Ligi yenye timu dhaifu itakuaje bora?Pep Guardiola kaibadilisha sana EPL
1.Kaifanya Top 4 kuwa na thamani zaidi.
2.Kafanya alama 80+ kuwa chache kutwaa ubingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua kitu nilichojifunza hapa ni kwamba watu wanafananisha Ligue na Mashindano mafupi kama CL na Europa Ligue,yaani hyo ni sawa na kusema Kwakua Hussein Bolt anaweza mpita Mo Farah kwenye mbio za mita 100 basi Bolt ni mkimbiaji bora zaidi ya Mo ambae ni bigwa wa mita 1000+ ,hyo logic haimake sense
Timu za la liga ndyo huwa zimedominate hichi kipindi cha miaka 10 lakn yale ni mashindano mafupi huwezi fananisha na mashindano ya ligue ambayo ina mechi 38 hvyo kusema la liga ni bora kwa style hyo sio fair assesment, ukiangalia timu zinazoshinda hyo mashindano yenyewe ya ulaya mara nyingi ni zile zile hyo ina maaanisha hzo timu chache ndo zinafanya ligi ionekane bora kwasababu hizo timu chache zilizojazwa vpaji ndo zinaifanya ligue zima ionekane bora ila ukilinganisha timu moja moja kiuwezo unakuja kuona kwamba sio kweli.
Na pia tungeanza kujiuliza ligue bora inatakiwa kuwa na vigezo gani? Kama Spain ni Ligue bora zaidi kwann mashabiki wa Mpira wengi wanapenda kucheki mechi za PL zaidi ya La liga? Mimi kwa mtizamo wangu,Ligue bora ni ile yenye ushindani mkubwa,Yenye wachezaji bora Wengi,Yenye kuangaliwa na kupendwa na watu wengi zaidi,ambayo haitabiriki mshindi mpka mechi za mwisho kutokana na kutokuwa na tofauti kubwa sana ya viwango katika Club zake!
Hata Vitz,Bongo zinauzika sana ila haimaanishi kua Vitz ndio Gari bora kuliko zingine.
Wabongo wengi wananunua Vitz sababu za kiuchumi sio kwasababu wanaipenda Vitz sana,EPL inaangaliwa zaidi ya La Liga sababu inapendwa zaidi sio kwasababu za kiuchumi so huwezi fananisha hvyo Vitu!
Mkuu naona umejijibu tayari na hakuna tofauti na nilicho comment mimi,tumewasilisha kwa lugha tofauti tu,kupendwa kuangaliwa epl sio kipimo cha ubora wa ligi.Wabongo wengi wananunua Vitz sababu za kiuchumi sio kwasababu wanaipenda Vitz sana,EPL inaangaliwa zaidi ya La Liga sababu inapendwa zaidi sio kwasababu za kiuchumi so huwezi fananisha hvyo Vitu!
Kila mwaka ligi kubwa zinatoa timu bora nne zinazoenda kucheza mashindano makubwa(champions ligue) na timu mbili zilizofanya vizuri zinaenda kwenye mashindano(ueropa ligue). Kama ndani ya miaka kumi kuna ligi moja imetawala mashindano yote mawili kwa kwa kipindi hicho kwa nini tusiite bora? Hata kenya wanaonekana wako mbele kwenye riadha kuliko sisi kwa sababu mashindano makubwa ya riadha wanatawala wao na sio sisi. Tuipende EPL lakini bado haiaifikia la liga kwa ubora hata mashindano ya kombe la dunia mara nyingi wachezaji wanaofanya vizuri la liga inatoa wengi kuliko ligi nyingne.Unajua kitu nilichojifunza hapa ni kwamba watu wanafananisha Ligue na Mashindano mafupi kama CL na Europa Ligue,yaani hyo ni sawa na kusema Kwakua Hussein Bolt anaweza mpita Mo Farah kwenye mbio za mita 100 basi Bolt ni mkimbiaji bora zaidi ya Mo ambae ni bigwa wa mita 1000+ ,hyo logic haimake sense
Timu za la liga ndyo huwa zimedominate hichi kipindi cha miaka 10 lakn yale ni mashindano mafupi huwezi fananisha na mashindano ya ligue ambayo ina mechi 38 hvyo kusema la liga ni bora kwa style hyo sio fair assesment, ukiangalia timu zinazoshinda hyo mashindano yenyewe ya ulaya mara nyingi ni zile zile hyo ina maaanisha hzo timu chache ndo zinafanya ligi ionekane bora kwasababu hizo timu chache zilizojazwa vpaji ndo zinaifanya ligue zima ionekane bora ila ukilinganisha timu moja moja kiuwezo unakuja kuona kwamba sio kweli.
