Unajua kitu nilichojifunza hapa ni kwamba watu wanafananisha Ligue na Mashindano mafupi kama CL na Europa Ligue,yaani hyo ni sawa na kusema Kwakua Hussein Bolt anaweza mpita Mo Farah kwenye mbio za mita 100 basi Bolt ni mkimbiaji bora zaidi ya Mo ambae ni bigwa wa mita 1000+ ,hyo logic haimake sense
Timu za la liga ndyo huwa zimedominate hichi kipindi cha miaka 10 lakn yale ni mashindano mafupi huwezi fananisha na mashindano ya ligue ambayo ina mechi 38 hvyo kusema la liga ni bora kwa style hyo sio fair assesment, ukiangalia timu zinazoshinda hyo mashindano yenyewe ya ulaya mara nyingi ni zile zile hyo ina maaanisha hzo timu chache ndo zinafanya ligi ionekane bora kwasababu hizo timu chache zilizojazwa vpaji ndo zinaifanya ligue zima ionekane bora ila ukilinganisha timu moja moja kiuwezo unakuja kuona kwamba sio kweli.
Na pia tungeanza kujiuliza ligue bora inatakiwa kuwa na vigezo gani? Kama Spain ni Ligue bora zaidi kwann mashabiki wa Mpira wengi wanapenda kucheki mechi za PL zaidi ya La liga? Mimi kwa mtizamo wangu,Ligue bora ni ile yenye ushindani mkubwa,Yenye wachezaji bora Wengi,Yenye kuangaliwa na kupendwa na watu wengi zaidi,ambayo haitabiriki mshindi mpka mechi za mwisho kutokana na kutokuwa na tofauti kubwa sana ya viwango katika Club zake!