Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde Jahazi Show

aisee watu wamekereka enhee ... aliongea nini jana huyu ndugu??

I am not a hater but yesterday i hated this person to the most!! Mungu anisamehe tu kwani baadaye ilinilazimu kuswali kuondoa hiyo hatredness but naamini nastahili pia kumshauri huyu ndugu.

Kama unapita hapa Ephraim ... ningekushauri sana uwe makini na propaganda zako zisizo na mashiko ... unajipunguzia credibility kwa jamii katika mambo hata yasiyokuhusu ... ina maana wananchi, wanasheria, wanataaluma wote wanaozungumzia uchungu wao juu ya malipo ya dowans ni wehu!!??

Upuuzi ulioongea jana ni wakijinga sana kwa maslahi ya taifa hili ... wanachi wangapi wanataabika kijijini sababu ya matumizi mabaya ya rasilimali zetu?? acha upuuzi ndugu yangu ... sifia vitu vyenye mantiki na huna haja ya kujigeuza kuwa "enemy of the people"! kama ni njaa then do it in a brave way ... kujua sana kutakugharimu uhusiano wako na jamii! watu walikuponda sana a couple of weeks back for your unbalanced arguments, ukajaribu kuficha pumba zako for few days now unarudi kule kule; naamini u can do better than that man ... go out there and do it in a more balanced way ... for sure u'll be praized!! ni ushauri tu!!
 
:confused2::confused2::confused2::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::confused2::confused2::confused2:

Ha ha ha... Kwamba kabahatika kusikiliza pumba... ha ha ha... Voice uko makini mkuu!
 
Mkuu Elli inakuwaje unaweka Title ya namna hiyo. Napata hasira zaidi juu yako kuliko juu ya Kibonde mwenyewe. Futa Title hiyo haraka, unamwomba nani ukuonee huruma?

Asante Mpwa, nilitaka zaidi ku-catch attention, sina huruma na siwezi kuonewa huruma na ile takataka. Thanks
 
Kibonde ni mjinga kwa sababu haangalii wala kufikiria anachozungumza, anaropoka akifikiri kwamba wote ni wajinga kuliko yeye......pls alichoongea huyu jamaa jana machozi yalikaribia kunitoka. Sitaki kukumbuka tena
 
Asante Mpwa, nilitaka zaidi ku-catch attention, sina huruma na siwezi kuonewa huruma na ile takataka. Thanks

Tuko pamoja. Nilidhani unataka kuleta habari za "taarifa za kiintelijensia."
 
Si Mpenzi wa kusikiliza kipindi chake cha JAHAZI lakini mara nyingi sana nimebahatika kumsikia Jamaa huyu akiropoka sana, kusema ukweli nilimheshimu sana Kibonde lakini kwa sasa namuona hana maana tena kwa sababu zifuatazo;

Anashabikia mambo yenye ukweli usiopingika, mfano swala la DOWANS ambalo jana alilizungumzia kwa mbwembwe sana, asijue kuwa anazidi kuharibuhali ya hewa, alidai kuwa nchi haiwezi kukosa usingizi kwa sababu ya mtu mmoja anaetaka madaraka kwa nguvu na kwamba kama ni suala la lkutaka kupigiwa kura basi asubiri 2015; sina tatizo na maoni yake kwa hili,, ugomvi wangu ni yeye kujifanya kuwa ndo mwakilishi wa Watanzania wote, aliongea kwa kebehi kubwa sana, je na sisi tutafute au tutumie nafasi zetu kumkebehi?

Pili, Kusisitiza kwake kuwa ni sahihi DOWANS kulipwa na kama kuna anaebisha basi akae kimya, nimemuona ni mtu asie busara kuliko hata mvuta bangi (samahani kama nimekosea)

Tatu, kutaka viongozi wa dini eti wasiingiliea mambo ya nchi ni ujinga kama wanasiasa; na hapa na mimi namuomba kuwa kama yeye si mwana siasa basi aachane na mambo ya siasa la sivyo aondoke kwenye utangazaji aje kwenye siasa.

