Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka alichohojiwa sio kuleta habari kimagamba hapaUmemsikiliza Masanja alivyohojiwa na vijimambo?
Bila kumsahau mtoto wa RaisBado sugu mwaka huu lazima wote waanikwe bayana.
Picha na chanzo cha tarifa yako mkuu hatutaki habari ya kutunga sorce mkuu.
mbona Rais ana majina ya wauza unga anawaficha bora na yeye aachie ngaziMkuu tarifa hii kama ya kweli tufute muziki wa kizazi kipya tumakiwe na ngoma asil make wote wahuni sasa,
inamaana wanaingia kwenye muziki wauze unga wajinga sana.
Masanja si ni mlokole/ameokoka...
Mkuu tarifa hii kama ya kweli tufute muziki wa kizazi kipya tumakiwe na ngoma asil make wote wahuni sasa,
inamaana wanaingia kwenye muziki wauze unga wajinga sana.
hiyo ya kwanza hadi giza limeshaingia,huo uzalishaji unaufanya saa ngapi.....
sijui lini tutafungua haya macho yetu na kuona mambo kwa jicho la 3
Nikweli mziki kaanza juzi hapa halafu amiliki mali kiasi hicho,huyo ngurumo tu kaanza miziki miaka ya 60 na kaastafu juzi tu nahajapata pesa ,