Na pia tungeanza kujiuliza ligue bora inatakiwa kuwa na vigezo gani? Kama Spain ni Ligue bora zaidi kwann mashabiki wa Mpira wengi wanapenda kucheki mechi za PL zaidi ya La liga? Mimi kwa mtizamo wangu,Ligue bora ni ile yenye ushindani mkubwa,Yenye wachezaji bora Wengi,Yenye kuangaliwa na kupendwa na watu wengi zaidi,ambayo haitabiriki mshindi mpka mechi za mwisho kutokana na kutokuwa na tofauti kubwa sana ya viwango katika Club zake!
Sasa kama ligi ya uingereza ndo ina wachezaji bora wengi kwanini wanashindwa kubeba UEFA cup na badala yake kwa mwaka wa kumi sasa timu za Spain ndo zinaongoza kwa kuchukua hilo kombe?Mimi kwa mtizamo wangu,Ligue bora ni ile yenye ushindani mkubwa,Yenye wachezaji bora Wengi,Yenye kuangaliwa na kupendwa
Na leo liver anaaga championsCha ajabu hiyo watford na crystal ukizikutanisha na alaves na levante bado timu za spain zinaweza kuibuka washindi.
Uwa najiuliza ubora wa timu zenu uko wapi?
Timu zetu za Spain(la liga) karibia miaka kumi sasa zinawaenyesha timu zenu bora za uingereza kwenye mashindano makubwa ulaya,UCL na Europal yake.
Hata mwaka huu uwezekano wa UCL kurudi spain ni mkubwa.
Sasa kama ligi ya uingereza ndo ina wachezaji bora wengi kwanini wanashindwa kubeba UEFA cup na badala yake kwa mwaka wa kumi sasa timu za Spain ndo zinaongoza kwa kuchukua hilo kombe?
Kila mwaka ligi kubwa zinatoa timu bora nne zinazoenda kucheza mashindano makubwa(champions ligue) na timu mbili zilizofanya vizuri zinaenda kwenye mashindano(ueropa ligue). Kama ndani ya miaka kumi kuna ligi moja imetawala mashindano yote mawili kwa kwa kipindi hicho kwa nini tusiite bora? Hata kenya wanaonekana wako mbele kwenye riadha kuliko sisi kwa sababu mashindano makubwa ya riadha wanatawala wao na sio sisi.
Mkuu naona umejijibu tayari na hakuna tofauti na nilicho comment mimi,tumewasilisha kwa lugha tofauti tu,kupendwa kuangaliwa epl sio kipimo cha ubora wa ligi.
Too many words with almost zero substance.Unajua mnapofeli nyie ni pale mnapoamini kwakuwa timu mbili tatu za Spain zina dorminate basi ndo mna Assume au kupotoka kwamba ligi nzima ni bora, ligi sio timu nne ligi ni timu 20+,ukiangalia hzo timu za Spain zinazodominate miaka yote ni zile zile tu tunazijua Barca,Madrid,Atletico na Sevilla sasa kama hyo ligi kweli ni bora mbna timu zinazoshinda ni hizo hizo? mbna hatuoni timu nyingine?? EPL wachezaji wazuri wapo wengi sema wapo dristributed kwenye timu tofauti tofauti wakati La liga wamejazana kwenye timu 2 sijui 3 mna super teams lakin msijidanganye kwamba hyo ligi ni bora! unafikiri EPL stars kama Hazard,Debruyne,Aguero,Kante,Van dijk wangekuwa timu moja wangeshindwa ku dorminate hyo CL? kama Barca na Madrid?
