya kukopa. Mateso ya mkopo utayajua wakati wa ulipaji. Uganda wanalalamika sasa hivi, maana kwa mara ya kwanza mwaka huu wa fedha, karibia 40% ya bajeti yao yote itakuwa inagharamia kulipa madeni. Na sisi kwa sababu ni watu ambao uwezo wetu unaishia kushangilia na kupongeza, tunaelekea huko huko. Ifahamike tuna mikopo ya kugharamia miradi kama SGR, bwawa la Mwalimu Nyerere, daraja la Busisi, mikopo ya miaka mingi ya huko nyuma, sasa inakuja na hii ya EPC + F, na kutakuwa na mikopo kuziba pengo la bajeti kila mwaka. Hatuwezi kukwepa kukopa, lakini mwenye weledi anakopa kwa umakini, na siyo kurundika mikopo mingi kwa wakati mmoja kwa sababu tu amepatikana wa kukukopesha.

Nchi nyingi zinazotumia utaratibu wa EPC + F, zinatumia wakandarasi wa ndani. Kwao, hata kama barabara zitajengwa kwa gharama kubwa, mabenki yanayokuwa yamenufaika kutokana na riba ni ya nchini mwao. Wajenzi walionufaika kutokana na riba ni wa nchini mwao. Kwa hiyo hela inakuwa imetoka Serikalini imeenda kwa watu wao. Sisi hela itatoka Serikalini kwenda kwenye mabenki ya nje, pesa itatoka Serikalini kwenda kwa makampuni ya ujenzi ya nje.

Utawala wa Samia japo unajitahidi kwenye ujenzi wa miundombinu lakini tusizidishe sifa za uwongo. Siyo kweli kuwa utawala huu utajenga barabara nyingi kuliko tawala zote. Ukweli ni kwamba, hakuna utawala uliojenga kilometa nyingi za barabara za lami kuliko awamu ya 4. Zaidi ya 60% ya barabara zote ndefu za lami zimejengwa wakati wa awamu ya 4. Hakuna utawala uliojenga taasisi nyingi na kubwa mbalimbali kama vile viwanda, hospitali na vyuo, tena vyenye ubora wa hali ya juu, kama utawala wa Mwalimu Nyerere. Hakuna utawala ulioanzisha miradi mingi mikubwa kwa wakati mmoja, kama utawala wa Magufuli. Hakuna utawala uliojenga mifumo mizuri ya uchumi, na aliyeweza kushusha mfumko wa bei kutoka two digits mpaka single digit, kama Mkapa.

Mpaka sasa, hakuna kipya, hata kama kuna mambo mazuri yanafanyika.

Tupunguze sifa za hadaa, tufanye kazi. Nchi bado ni maskini, watu bado ni maskini. Katiba yetu na sheria zetu bado ni mbaya. Uadilifu ndani ya Serikali bado ni hafifu sana. Ubunifu, weledi na umakini ndani ya Serikali bado ni duni. Spidi ya miradi ya maendeleo na ongezeko la pato la Taifa ni ndogo kuliko ongezeko la watu.
See
Sifa nyingi tunazoipa serikali ni sifa bandia. Tunachotakiwa ni kuzidi kuisukuma serikali kuongeza speed zaidi ili iendane na ongezeko la mahitaji ya nchi.
Umeeleza kitaalam na lugha nyepesi.
Nimepata somo zuri kuongeza uelewa
 
Mlinda ligacy shida nini mbona unatapatapa? Harafu usikariri ndio maana unakuwa mjinga,simple dfn ya legacy ni Alama na sio lazima defn ya Wazungu ikawa hivyo Kwa Jamaa zote,punguza unyumbu na kukariri..

Machadomo nyie Huwa ni Majinga sana ,Huwa mnajikuta mna akili kumbe makopo tuu yaliyokariri [emoji16][emoji16]
You of such level of idiocy, believe you are in a position of questioning intelligence of astute persons?

Legacy is not coming from Swahili, its proper meaning only emerges from its root language not from translation.

Mtu hajui hata vitu ambavyo ni very basic lakini anaamini ana kiwango cha kufundisha wanaomzidi uelewa hata ya mara 10 yake!!
 
You of such level of idiocy, believe you are in a position of questioning intelligence of astute persons?

Legacy is not coming from Swahili, its proper meaning only emerges from its root language not from translation.

Mtu hajui hata vitu ambavyo ni very basic lakini anaamini ana kiwango cha kufundisha wanaomzidi uelewa hata ya mara 10 yake!!
Acha kukariri wewe nyumbu,ndio maana Ulaya Kwa Waingereza hawana Ugali ila English ya EAC Ina ugali..

