EPC + F Siyo Muujiza na Hakuna Utawala Ambao Ungeshindwa Kuutumia Kama Ungekuwa ni Absolute Solution

Mi natamani sana unifafanulie tofauti na Bams.
Naomba unifafanulie seriously mi siijui hiyo EPC + F
 
Si mngefanya sasa?

Yaani kila kitu kikifanyika ndio mnakuja kujifanya wajuaji

No wonder nchi inasuasua

Let’s accept kwamba an ainnovative approach has been adopted and the progress is here

Haters mtakufa midomo wazi
 
Yes

Kama ni kitu cha kwawaida waishindwa nini kufanya

Tukubali tu Samia kaacha wataalam wafanye kazi

Mwamba alikua kila kitu anafanya yeye

She is more efficient
Mimi siwashindanishi JPM na SSH
 
Na wala huwezi kujisifia kuwa umegundua mbinu mpya ya kukopa.

Tena mkopo ulio na kulipwa kwa fedha ya kigeni.

Hakuna kampuni ya kiTanzania ijenge barabara hizi kwa zege, nondo, simenti zinazozalishwa Tanzania na viwanda vya ndani Twiga cement, Dangote n.k hivyo kulipwa 100% kwa fedha yetu ya shilingi ya kiTanzania

Barabara nyingi the Philippines na Marekani ya Kusini ni zege wameondokana na utegemezi wa kuagiza lami toka nje ya nchi zao na miradi hii mikubwa ya barabara kutengeneza makampuni makubwa ya mabilionea wapya raia wa nchi zao.

Tanzania kuyalipa makampuni ya nje kutoka China, Turkey na lami ya Uarabuni ni mambo ya kizamani sana wakati ma engineer / technicians waTanzania wapo, mawe, kokoto, nondo, cement vinapatikana ndani.

Kwa barabara za mitaa ya mijini, Halmashauri pia vijijini barabara za mawe zipewe nafasi yake kutokana na gharama ndogo, hudumu muda mrefu na zinaweza kujengwa na kampuni ndogo za waTanzania

Picha moja wa mitaa ya Igogo na Kitangiri jiji la Mwanza, Tanzania

 
Acha uongo! Angalia Resident engineers wote wanatoka Ethiopia na hata materials nyingi za ujenzi zitatoka nje, nyie Watanganyika mtakuwa vibarua tu na kubaki kuuziana chai na chips!
 
Uko sahihi, hiki kitanzi kimekuja ili kuendana na zile sifa kuwa maendeleo tumeyaona kwa macho yetu. Inaonekana ili awamu hii ionekane inafanya kazi ni lazima ijenge miundombinu ili watu waseme hayo maendeleo yanaonekana kwa macho.

Kwamba ni mikataba mibaya kwao sio tatizo,maana wananchi wengi hawana uelewa wa haya mambo kwa kina zaidi ya kuona barabara kwa macho.
 
Mbegu ya hii tabia ya kusifia uongozi wa kisiasa kuwapamba na hata kuwahami viongozi wa kisiasa ilipandwa awamu ya nne (4). Kwa mara ya kwanza tulianza kushuhudia raia wa kawaida wakijipa jukumu la kumsemea kiongozi na serikali yake. Awamu ya tano (5) tabia hii iliendekezwa zaidi na kuchukua sura tofauti. Kipindi hiki raia wanaomsemea kiongozi na serikali yake waliongezeka sana. Aidha katika kutekeleza jukumu hilo nguvu za hoja zilitumika zaidi ikiwa ni pamoja na watu wenye mawazo tofauti kupachikwa majina mabaya na kutishwa.

Swali la kujiuliza ni je, nini chimbuko la tabia hii? Kwa maoni yangu ni udhaifu katika uongozi. Kadri nchi yetu inavyopata viongozi dhaifu ndivyo tatizo hili linavyoshamiri na kuchukua sura ya kutia kinyaa. Uongozi wa awamu ya 4 ulikuwa dhaifu sana hivyo ukajikita katika giliba, propaganda na matumizi ya mabavu. Uongozi ulioko madarakani sasa ni mwendelezo wa awamu ya tano hivyo hakuna kikubwa kilichobadilika. Sana sana kinachoonekana ni kupungua kwa matumizi ya mabavu. Wakati huo huo kuna hisia na hofu kubwa ya uongozi kupwaya. Kufidia pengo la kupungua kwa matumizi ya mabavu na hofu ya uongozi kupwaya, imebidi kuongeza propaganda inayojikita zaidi katika kumjenga kiongozi binfsi.
 
Wewe ni kati ya watu ambao mnatakiwa kupigwa mawe kama kibaka na uwashie tyre ya moto .Kenge Mkubwa
Kichaa ukikutukana uliye na akili timamu, unamwonea tu huruma maana siamini ameupata ukichaa kwa kupenda.

Nakuonea huruma, na ndugu zako wanaokuhudumia. Kumtunza kichaa kunahitaji uvumilivu wa pekee.
 
Crap from a low mind. Ignored.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…