Epuka gharama kwa kuacha kununua vitu visivyo vya lazima, tumia mbinu hizi

Epuka gharama kwa kuacha kununua vitu visivyo vya lazima, tumia mbinu hizi

Nashukuru Mungu kwa hili la kuwa na tamaa ya vitu sina licha ya kuwa na kipato kinachonikimu kufanya hvyo lakini mimi daima dumu ni mtu wa kupuuza vitu vya MUHIMU na kuvipa vipaumbele vitu vya MSINGI
 
Nashukuru Mungu kwa hili la kuwa na tamaa ya vitu sina licha ya kuwa na kipato kinachonikimu kufanya hvyo lakini mimi daima dumu ni mtu wa kupuuza vitu vya MUHIMU na kuvipa vipaumbele vitu vya MSINGI
Hongera sana mkuu
 
Two days ndogo sana huwa jambo unatakiwa ufikirie wiki mbili ukiona bado lina sumbua akili basi una haki ya kununua na inatakiwa iende hadi mwezi mmoja
ni kweli Ila minimum ni 48 hours kwa kuwa Ile Tamaa ambayo ilikuwa created by brain na hormones inakuwa imepita Muda wake, lakini hata mwezi au wiki sio mbaya 🤝
 
Sehemu nyingine ambapo waweza nunua kitu bila kutarajia ni kwenye maduka makubwa ya bidhaa yaani super market. Tahadhari Sana uendapo katika maduka kama hayo. Ni vyema ukiwa umeandika orodha ya vitu unavyovihitaji ambavyo utavinunua na kuachana kabisa na vile ambayo hukuviorodhesha.
point ya msingi hii, asante kaka
 
Kijana,umenena vyema…

Brain,inayozalisha tabia ndizo znazotusukuma kufanya maamuz kwenye eneo la fedha ….imeelezwa bayana kwenye kitabu cha psychology of money tabia ndio tatizo

Tunaposhindwa kuthibiti tabia zetu,hatuna utawala juu ya fedha zetu
 
Kijana,umenena vyema…

Brain,inayozalisha tabia ndizo znazotusukuma kufanya maamuz kwenye eneo la fedha ….imeelezwa bayana kwenye kitabu cha psychology of money tabia ndio tatizo

Tunaposhindwa kuthibiti tabia zetu,hatuna utawala juu ya fedha zetu
asante
 
Mimi principle yangu ya kununua kitu huwa ninanunua baada ya kusave pesa ya mshahara wa mwezi uliyopita.Iko hivi kama kunakitu cha bei kubwa ninakitaka, huwa ninasubiri hadi mwisho wa mwezi husika,nikishaingiziwa mshahara basi kile kiasi cha pesa nilichosave mshahara uliyopita ndo naenda kuwithdraw ndo nanunua hicho kitu.Kwa mtindo huu account yangu haikosi ki akiba endapo nitapata dharura.
 
Mimi principle yangu ya kununua kitu huwa ninanunua baada ya kusave pesa ya mshahara wa mwezi uliyopita.Iko hivi kama kunakitu cha bei kubwa ninakitaka, huwa ninasubiri hadi mwisho wa mwezi husika,nikishaingiziwa mshahara basi kile kiasi cha pesa nilichosave mshahara uliyopita ndo naenda kuwithdraw ndo nanunua hicho kitu.Kwa mtindo huu account yangu haikosi ki akiba endapo nitapata dharura.
imekaa vizuri hii rafiki yangu.
 
Back
Top Bottom