Yeah, na CV pia. Lakini hata kama CV yake haina qualifications za maana hiyo haimaanisha kwamba ana uhalali wa kufanya kazi against his job ethics.Mwenye CV ya Ifraim Kibonde atuwekee, vinginevyo tumsamehe kwa sababu kula kwake kunategemea kujikomba, Huyu mtu hana ajira mbadala, tumsamehe ni kama Malaria sugu!
Yeah, na CV pia. Lakini hata kama CV yake haina qualifications za maana hiyo haimaanisha kwamba ana uhalali wa kufanya kazi against his job ethics.
KIBONDE MAJI CHOO!!(huu ulikuwa usemi maarufu sana pale mby miaka ya 80,yaani mtu feki kabisa na asiyejiweza)Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
is kibonde a real man?
Nilimsikiliza Kibonde akimponda MrII wakati MrII alipokuwa akilalamika kutapeliwa na Januwari Makamba katika dili la show za Malaria haikubaliki. It was sooooooo irritating. very unprofessional, na kama kawaida ialionesha kwamba alilipwa mshiko wa nguvu ili kumponda MrII.
nilidhani ni bahati mbaya lakini jinsi Kibonde alivyo handle utangazaji katika huu mchakato wa uchaguzi, nimehitimisha kwamba ni njaa kali ambaye anatumia nafasi yake kwenye microphone kufanya kazi ya mafisadi
Kibonde is simply unprofessional, uncivilized and mswahili mshamba
is kibonde a real man?