Epuka hizi tabia kazini la sivyo wenzako wanaweza kujaribu kukuharibia; ukizifanya hakikisha una kinga

Epuka hizi tabia kazini la sivyo wenzako wanaweza kujaribu kukuharibia; ukizifanya hakikisha una kinga

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Ukizifanya hakikisha una kinga aidha ya Muumba, Ndumba, Bosi, n.k.

Vitu vinavyoweza kufanya wengine kutaka kukuharibia

Over archievement: Yani unakuwa ni kama toleo la mtu mzima la mwanafunzi yule anaependa kumkumbusha mwalimu kutoa homework, huko kazini ukiwa mchapakazi sana kuzidi wengine yani unafika kazini kwa muda, ukifika unaanza kazi mapema, unapiga overtime, n.k. hapa hata bosi anaanza kukutupia jicho na kuwaona wengine wavivu, hii inaweza kuwa hatari kwako.

Chawa wa bosi: Usiwe kama Mwijaku / Babalevo kwa bosi, wengine wanaona ni kama wewe ndio unapeleka taarifa mbovu kwa bosi, pia mkiwa ofisi moja wanakuona kama vile spy.

Kuwa snichi: Ni heri wakuhisi tu kwamba unasnichi lakini wakipata ushahi kwamba ni kweli basi utapata wakati mgumu.

Kujitenga: Yani hata uwe na masters huku wenzako wana elimu ya diploma usije kuthubutu kufanya hili kosa, jichanganye nao tu, hapo kazini unaweza kuzeekea sio vizuri hata kidogo kuanza kuishi vibaya, ni kama kwenye misiba tunakula hata kukiwa na wali bokoboko, sio tuna enjoy bali ni kuwa wamoja.

Ukorofi ama kugha chafu: Hakuna watu waopenda haya mambo
 
Katika ajira sehemu yenye watu wengi Fanya majukumu yako kadri yanavyopaswa kufanywa, yasiyokuhusu na kutokuwa na athari yeyote kwako yapuuze, urafiki na wafanyakazi wenzako unakoma pale masaa ya kazi yanapokwisha baada ya hapo kila mtu ashike njia aende zake na kubwa na la muhimu zaidi BOSS SIO RAFIKI YAKO.

Ukifuata hayo maisha yako ya ajira yatakuwa na amani kabisa.
 
Ukizifanya hakikisha una kinga aidha ya Muumba, Ndumba, Bosi, n.k.

Vitu vinavyoweza kufanya wengine kutaka kukuharibia

Over archievement: Yani unakuwa ni kama toleo la mtu mzima la mwanafunzi yule anaependa kumkumbusha mwalimu kutoa homework, huko kazini ukiwa mchapakazi sana kuzidi wengine yani unafika kazini kwa muda, ukifika unaanza kazi mapema, unapiga overtime, n.k. hapa hata bosi anaanza kukutupia jicho na kuwaona wengine wavivu, hii inaweza kuwa hatari kwako.

Chawa wa bosi: Usiwe kama Mwijaku / Babalevo kwa bosi, wengine wanaona ni kama wewe ndio unapeleka taarifa mbovu kwa bosi, pia mkiwa ofisi moja wanakuona kama vile spy.

Kuwa snichi: Ni heri wakuhisi tu kwamba unasnichi lakini wakipata ushahi kwamba ni kweli basi utapata wakati mgumu.

Kujitenga: Yani hata uwe na masters huku wenzako wana elimu ya diploma usije kuthubutu kufanya hili kosa, jichanganye nao tu, hapo kazini unaweza kuzeekea sio vizuri hata kidogo kuanza kuishi vibaya, ni kama kwenye misiba tunakula hata kukiwa na wali bokoboko, sio tuna enjoy bali ni kuwa wamoja.

Ukorofi ama kugha chafu: Hakuna watu waopenda haya mambo
Naongezea ficha mafanikio na harakati zako binafsi Kwa Hali Yoyote Ile hususani kuonyesha vitu,mahali ulipotembelea na mali mbalimbali unazomiliki
 
Katika ajira ya sehemu yenye watu wengi Fanya majukumu yako kadri yanavyopaswa kufanywa, yasiyokuhusu na kutokuwa na athari yeyote kwako yapuuze, urafiki na wafanyi kazi wenzako unakoma pale masaa ya kazi yanapokwisha baada ya hapo kila mtu ashike njia aende zake na kubwa na la muhimu zaidi BOSS SIO RAFIKI YAKO.

Ukifuata hayo maisha yako ya ajira yatakuwa na amani kabisa.
Asante Kwa hizi nondo..
 
Mm ni creature wa AJABU sanaaa Huwa siwez kua chawa, mlamba viatu kua snitch nilishindwaga......

Nyeus ni nyeus na nyekundu ni nyekundu kwenye kazi gepu langu utaliona lazima........

Ntarud hapa baadae kuendeleaa nimepata dharula...
 
Ukizifanya hakikisha una kinga aidha ya Muumba, Ndumba, Bosi, n.k.