Nyumbu ni nyumbu tuu usiwe mjinga wa kukariri Kila kitu kinaweza kuwa na maana kulingana na wapi kinatumika,lugha Huwa inakua kama matako Yako yanavyokua ukivimbiwa ruzuku ya Samia.
 
Sasa nimepata majibu sahihi kuhusu huo utaratibu wa EPC + F.

Shukran sana mleta mada, umenitoa tongotongo.
 
Wewe mjinga unajifanya mjuaji. Mtu hujui hata idadi ya kilometer za barabara za lami, halafu unajifanya una ufahamu.

Ungekuwa japo unauelewa mdogo tu usingeuliza hata baadhi ya maswali ya kijinga kama haya ya utawala wa Kikete ulijenga kilometer ngapi? Ungefanya tu arithmetic ndogo, Tanzania ina km ngapi za barabara za lami (mpaka sasa ni approximately 20,000)? Tawala nyingine zote (awamu ya kwanza, ya pili, ya 5 na ya 6, zimejengwa km ngapi (almost 8,000)? Zilizobakia ndiyo zilijengwa wakati wa utawala wa Kikwete (approximately 12,000). Ufahamu kuwa Tanzania, nje ya hizo barabara mpya zilizopangwa kuchongwa kwenye EPC , ina trunk road kilometres approximately 23,000. Na total roads network ya Tanzania ni approximately 90,000.

Kwenya mambo mengine, sijui kulinda legacy, umeandika ujinga. Sijui wewe unayehangaika na mambo ya uchawa, hayo kwangu hayapo. Inaelekea huelewi hata maana ya legacy. Nani alikudanganya ujenzi wa barabara ni legacy.

Legacy ni fikra au falsafa. Ni kitu kinachoishi milele. Barabara huchakaa na kujengwa upya, hujengwa nyingine mpya tena zenye ubora zaidi, lakini falsafa huishi milele.

Mtu mwenye legacy hasa, hapa nchini ni Mwalimu Nyerere, ndiyo maana unaona kila wakati watu wananukuu falsafa na kauli zake kwa sababu zinaishi, hazichakai wala kufa.

Mbarawa kutumia namna nyungine ya kukopa kwa sababu hatuna pesa, nao unauita ni uvumbuzi?
Ona hili boya linavyoropoka upuuzi.

Unazijua km 12*000 wewe nyumbu kweli? Nyumbu ni nyumbu tuu..Barabara ambazo ziko paved Hadi Sasa Tanzania nzima ni less than 12,000km out of network ya TanRoads 36,700km, Kwa hiyo JK ndio alijenga zote km 12,000 au siyo 😂😂😂😂


Kwa sababu za watu wenye mawazo ya kijinga kama wewe ndio manaa Kwa miaka zaidi ya 60 tumejenga km chache ,Samia amekataa kuendelea na huu ujinga uliowajaa kwenye vichwa vyenu..
Screenshot_20230619-090443.jpg
Screenshot_20230619-090636.jpg


Jitu halijui hata network ya Barabara za TanRoads na za Tarura linaropoka tuu
 
Acha wivu mtoto wa kiume.

Kusema kwamba eti EPC +F ndio utaratibu ghali kuliko zote ni ujinga mwingine uliojaza kichwani mwaka Kwa sababu za wivu..

Kwanza ukiangalia unit cost per km unapata maximum of 1.9bl ,Sasa Kuna Barabara ambazo Wala hazikutumia hii model tena za kutosha gharama yake ni zaidi ya 2.2 bln,Nina mifano kama yote..

Faida za EPC+F ni zifuatazo

-Unajenga Barabara nyingi Kwa mda mfupi,
-Unajenga Barabara Kwa haraka zaidi na immediately zinaanza kuzalisha,
-Supervision Cost ya ku hire Consult hakuna so umesevu hela,
-Contractor mwenyewe ndio bearer wa risks zote hivyo atakuwa makini kujisimamia ,hakuna haja ya kugombana na contractor site,
-Gharama ni nafuu in relation to time yaani opportunity cost yake ni ndogo .
- Makubaliano ya kimkataba ni concessional agreement hivyo hakuna pressure Kwa Serikali kulipa maana inakuwa ni mda mrefu na hapa zile riba za malipo kuchelewa hakuna..

Sasa Ukiwa mchumi makini Utaelewa maana ya time factor kwenye Uchumi ila Ukiwa utopian basi utabakia huko huko kusema ooh sijui mkandarasi anaepata faida na blaa blaa za kijinga kama hizo maana hakuna kazi ambayo contractor anatoa Msaada in any construction model..

