EPL ndo ligi bora duniani

EPL ndo ligi bora duniani

EPL INA promo nyingi za bei chee hivyo kuwa na urahisi wa kuonwa na kuzoeleka na wengi,lakini ki ukweli Mpira wa akili mingi na maarifa upo Spain ,hawa EPL. ni wazuri wa kukimbia kimbia tuu uwanjani na nguvu nyingi ubongoni zero, man city inayochukuwa tactics za Spain itawaburuza sana England
Mwl. Kashasha vipi hapo ?
nani kawazuia promo ligi ya bure au bei ya chini ni laliga na league 1
 
Pele kacheza spain na italy??

Maradonna, Batistuta, Messi, Zico, Ronaldo, Romario, Rivaldo, Bebeto, Kaka, Ronaldinho, Eder, Salas, Zamoranno, Redondo, ukihitaji wengine sema tu mkuu
 
Ndani ya miaka kumi iliyopita katika mshindano ya club bingwa ulaya ambayo yalihusisha vilabu vikubwa kutoka ligi kuu mbalimbali za ulaya na epl ikiwemo kombe lilienda uingereza mara moja, italy mara moja, ujerumani mara moja Spain mara saba. Kwenye mashindano ya kombe la shirikisho kwa mda wa miaka kumi kombe vile vile limeenda spain karibu mara saba. Kwa takwimu hzo chache ni wazi kua ndani ya miaka kumi timu za la liga ndio zilizotawala mashindano makubwa ulaya.

wachezajo bora wa dunia wanatoka ligi gan na hilo ungejazia hapo huyu mtoto
akakojoe alale
 
Unajua kitu nilichojifunza hapa ni kwamba watu wanafananisha Ligue na Mashindano mafupi kama CL na Europa Ligue,yaani hyo ni sawa na kusema Kwakua Hussein Bolt anaweza mpita Mo Farah kwenye mbio za mita 100 basi Bolt ni mkimbiaji bora zaidi ya Mo ambae ni bigwa wa mita 1000+ ,hyo logic haimake sense

Timu za la liga ndyo huwa zimedominate hichi kipindi cha miaka 10 lakn yale ni mashindano mafupi huwezi fananisha na mashindano ya ligue ambayo ina mechi 38 hvyo kusema la liga ni bora kwa style hyo sio fair assesment, ukiangalia timu zinazoshinda hyo mashindano yenyewe ya ulaya mara nyingi ni zile zile hyo ina maaanisha hzo timu chache ndo zinafanya ligi ionekane bora kwasababu hizo timu chache zilizojazwa vpaji ndo zinaifanya ligue zima ionekane bora ila ukilinganisha timu moja moja kiuwezo unakuja kuona kwamba sio kweli.

Na pia tungeanza kujiuliza ligue bora inatakiwa kuwa na vigezo gani? Kama Spain ni Ligue bora zaidi kwann mashabiki wa Mpira wengi wanapenda kucheki mechi za PL zaidi ya La liga? Mimi kwa mtizamo wangu,Ligue bora ni ile yenye ushindani mkubwa,Yenye wachezaji bora Wengi,Yenye kuangaliwa na kupendwa na watu wengi zaidi,ambayo haitabiriki mshindi mpka mechi za mwisho kutokana na kutokuwa na tofauti kubwa sana ya viwango katika Club zake!

watawala wetu ndo wametushika akili but spain kuna romantic football
cyo kukimbizana kama uk
 
EPL INA promo nyingi za bei chee hivyo kuwa na urahisi wa kuonwa na kuzoeleka na wengi,lakini ki ukweli Mpira wa akili mingi na maarifa upo Spain ,hawa EPL. ni wazuri wa kukimbia kimbia tuu uwanjani na nguvu nyingi ubongoni zero, man city inayochukuwa tactics za Spain itawaburuza sana England

Mwl. Kashasha vipi hapo ?

1.Hivi mkuu unaelewa kweli unachoongea ww?? sasa La liga na EPL ipi iko cheap?? unajua haki za kurushwa matangazo ya EPL ni kiasi gani?kama ulikuwa hujui hakuna ligi ya mpira ambayo ni expensive kuliko EPL ss unavyosema cheap sielewi hizo takwimu zko umepata wap!

2. Kama EPL ni wazuri wa kukimbia kimbia tu imekuwaje wao ndo ligi ambayo imeingiza timu nyingi Quarter final CL kuliko ligi nyingine yoyote msimu huu?? na uliopita kufikisha timu moja final? Barca bingwa wenu wa la liga leo wamebamizwa 4-0 na kutolewa CL, na timu ambayo umesema hawatumii akili hebu tuelezee ilikuwaje hapo mwalimu kashasha!!

3.Tactic za City sio za Spain ndugu yangu,tick taka asili yake ni Ajax Amsterdam (uholanzi) na zilianzia kwa legend Johan Cruyff alieyekuwa mchezaji na kocha wa zamani wa Ajax ambae alikuja kufundisha Barca na wakina Guadiola na timu ya taifa ya Spain kujifunza kwake,na kwakua barca anaitumia haina maana kwamba timu zote la liga huitumia,shida ni kwamba unataka kufanya mafanikio ya barcelona na madrid kuwa ndo mafanikio ya La liga wakati hvyo ni vitu viwili tofauti hapa tunaongelea ubora wa ligi nzima sio ubora wa Club 2 sijui.
 
1.Hivi mkuu unaelewa kweli unachoongea ww?? sasa La liga na EPL ipi iko cheap?? unajua haki za kurushwa matangazo ya EPL ni kiasi gani?kama ulikuwa hujui hakuna ligi ya mpira ambayo ni expensive kuliko EPL ss unavyosema cheap sielewi hizo takwimu zko umepata wap!

