EPC + F Siyo Muujiza na Hakuna Utawala Ambao Ungeshindwa Kuutumia Kama Ungekuwa ni Absolute Solution

Narudia tena, hii dunia haki ya Mungu; acha tu tujimalizie miaka yetu hii michache ya 50-60 tujipitie zetu tukaangalie yanayofuata huko mbele. Unafiki na chuki za mwanadamu, AAACHA KABISA!
 
Bahati mbaya hakuna anayehoji. Hata wale wabunge batili hakuna wanachofikiria zaidi ya kusubiria rushwa ili waisifie mikataba ya hovyo.
 
Yawezekana unakaribia kupagawa. Eti mimi Bams ni mfuasi wa marehemu Magufuli!

Wafuasi wa marehemu Magufuli wanafahamu jinsi nilivyowahi kuzikosoa sana baadhi ya sera na matendo ya marehemu, kiasi cha wengine kunitusi ni kunitaja kuwa mimi ni mpiga debe wa Samia.

Sijawahi na sitakuja niwe mpiga debe wa mtu yeyote bali nina kiapo cha cha kudumu cha kuwa mfuasi wa ukweli. Nitakiishi kiapo hicho milele.
 
Hakuna awamu ambayo hikukopa Tena magufuli ndio aliyekopa kwenye nabenk

Kwaiyo maoni yako ni nini?
Tuache unafiki wa kujisifia na kujipongeza sana kwa mafanikio kiduchu. Kuridhika na kujipongeza sana kwa mafanikio kidogo kunajenga moyo wa kurudhika na kutojishughulisha zaidi na kwa kasi zaidi.
 
Tungekua na kiongizi aina yako hakika tungefika mbali wapo baadhi lakini system haiwaruhusu kutoa maoni Yao wanabk tu kusifia ...rip Magu
Tuungane kupaza sauti, na wakati fulani kupinga kwa nguvu zetu zote, serikali inapotufanyia hadaa.
 
Nasikia kuna watu wanalipwa humu kushambulia serikali...Kwa hiyo usishangae threads za kushambulia Hadi mbinu za kutatua matatizo
DP, serikali na makampuni makubwa yasiyo na uadilifu, ndio wenye pesa za kuwahonga watu.

Hapa hatushambulii bali tunakosoa.
 
Umelewa kwa maana huyu mpuuzi amepotosha saaana
Ni vema ukaja na uzi wenye kuelezea uhalisia wa jambo na kukanusha upotoshaji kwa hoja sahihi, kinyume chake kumtusi mleta mada ww ndie unastahili kupigwa mawe kama kibaka
 
Acha uongo! Angalia Resident engineers wote wanatoka Ethiopia na hata materials nyingi za ujenzi zitatoka nje, nyie Watanganyika mtakuwa vibarua tu na kubaki kuuziana chai na chips!
Crap

Very crappy project haijaanza tayari umeshapanga safu

You are such an ass
 
Crap

Very crappy project haijaanza tayari umeshapanga safu

You are such an ass
I would wonder if a gay person like you could understand! You keep on being sodomized, that is what you can afford!
🖕
 
Serikali imeanza kukopa indirect🤣🤣🤣
 
I would wonder if a gay person like you could understand! You keep on being sodomized, that is what you can afford!
🖕
Losing argument kijinga Hivi only works for idiots

Issue za matusi Hivi only comes from assholes
 
Nasikia kuna watu wanalipwa humu kushambulia serikali...Kwa hiyo usishangae threads za kushambulia Hadi mbinu za kutatua matatizo
Umesikia vibaya. Sifa kuu ya JF ni kukosoa bila kuogopa. Aidha, ni sehemu ambapo anaekosolewa ana haki ya kujitetea bila kuogopa. Ndivyo ilivyokuwa. Hapa hapakuwa mahali pa vuvuzela. Kiongozi makini anathamini wale wanaomueleza ukweli wao kuliko wale ambao wanaona kuwa wajibu wao ni kumsifia hata pale ambapo dhahiri amekosea. Watu kama nyie ambao badala ya kuitetea serikali kwa kujibu hoja kwa hoja mnakimbilia kumwaga matusi na kuwashutumu wenzenu kuwa wamenunuliwa mnatia doa platform hii.

Amandla....
 
Ni kitu sahihi na kitu chema kwa sababu zifuatazo
1. Miundombinu ijengwe tunaihitaji, kuhusu kulipa tutajua mbele ya safari
2. ni heri kufanya maamuzi hata kama yana makosa kuliko kutofanya maamuzi kabisa
3. Tukidaiwa deni kubwa tutaumiza kichwa na kutafuta vyanzo vipya vya mapato
4. Hata tusipo kopa kwa miundombinu basi tutakopa kwa vitu vingine vya kijinga kama mishahara, posho na kampeni
5. Makosa ni sehemu ya maisha hivyo tusiogope kukosea ndo kujifunza huko, maisha hayaji na user manual
6. Mtu hawezi kosa cha kupinga hata uwe na plan nzuri vipi
7. Uthubutu ndo msi gi wa mafanikio naipongeza serikali kwa uthubutu wa kuboresha miundombinu hata kama kuna makosa yatarekebishwa na vizazi vijavyo
 
Acha kujitoa ufahamu. Njoo waone vibarua wa SGR wanalipwa kiasi gani ni shilingi unaiona mtaani. Hamnaga kitu kama hichoeti fesa zitajaa mtaani. Labda uchumi wa kwenye karatasi.

Vibarua wa SGR wanalipwaa Shilingi elfu sita kwa siku na mtaani hata tunaaoishi pembeni mwa kambi za mturuki hatuzioni hizo pesa zinazosemwa.
kwa ufupi utaratibu wa ujenzi kwa mtindo wa EPC + F ni janga kwa Taifa.
 
Wivu baada kupigwa za uso.Unatumia EPC+F kama una pesa na akili,wajinga wajinga kama Wajamaa hawawezi kutumia..

Hiki ni kiwewe baada ya kuona legacy inaenda kufunikwa..

Mengine ni blaa blaa na ujinga wa kujifariji tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…