KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kibonde,gadna na ma*ay*wengine wa clouds levo yao ni za kina kanumba,aunt ezekiel,uwoya,malo,chege, na K wote vibaraka. Tunakosea sana tunapomjadili icon,legendary,mpambanaji uncle sugu na K hawa.
Sikiliza mwenyewe madudu ya Kibonde ndani ya Cloudsssss FM jana akizungumzia mbwa pewa mimba na mtu..
Kibonde ni mnafiki na mzandiki mkubwaHabari nilizozipata punde..
Mtangazaji wa clouds Fm Ephraim Kibonde ameitumia salamu Jamii Forums, home of great thinkers na ameshukuru na kuheshimu michango yake..
Is a mwananchi who will be under Mnyika administration... anaishi Mbezi Morogoro Road.
Ni sawa na kuuliza kinyesi msalani kaka jibu unaloMkuu unalielewaje hili neno HEKIMA? hivi kibondo ana hekima kweli?
....ni aslaaaam aleikhum...........Ephraim Kibonde ndiyo nani?
Amandla.........