Mwisho unatakiwa utoe respect Kwa Prof.Mbarawa na Serikali ya Samia Kwa ku reverse traditional model ambayo imetuchelesha sana..

Mambo ya JK kujenga Km.nyinginsijui nani bila figures ni uchawi harafu Samia ndio kwanza ana miaka 2.5 hao unawataja walikaa miaka 10.
Muombe Msamaha Huyu Jamaa, EPC yako imefeli vibaya!
 
Tunawapongeza wale wote ambao kila siku, usiku na mchana, wanafikiria namna ya kutatua matatizo ya nchi na wananchi.

Lakini watu watambue kuwa hakuna muujiza wa kuifanya nchi ipate maendeleo, na kulala na kuamka, matatizo ya nchi na wananchi yakaisha, zaidi ya kufanya kazi kwa bidii, kujinyima, umakini wa mipango na usimamizi, kuzuia ufisadi na miradi yenye mikataba ya hovyo, weledi na uadilifu wa wasimamizi na watendaji wa Serikali.

Nchi yetu ina vitu vingi vya kuisaidia ipige hatua kwenda mbele. KIKUBWA INACHOKIKOSA NI SERIKALI MAKINI, ILIYOJAA WATU WAADILIFU NA WENYE WELEDI. Hilo ndiyo tatizo kubwa la nchi yetu, kuliko mengine yote.

Matatizo yetu kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na mipango mibovu, sera mbaya, sheria mbaya, usimamizi mbaya, wizi, ufisadi, ubadhirifu na weledi mdogo wa wafanya maamuzi na watunga sera.

Serikali yetu imekuwa ni Serikali ya hadaa kwenye mambo mengi. Ni Serikali inayofanya jambo dogo halafu kelele za kujisifu ni kubwa kupindukia. Hata inapofanya makosa, ni mwiko kukiri kuwa imefanya makosa, badala yake ni kuongeza nguvu na jitihada za kujisifu. Ni Serikali defensive, yaani kulinda kwa gharama yoyote yale makosa ambayo inakuwa imefanya.

Angalia hata mkataba wa DP, ni dhahiri kwa mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na mwadilifu, ataona kwa uwazi kabisa mkataba huo ulivyo wa hovyo na mapungufu mengi, lakini Serikali na watu wake wanapambana usiku na mchana kuwahadaa wananchi kuwa ni mkataba mzuri sana, utakaoondoa tatizo la ajira, na kuifanya nchi iwe tajiri, na kuwezesha kufutwa kwa kodi nyingi na tozo.

Sasa limekuja suala la ujenzi wa barabara kwa kutumia utaratibu wa EPC + F. Wanavyousifia utaratibu huo ni kama nchi imevumbua muujiza mkubwa utakaomaliza matatizo yote ya ujenzi wa barabara, na kama vile tawala nyingine zote zilizotangulia zilikosa ubunifu.

Ukweli ni kwamba EPC + F, hakuna utawala ambao ungeshindwa kujenga barabara kwa kufuata utaratibu huo kama ungeonekana ni rahisi na wenye tija.

Kwa mchumi mzuri, siyo mchumi wa makaratasi, ujenzi wa barabara kwa utaratibu huu, ndiyo aghali kuliko utaratibu mwingine wowote ambao nchi imewahi kutumia.

Kwa wasioelewa, utaratibu huu wa EPC + F, mjenzi anajenga barabara kwa kutumua pesa yake, halafu Serikali itakuwa inamlipa yule mjenzi taratibu kwa kiwango kilichokubaliwa.

Mjenzi wa barabara anapata wapi pesa?
Mjenzi wa barabara anachukua pesa toka kwenye mabenki na taasisi mbalimbali za fedha.

Mjenzi wa barabara anazichukua pesa toka benki kwa utaratibu gani?
Mjenzi anachukua pesa benki kwa njia ya mkopo. Mkopo ni lazima uwe na riba maana mkopeshaji naye anatafuta faida.

Mjenzi kwa nini akubali kutujengea barabara halafu alipwe taratibu?
Mjenzi ni mfanyabiashara. Anatafuta faida. Hivyo nchi italazimika kumlipa mjenzi kwa kiwango ambacho mjenzi lazima apate faida.

Mjenzi atapataje faida?
Lazima atahakikisha nchi inalipa kufidia riba ya benki alikochujua pesa, plus faida ya kwake yeye mjenzi. Na tukichelewesha, tutalipa na penalty.