2. Kama EPL ni wazuri wa kukimbia kimbia tu imekuwaje wao ndo ligi ambayo imeingiza timu nyingi Quarter final CL kuliko ligi nyingine yoyote msimu huu?? na uliopita kufikisha timu moja final? Barca bingwa wenu wa la liga leo wamebamizwa 4-0 na kutolewa CL, na timu ambayo umesema hawatumii akili hebu tuelezee ilikuwaje hapo mwalimu kashasha!!

3.Tactic za City sio za Spain ndugu yangu,tick taka asili yake ni Ajax Amsterdam (uholanzi) na zilianzia kwa legend Johan Cruyff alieyekuwa mchezaji na kocha wa zamani wa Ajax ambae alikuja kufundisha Barca na wakina Guadiola na timu ya taifa ya Spain kujifunza kwake,na kwakua barca anaitumia haina maana kwamba timu zote la liga huitumia,shida ni kwamba unataka kufanya mafanikio ya barcelona na madrid kuwa ndo mafanikio ya La liga wakati hvyo ni vitu viwili tofauti hapa tunaongelea ubora wa ligi nzima sio ubora wa Club 2 sijui.
Me naona usingetumia nguvu nyingi kiasi iki kumuelewesha either si mpenzi wa mpira karopoka tu au ni mshangiliaji na si mshabiki..
Mtu ana fuatilia mpira awezi ongea vitu vya ajabu kiasi icho

Mfano rahisi tu Star times wanaonyesha La liga, vipi kuhusu Epl ...!!!
 
Me naona usingetumia nguvu nyingi kiasi iki kumuelewesha either si mpenzi wa mpira karopoka tu au ni mshangiliaji na si mshabiki..
Mtu ana fuatilia mpira awezi ongea vitu vya ajabu kiasi icho
Mfano rahisi tu Star times wanaonyesha La liga, vipi kuhusu Epl ...!!!
azam pia ni bure la liga inapatikana kiurahisi
 
Mi mwenyewe nawezakaa miezi hata mi3 nikashtukizwa tu kuwa kesho kuna EL-CLASSICO ndipo nikaangalia laliga lkn huwa sihangaiki nayo kabisa maana ligi ikishaanza tu tayari ushajua timu ipi ni Bingwa, so haina mvuto wowote wa ushindani.
Hahah..Lakin cha ajabu pamoja na kuwa cheap watu hawana habari nayo! na hao wanaosema La liga ni bora unakuta wao ndo wafatiliaji wakubwa wa EPL, inachekesha sana
 
Uwingi si hoja hata duniani watu bora ni wachache,drsn wnfz bora ni wachache acheni kulinganisha utumbo wa epl na steki ya LALIGA! Kuna utofauti mkubwa sana kati ya uwingi na ubora,hata humu JF wenye hoja na mada zenye mashiko ni wachache!
 
Uwingi si hoja hata duniani watu bora ni wachache,drsn wnfz bora ni wachache acheni kulinganisha utumbo wa epl na steki ya LALIGA! Kuna utofauti mkubwa sana kati ya uwingi na ubora,hata humu JF wenye hoja na mada zenye mashiko ni wachache!

Ningekubaliana na ww kama tungekuwa tunaongelea kitu kingine ila kwenye maswala ya entertainment wingi wa kupendwa kitu ni kutokana na ubora wa hicho kitu siku zote! Ushawahi kuona wapi demu mbaya akifukuziwa na washkaji wengi kwa mfano? Watu wote duniani hupenda vitu vizuri hata kama vikiwa gharama..
 
Hahahaaaaaaa.
Mnaruka ruka tu.
Kipimo cha ubora wa ligi za ulaya ni champions league tu. Hizi nyingine kelele.
Kipimo cha shule bora sio mitihani ya mhula ni National examination.
Huwezi jipima ubora kwa kujishindanisha wewe mwenyewe.
Go out there and show your quality.

Naamini quality uliiona jana Baada ya kile kipigo cha mbwa koko alichopokea Barcelona pale Anfield 🤣🤣
 
Kaka uko vzr sana kwa madini mazuri kichwani, unabishana kwa hoja nzuri na mifano halisi, big up Man.
Ningekubaliana na ww kama tungekuwa tunaongelea kitu kingine ila kwenye maswala ya entertainment wingi wa kupendwa kitu ni kutokana na ubora wa hicho kitu siku zote! Ushawahi kuona wapi demu mbaya akifukuziwa na washkaji wengi kwa mfano? Watu wote duniani hupenda vitu vizuri hata kama vikiwa gharama..
 
Too many words with almost zero substance.

Kwani nyie mmekatazwa kujaza wachezaji wazuri kwenye timu zenu ili mdominate mashindano yote ya ulaya?

Au dhumuni la kufanya usajili kwa kila timu ni nini kama sio ku accumulate wachezaji wazuri watakaoipa timu mafanikio(kuchukua vikombe)?

Au kuna sheria zinazowakataza nyie waingereza msikusanyanye wachezaji wazuri kwenye timu moja kama timu za Spain ili muwe mabingwa wa ulaya?

Halafu hii sababu yako ni less than weak.

Nyinyi hata Europal league ni mwendo wa kuonewa na timu za Spain halafu unaleta tantalila za sijui mmejaza wachezaji wazuri kwenye timu moja.

Mkuu ebu njoo na sababu za kueleweka kuitetea ligi yako mbovu.

Usisahau jana Tottenham kafumuliwa na ajax tena kwao...

Nadhani sasa mmeelewa uwezo wa timu za EPL msirudie tena kuifananisha na viligi vya ajabu ajabu!
 
Back
Top Bottom