La mwisho, nawaombeni sana, lugha ya kuwakebehi wengine na kuwaona hawana maana airekebishe upesi; akumbuke alivyokuwa anamponda Mr.Two, lakini yuko wapi sasa, mwenzie ni mbunge na bado yeye ni watch dog tena mropokaji mtaani anaetafuta umaarufu kwa madereva wa daladala na makondakta.

Na kama vipi basi arudi akaendelee na matangazo yake ya Zain yasiyo na impact yoyote.

Narudi tena baadae
ni matokeo ya malezi, amelelewa na kuyashika vyema mafundisho ya sisiem hivyo lugha anayotumia iko karibu sana na lugha za kina Tambwe Hiza, Mary Chatanda , Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu ,... the list can be expanded to N , where N <= ccm members (maana si wote wameiva namna hiyo)
 
Si Mpenzi wa kusikiliza kipindi chake cha JAHAZI lakini mara nyingi sana nimebahatika kumsikia Jamaa huyu akiropoka sana, kusema ukweli nilimheshimu sana Kibonde lakini kwa sasa namuona hana maana tena kwa sababu zifuatazo;

Anashabikia mambo yenye ukweli usiopingika, mfano swala la DOWANS ambalo jana alilizungumzia kwa mbwembwe sana, asijue kuwa anazidi kuharibuhali ya hewa, alidai kuwa nchi haiwezi kukosa usingizi kwa sababu ya mtu mmoja anaetaka madaraka kwa nguvu na kwamba kama ni suala la lkutaka kupigiwa kura basi asubiri 2015; sina tatizo na maoni yake kwa hili,, ugomvi wangu ni yeye kujifanya kuwa ndo mwakilishi wa Watanzania wote, aliongea kwa kebehi kubwa sana, je na sisi tutafute au tutumie nafasi zetu kumkebehi?

Pili, Kusisitiza kwake kuwa ni sahihi DOWANS kulipwa na kama kuna anaebisha basi akae kimya, nimemuona ni mtu asie busara kuliko hata mvuta bangi (samahani kama nimekosea)

Tatu, kutaka viongozi wa dini eti wasiingiliea mambo ya nchi ni ujinga kama wanasiasa; na hapa na mimi namuomba kuwa kama yeye si mwana siasa basi aachane na mambo ya siasa la sivyo aondoke kwenye utangazaji aje kwenye siasa.

La mwisho, nawaombeni sana, lugha ya kuwakebehi wengine na kuwaona hawana maana airekebishe upesi; akumbuke alivyokuwa anamponda Mr.Two, lakini yuko wapi sasa, mwenzie ni mbunge na bado yeye ni watch dog tena mropokaji mtaani anaetafuta umaarufu kwa madereva wa daladala na makondakta.

Na kama vipi basi arudi akaendelee na matangazo yake ya Zain yasiyo na impact yoyote.

Narudi tena baadae

Wewe si kilema wa kuonewa huruma. Kibonde kama jina lake ni mpuuzi tena sana usituletee thread inayohusu huyo mtu hujui tajiri yake ni Manji na CCM?
 
ni matokeo ya malezi, amelelewa na kuyashika vyema mafundisho ya sisiem hivyo lugha anayotumia iko karibu sana na lugha za kina Tambwe Hiza, Mary Chatanda , Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu ,... the list can be expanded to N , where N <= ccm members (maana si wote wameiva namna hiyo)
Makamba, Kinana, January...and the list ends
 
Wewe si kilema wa kuonewa huruma. Kibonde kama jina lake ni mpuuzi tena sana usituletee thread inayohusu huyo mtu hujui tajiri yake ni Manji na CCM?
Hilo nalo neno, wa kunionea huruma awe kibonde??? Some Content Mpwa, aaaah tatizo tulikimbia Literature ya akina Man of the People na An Enemy of the People....nimekusoma mpwa, ngoja na mie nikamsikilize saa izi anaongea utumbo gani tena
 
Ushauri wa bure kwa huyo Kibondeee- ajaribu kufikiri kabla ya kuzungumza na kama ana dini ajue ulimi ni mbaya kuliko upanga ukatao kuwili. Jaribu kwenda kwenye masomo ya juu kidogo uweze kufanya "intelligent analysis" ya hoja mbalimbali zinazotolewa jamvini. Sana sana unajidhihirisha u mtu wa namna gani. JIREKEBISHE.

