Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna kipindi niliskia kuwa jamaa anasumbuliwa na kale kaugonjwa, labda ndo kamepanda hadi kichwani labda, mmh nimejisemea tu jamani katika harakati za kupunguza machungu dhidi ya huyu kiumbe, ila ni kweli kulikuwa na ka-uvumi kajinsia hiyo