the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Uzalendo wa kuuza Nyumba za serikali? kamwe hatasamehewa kwa hilo mpaka nyumba zote zirudi serikalini
Tumewahi kusema hapa tatizo sio Magufuli, anaweza akawa binafsi ni mzuri sana, na unajua mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ukilimnganisha na akina Mramba, Chenge, Karamagi na wenzie yeye ana unafuu..Ila tatizo linabaki alipo yeye atazidiwa nguvu na mafisadi.. Hata hizo nyumba za serikali huenda tukipata source nzuri huenda sio uamuzi wake! Kwa hiyo hatuwezi bado kumkubali akiwa ndani ya hicho chama dhalimu.
mtangazaji wa clouds fm ndio nani katika jamii? eff herKTK ILE HALI ISIYO YA KAWAIDA MTANGAZAJI WA CLOUDS AMEKIRI WANANCHI HAWAITAKI TENA CCM!MUOKOZI NI MAGUFULI 2015 HIVYO APEWE WIZARA NYETI VINGINEVYO 2015 BYE BYE!source JAHAZI LEO
Iyo ya Magufuli umeiongezea au ndo awalivyosema?
Give us the essense of the issued statement
ktk ile hali isiyo ya kawaida mtangazaji wa clouds amekiri wananchi hawaitaki tena ccm!muokozi ni magufuli 2015 hivyo apewe wizara nyeti vinginevyo 2015 bye bye!source jahazi leo
Jamani manfahamu Kibonge anakula T.Shs ngapi from Zain peke yake kwenye 'Jingles' alizowatengenezea? Ni hela ndefu, mamilioni, hata huyo Sugu akae miaka mi-5 bungeni hazifikii....
Tuache kudharau kazi yake; kama binadamu ana makosa aliyoyafanya na ni wazi katika hilo! Il aunaposema "utatangaza mpaka ukome harafu huna tija kwenye utangazaji" sijui tunazungumzia tija gani maana jamaa nadhani ndiye anayeongoza kwa kula mkataba mnono na makampuni binafsi bongo kuliko yeyote yule!
Kibonde mbona bwabwa lile !!!!!!!!!!!!!!!