EPL: Makombe Mawili Yaliyofanana yatapelekwa kwenye Viwanja vya Emirates & Etihad katika michezo ya leo ya kuamua nani awe bingwa

EPL: Makombe Mawili Yaliyofanana yatapelekwa kwenye Viwanja vya Emirates & Etihad katika michezo ya leo ya kuamua nani awe bingwa

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Bodi la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wameamua kupeleka makombe mawili yanayofanana katika viwanja viwili vya Emirates ambapo utapigwa mchezo wa Arsenal Vs Everton.

Kombe la pili litapelekwa kule Etihad ambapo kutakuwa na mchezo wa Man City Vs West Ham.

Sambamba na hayo pia, watapeleka medali 40 katika viwanja vyote viwili ambavyo kiwanja kimojawapo kinategemea kutupa bingwa wa EPL.

Pia itapeleka majukwaa ya ubingwa, shampeni, na itifaki zote za sherehe za ubingwa katika viwanja hivyo viwili.

Japo bosi wa EPL yeye atakuwa Emirates kushudia pambano la Arsenal.

Wenzetu wamejiapanga sana, kuhakikisha kuwa hakuna linaloharibika.

Timu za Man City na Arsenal zinagombania ubingwa ambao utaamuliwa leo katika siku ya mwisho ya msimu, huku Man City akiwa juu kwa tofauti ya alama mbili.

Kwangu mimi kila la heri kwa Man City katika mbio hizo za ubingwa!!
 
Bodi la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wameamua kupeleka makombe mawili yanayofanana katika viwanja viwili vya Emirates ambapo utapigwa mchezo wa Arsenal Vs Everton.

Kombe la pili litapelekwa kule Etihad ambapo kutakuwa na mchezo wa Man City Vs West Ham.

Sambamba na hayo pia, watapeleka medali 40 katika viwanja vyote viwili ambavyo kiwanja kimojawapo kinategemea kutupa bingwa wa EPL.

Pia itapeleka majukwaa ya ubingwa, shampeni, na itifaki zote za sherehe za ubingwa katika viwanja hivyo viwili.

Japo bosi wa EPL yeye atakuwa Emirates kushudia pambano la Arsenal.

Wenzetu wamejiapanga sana, kuhakikisha kuwa hakuna linaloharibika.

Timu za Man City na Arsenal zinagombania ubingwa ambao utaamuliwa leo katika siku ya mwisho ya msimu, huku Man City akiwa juu kwa tofauti ya alama mbili.

Kwangu mimi kila la heri kwa Man City katika mbio hizo za ubingwa!!
Arsenal ni kikosi cha wahuni. EPL wanapoteza pesa kupeleka kombe na medali huko Emirates. Hawajitambui.
 
Mkuu tumeshakataaga unafki lakini🤣
Hahaha acha tuwatakie tu heri ndugu zetu mkuu wasije kusema tuna roho mbaya, ila kuchukua ubingwa ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, japo kiukweli nilitamani wao wachukue ila ndio hivyo tena
 
Yanga + Arsenal + Kataa Ndoa = Happiness
FB_IMG_17158500784888412.jpg
 
Mimi siyo arsenal,ila nawaombea wabebe hili kombe..wanatia huruma sana.Ngoja tuone kwenyw mpira kila kitu kinawezekana.
 
Back
Top Bottom