Kwa hiyo utaratibu huu wa EPC + F, utatufanya tujenge barabara zetu kwa gharama kubwa kuliko kipindi chochote kile. Kwa wasioupendelea utaratibu huu wangeweza kuuliza, kwa nini ukalipe riba kwa taasisi mbili, yaani kwa benki na mjenzi, wakati kuna uwezekano wa kukopa benki moja kwa moja, ukaokoa riba ambayo ungemlipa mjenzi?

Wakati Waziri Mbarawa akiusifia utaratibu huu kama vile amegundua sayari mpya, hakutoa mchanganuo wowote. Kwa mfano alitakiwa kusema:
1) kwa wakati huu ambao barabara zimekuwa zinajengwa kwa taratibu tofauti na EPC + F, kilometer 1 ya barabara ya lami, gharama ya ujenzi ni sh. ngapi?
2) Kwenye utaratibu huu wa EPC +F, kilometer 1 ya barabara ya lami, itagharimu kiasi gani?

Mkopo siyo pesa ya bure. Na wala huwezi kujisifia kuwa umegundua mbinu mpya ya kukopa. Mateso ya mkopo utayajua wakati wa ulipaji. Uganda wanalalamika sasa hivi, maana kwa mara ya kwanza mwaka huu wa fedha, karibia 40% ya bajeti yao yote itakuwa inagharamia kulipa madeni. Na sisi kwa sababu ni watu ambao uwezo wetu unaishia kushangilia na kupongeza, tunaelekea huko huko. Ifahamike tuna mikopo ya kugharamia miradi kama SGR, bwawa la Mwalimu Nyerere, daraja la Busisi, mikopo ya miaka mingi ya huko nyuma, sasa inakuja na hii ya EPC + F, na kutakuwa na mikopo kuziba pengo la bajeti kila mwaka. Hatuwezi kukwepa kukopa, lakini mwenye weledi anakopa kwa umakini, na siyo kurundika mikopo mingi kwa wakati mmoja kwa sababu tu amepatikana wa kukukopesha.

Nchi nyingi zinazotumia utaratibu wa EPC + F, zinatumia wakandarasi wa ndani. Kwao, hata kama barabara zitajengwa kwa gharama kubwa, mabenki yanayokuwa yamenufaika kutokana na riba ni ya nchini mwao. Wajenzi walionufaika kutokana na riba ni wa nchini mwao. Kwa hiyo hela inakuwa imetoka Serikalini imeenda kwa watu wao. Sisi hela itatoka Serikalini kwenda kwenye mabenki ya nje, pesa itatoka Serikalini kwenda kwa makampuni ya ujenzi ya nje.

Utawala wa Samia japo unajitahidi kwenye ujenzi wa miundombinu lakini tusizidishe sifa za uwongo. Siyo kweli kuwa utawala huu utajenga barabara nyingi kuliko tawala zote. Ukweli ni kwamba, hakuna utawala uliojenga kilometa nyingi za barabara za lami kuliko awamu ya 4. Zaidi ya 60% ya barabara zote ndefu za lami zimejengwa wakati wa awamu ya 4. Hakuna utawala uliojenga taasisi nyingi na kubwa mbalimbali kama vile viwanda, hospitali na vyuo, tena vyenye ubora wa hali ya juu, kama utawala wa Mwalimu Nyerere. Hakuna utawala ulioanzisha miradi mingi mikubwa kwa wakati mmoja, kama utawala wa Magufuli. Hakuna utawala uliojenga mifumo mizuri ya uchumi, na aliyeweza kushusha mfumko wa bei kutoka two digits mpaka single digit, kama Mkapa.

Mpaka sasa, hakuna kipya, hata kama kuna mambo mazuri yanafanyika.

Tupunguze sifa za hadaa, tufanye kazi. Nchi bado ni maskini, watu bado ni maskini. Katiba yetu na sheria zetu bado ni mbaya. Uadilifu ndani ya Serikali bado ni hafifu sana. Ubunifu, weledi na umakini ndani ya Serikali bado ni duni. Spidi ya miradi ya maendeleo na ongezeko la pato la Taifa ni ndogo kuliko ongezeko la watu.

Sifa nyingi tunazoipa serikali ni sifa bandia. Tunachotakiwa ni kuzidi kuisukuma serikali kuongeza speed zaidi ili iendane na ongezeko la mahitaji ya nchi.
CC: Saa100
 
Hivi huu mradi ulipotelea wapi? Mambo mengine nchi hii yanashangaza na ile mikataba wakasaini bungeni yalikua maigizo?
 
Back
Top Bottom