Vitu vinavyoweza kufanya wengine kutaka kukuharibia

Over archievement: Yani unakuwa ni kama toleo la mtu mzima la mwanafunzi yule anaependa kumkumbusha mwalimu kutoa homework, huko kazini ukiwa mchapakazi sana kuzidi wengine yani unafika kazini kwa muda, ukifika unaanza kazi mapema, unapiga overtime, n.k. hapa hata bosi anaanza kukutupia jicho na kuwaona wengine wavivu, hii inaweza kuwa hatari kwako.

Chawa wa bosi: Usiwe kama Mwijaku / Babalevo kwa bosi, wengine wanaona ni kama wewe ndio unapeleka taarifa mbovu kwa bosi, pia mkiwa ofisi moja wanakuona kama vile spy.

Kuwa snichi: Ni heri wakuhisi tu kwamba unasnichi lakini wakipata ushahi kwamba ni kweli basi utapata wakati mgumu.

Kujitenga: Yani hata uwe na masters huku wenzako wana elimu ya diploma usije kuthubutu kufanya hili kosa, jichanganye nao tu, hapo kazini unaweza kuzeekea sio vizuri hata kidogo kuanza kuishi vibaya, ni kama kwenye misiba tunakula hata kukiwa na wali bokoboko, sio tuna enjoy bali ni kuwa wamoja.

Ukorofi ama kugha chafu: Hakuna watu waopenda haya mambo
Labda utoe ufafanuzi kwanza kazi ipi unaongelea. Maana sisi wachunga ng'ombe tumekosa pa ku comment
 
Over archievement: Yani unakuwa ni kama toleo la mtu mzima la mwanafunzi yule anaependa kumkumbusha mwalimu kutoa homework, huko kazini ukiwa mchapakazi sana kuzidi wengine yani unafika kazini kwa muda, ukifika unaanza kazi mapema, unapiga overtime, n.k. hapa hata bosi anaanza kukutupia jicho na kuwaona wengine wavivu, hii inaweza kuwa hatari kwako.
Huwezi amini nikiwa kijana mdogo wa miaka 17 tu nimewahi kuonewa gere na kuharibiwa mipango yangu na mwalimu wangu kwa kuona achievements zangu zinazidi za kwake katika umri huo! Imenichukua muda mrefu kujua kuwa duniani unapoona kuwa kitu flani ni kawaida tu kuna wengine wanaenda mpaka kuzimu kushtaki!
 
Katika ajira sehemu yenye watu wengi Fanya majukumu yako kadri yanavyopaswa kufanywa, yasiyokuhusu na kutokuwa na athari yeyote kwako yapuuze, urafiki na wafanyakazi wenzako unakoma pale masaa ya kazi yanapokwisha baada ya hapo kila mtu ashike njia aende zake na kubwa na la muhimu zaidi BOSS SIO RAFIKI YAKO.

Ukifuata hayo maisha yako ya ajira yatakuwa na amani kabisa.
Daaa wewe ni genius.
 
Mm ni creature wa AJABU sanaaa Huwa siwez kua chawa, mlamba viatu kua snitch nilishindwaga......

Nyeus ni nyeus na nyekundu ni nyekundu kwenye kazi gepu langu utaliona lazima........

Ntarud hapa baadae kuendeleaa nimepata dharula...
Wewe ni Mimi mtupu
 
Huwezi amini nikiwa kijana mdogo wa miaka 17 tu nimewahi kuonewa gere na kuharibiwa mipango yangu na mwalimu wangu kwa kuona achievements zangu zinazidi za kwake katika umri huo! Imenichukua muda mrefu kujua kuwa duniani unapoona kuwa kitu flani ni kawaida tu kuna wengine wanaenda mpaka kuzimu kushtaki!
Samahani naomba utupe story yako tafadhali tujifunze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukizifanya hakikisha una kinga aidha ya Muumba, Ndumba, Bosi, n.k.

Vitu vinavyoweza kufanya wengine kutaka kukuharibia

Over archievement: Yani unakuwa ni kama toleo la mtu mzima la mwanafunzi yule anaependa kumkumbusha mwalimu kutoa homework, huko kazini ukiwa mchapakazi sana kuzidi wengine yani unafika kazini kwa muda, ukifika unaanza kazi mapema, unapiga overtime, n.k. hapa hata bosi anaanza kukutupia jicho na kuwaona wengine wavivu, hii inaweza kuwa hatari kwako.

Chawa wa bosi: Usiwe kama Mwijaku / Babalevo kwa bosi, wengine wanaona ni kama wewe ndio unapeleka taarifa mbovu kwa bosi, pia mkiwa ofisi moja wanakuona kama vile spy.

Kuwa snichi: Ni heri wakuhisi tu kwamba unasnichi lakini wakipata ushahi kwamba ni kweli basi utapata wakati mgumu.

Kujitenga: Yani hata uwe na masters huku wenzako wana elimu ya diploma usije kuthubutu kufanya hili kosa, jichanganye nao tu, hapo kazini unaweza kuzeekea sio vizuri hata kidogo kuanza kuishi vibaya, ni kama kwenye misiba tunakula hata kukiwa na wali bokoboko, sio tuna enjoy bali ni kuwa wamoja.

Ukorofi ama kugha chafu: Hakuna watu waopenda haya mambo
Hiyo ya kwanza kwanini liwe tatizo?
 
Back
Top Bottom