Tena huo mfano wa Kenya mzuri sana Kenya kweli wale ni bora kwenye riadha na tofauti yao na uhuo mfano wako wa la liga ni kwamba Kenya wanatoa wanariadha wazuri tofauti tofauti karibia kila mashindano wakati La liga timu zinazofanya vizuri ni zile zile hazibadiliki sasa hapo utasema unatimu nzuri au Ligi nzuri?? kwan ligi ni timu 4 tu??
Too many words with almost zero substance.
Kwani nyie mmekatazwa kujaza wachezaji wazuri kwenye timu zenu ili mdominate mashindano yote ya ulaya?
Au dhumuni la kufanya usajili kwa kila timu ni nini kama sio ku accumulate wachezaji wazuri watakaoipa timu mafanikio(kuchukua vikombe)?
Au kuna sheria zinazowakataza nyie waingereza msikusanyanye wachezaji wazuri kwenye timu moja kama timu za Spain ili muwe mabingwa wa ulaya?
Halafu hii sababu yako ni less than weak.
Nyinyi hata Europal league ni mwendo wa kuonewa na timu za Spain halafu unaleta tantalila za sijui mmejaza wachezaji wazuri kwenye timu moja.
Mkuu ebu njoo na sababu za kueleweka kuitetea ligi yako mbovu.
Usisahau jana Tottenham kafumuliwa na ajax tena kwao...
Hahahaaaaaaa.Kwamba watu hawana akili wanalipia hela kwenda kuangalia utumbo au? acheni kuongea vitu vya ajabu kama hyo La liga ni bora sana mbna watu hawana habari nayo ss? mpka ifike el Clasico ndo utaanza kusikia watu wakiiongelea mpka hapo unakuwa umejifunza nn kwa akili yko?Ligi ikifika katikati tu tayari ushamjua mshindi kuna ligi hapo? vile vile EPL big mechi zipo nyingi sana uhasama na ushindani unazidi kuongezeka kila mwaka kushinda ubingwa au kuingia Top 4 tu vinazidi kuwa kazi zaidi,makocha bora karibia wote either wapo tayari au wanataka kuja EPL unafikiri kwann labda? vitu vizuri kila siku ndo vinapendwa zaidi mzee
Yani wewe unapima kutazamwa kwa Laliga kwa reference ya Tanzania?Kwamba watu hawana akili wanalipia hela kwenda kuangalia utumbo au? acheni kuongea vitu vya ajabu kama hyo La liga ni bora sana mbna watu hawana habari nayo ss? mpka ifike el Clasico ndo utaanza kusikia watu wakiiongelea mpka hapo unakuwa umejifunza nn kwa akili yko?Ligi ikifika katikati tu tayari ushamjua mshindi kuna ligi hapo? vile vile EPL big mechi zipo nyingi sana uhasama na ushindani unazidi kuongezeka kila mwaka kushinda ubingwa au kuingia Top 4 tu vinazidi kuwa kazi zaidi,makocha bora karibia wote either wapo tayari au wanataka kuja EPL unafikiri kwann labda? vitu vizuri kila siku ndo vinapendwa zaidi mzee
Sijaona fact yeyote hapo zaidi ya mahaba niue,mlikua mnasema Guardiola ni kocha mzuri coz yupo ligi nyepesi,amekuja epl amevunja rekodi kibao za City na bado anawaburuza,jana hiyo team inayocheza ligi ngumu imepigwa 3-0 na Barca,sasa inakuaje ligi ngumu inazalisha team vilaza?!Kwamba watu hawana akili wanalipia hela kwenda kuangalia utumbo au? acheni kuongea vitu vya ajabu kama hyo La liga ni bora sana mbna watu hawana habari nayo ss? mpka ifike el Clasico ndo utaanza kusikia watu wakiiongelea mpka hapo unakuwa umejifunza nn kwa akili yko?Ligi ikifika katikati tu tayari ushamjua mshindi kuna ligi hapo? vile vile EPL big mechi zipo nyingi sana uhasama na ushindani unazidi kuongezeka kila mwaka kushinda ubingwa au kuingia Top 4 tu vinazidi kuwa kazi zaidi,makocha bora karibia wote either wapo tayari au wanataka kuja EPL unafikiri kwann labda? vitu vizuri kila siku ndo vinapendwa zaidi mzee