Episode ya Unga: Msanii Diamond apokonywa Passport, Masanja Mkandamizaji ndani


mkuu huyu kaambiwa kuna ishu JF akakimbia kuja kujiunga ili abwabwaje. kwake yeye madawa sio mambo muhimu ya kitaifa. watanzania wengine bwana.
 
hawana lolote wanawakamata vijana ambao hawana uhakika nao si wawakamate wale wanaotajwa tajwa sana....
 
Bongo bwana, ukiwa na pesa watasema either freemason au unga
 
unapiga show ya milioni 20 bongo? kilikua ni kiini macho kile,
 
mkuu huyu kaambiwa kuna ishu JF akakimbia kuja kujiunga ili abwabwaje. kwake yeye madawa sio mambo muhimu ya kitaifa. watanzania wengine bwana.


Wana Roho Mbaya kweli kweli hawa,

Wanashiriki katika kuangamiza kizazi cha taifa letu,sio wa kuwachekea hata kidogo Mkuu
 
Ndo maana wamarekan wanazid kutuacha mbal kimaendeleo sehem kubwa ya taifa ni vijana isipokuwa vijana haohao wakiendelea wanapigwa nyundo au maendeleo tanzania ni haram maana ukisoma hupati kazi ukijiajil unafanya biashara haram ukinusurika hapo watataka uisaidie serikali ukikataa wewe sio mtanzania jaman wote hatuwez kuwa wanasiasa wengine kudanganya hatuwez
 
Ni kawaida sana kusikia wachungaji na walokole wakijihusisha na biashara hii ya sembe,mfano mzuri ni wakati Prophet TB Joshua alipokamatwa enzi za Sani Abacha kwa kuhusishwa na biashara ya sembe.
Hata hivyo baadaye ilikuja kugundulika kuwa ilikuwa si kweli na akaachiwa,hivi majuzi juzi kaachiwa aliyekuwa mkuu wa upelelezi ktk serikali ya Abacha na akaenda moja kwa moja ktk SCOAN kumuomba msamaha TB Joshua.
 
Huyo mheshimiwa mchungaji Dr Rwakatale, wanaweza kumchungazi, lakini itakuwa ni changa la macho tu, lakini Ridhiwani HAWAWEZI kumchunguza.... labda baada ya 2015....

ukisikia uonevu ndio huo, kinyesi wanacho ndani wao wanahangaika kutafuta harufu nje, wawa wache watoto wa watu wao wanataka wawe matajiri peke yao.!
 
mbona jana dogo kazindua video kali na kumzawadia mzee gurumo gari pale serena hotel- cost ya video tu its about $30000 garama ya ukumbi na ku-hire decorator jumla ni kama 30ml za kibongo, Income yake ni shilingi ngapi???
 
Unga ndio biashara kwa sasa mjini! Itachukua muda sana kukwepa hili!
 
Mawee Masanja na wewe umeanza kujiunga na uuzaji wa dawa!..ndg wana JF tuogope kujificha kwenye biblia kufany uovu.
 
Ikiwa ni
kweli atakuwa ameharibu
 
dah bongo noma!...mwakyembe u a nt serious! Mbona hutusikii kina ..... Tunackia vidagaa tu!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…