Tatizo watu wengi walioko kwenye media bongo ni vilaza sasa hiyo intelligent analysis/critical thinking/investigative journalism wataifanya vipi wakati shule ni zero?
Wanachokiongea hawajui zaidi ya kupewa karatasi na kusoma ama kupiga stories ambazo ni pumba tu.
Kibonde shule kilaza so hiyo ndio mavuno mtakayoyapata akiwa hewani.
 
Kaka kwani humjui Kibonde hana tofauti na Vibonde wengine hana jipya ni mtu wa kujipendekeza akingoja kufadhaliwa kwa kuwapaka watu mafuta tuna mjua ila tatizo ni hiyo media ameitumia vibaya nashindwa kucoment zaidi sababu siku sikia hicho kipindi.
Si Mpenzi wa kusikiliza kipindi chake cha JAHAZI lakini mara nyingi sana nimebahatika kumsikia Jamaa huyu akiropoka sana, kusema ukweli nilimheshimu sana Kibonde lakini kwa sasa namuona hana maana tena kwa sababu zifuatazo;

Anashabikia mambo yenye ukweli usiopingika, mfano swala la DOWANS ambalo jana alilizungumzia kwa mbwembwe sana, asijue kuwa anazidi kuharibuhali ya hewa, alidai kuwa nchi haiwezi kukosa usingizi kwa sababu ya mtu mmoja anaetaka madaraka kwa nguvu na kwamba kama ni suala la lkutaka kupigiwa kura basi asubiri 2015; sina tatizo na maoni yake kwa hili,, ugomvi wangu ni yeye kujifanya kuwa ndo mwakilishi wa Watanzania wote, aliongea kwa kebehi kubwa sana, je na sisi tutafute au tutumie nafasi zetu kumkebehi?

Pili, Kusisitiza kwake kuwa ni sahihi DOWANS kulipwa na kama kuna anaebisha basi akae kimya, nimemuona ni mtu asie busara kuliko hata mvuta bangi (samahani kama nimekosea)

Tatu, kutaka viongozi wa dini eti wasiingiliea mambo ya nchi ni ujinga kama wanasiasa; na hapa na mimi namuomba kuwa kama yeye si mwana siasa basi aachane na mambo ya siasa la sivyo aondoke kwenye utangazaji aje kwenye siasa.

La mwisho, nawaombeni sana, lugha ya kuwakebehi wengine na kuwaona hawana maana airekebishe upesi; akumbuke alivyokuwa anamponda Mr.Two, lakini yuko wapi sasa, mwenzie ni mbunge na bado yeye ni watch dog tena mropokaji mtaani anaetafuta umaarufu kwa madereva wa daladala na makondakta.

Na kama vipi basi arudi akaendelee na matangazo yake ya Zain yasiyo na impact yoyote.

Narudi tena baadae
 
With all my due respect to you mkuu...
Unapoanzisha thread kwenye forum kama hii kwa ajili ya mtu wa jinsi hii, huoni kwamba unampa ujiko asiostahili?

Au?
 

Hahaa nimekusoma vizuriii, lakini haina haja ya kumpenda ki agape mpuuzi kama huyu maana mshikaji inasemekana anasambaza ngoma kwa watoto wa Shule( source: albam ya ant virus- vinega wa bongo)

🙂
teh!
 
Exposure ndogo.... kama hawezi hata kusoma alama za nyakati... aachwe lakini ataelewa hivi karibuni watanzania wanahitaji nini.....
 
Katutumia salamu kama nani? kwa sababu ya thread niliyoanzisha leo? aende zake huko
 
Back
Top Bottom