Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nakata kisha nawekwa kwenye kontena na kufunga vizuri zisipitishe hewa naweka kwa frigde.Hivi nanasi huwa linahifadhiwa vipi? Ukiweka kwenye friji linaharibika ukiliweka tu kwenye kabati linaharibika, linahifadhiwaje?
Linapata rangi ya brown katikati, linapoteza ladhaMie nakata kisha nawekwa kwenye kontena na kufunga vizuri zisipitishe hewa naweka kwa frigde.
Ni kweli kama litakaa muda mrefu.Linapata rangi ya brown katikati, linapoteza ladha
Nanasi ni Hatari usileHivi nanasi huwa linahifadhiwa vipi? Ukiweka kwenye friji linaharibika ukiliweka tu kwenye kabati linaharibika, linahifadhiwaje?
Lina hatari gani?Nanasi ni Hatari usile
Mkuu nenda kapime itakuwa na ugonjwa wa kusahau[emoji3] [emoji3] [emoji3]mimi kwenye tomato na tikiti dah hapo sijui itakuwaje ,miaka yote nahifadhi
ila tikiti likiwa la baridi tamu....hayo mengine tutajua baadae
Madhara ya Nanasi ni Mabaya Sana when you eat Pineapple na wewe lina kueat you back so i have to protect you si unajua Tarehe Moja sio Mbali nianze kukupa vizawadi zawadiLina hatari gani?
Hili suala linategemea wapi mtoa mada alipo. Kama unaishi nchi za joto kali lazima friji itumike kuhifadhi vyakula vyenye kuathirika na joto. Lakini kwa wenzetu wanaoishi nchi za baridi, hali ya hewa ya hiyo sehemu inajitosheleza kuhifadhi chakula kisiharibike.Jamani nyanya? So tutanunua kila siku gengeni? Tikiti lenyewe mbona huwa haliishi kwa wakati mmoja? Mweee. T
Aiseee basi litanila hadi linimalize, make nadhani ndio my favorite tunda, napenda sana nanasiMadhara ya Nanasi ni Mabaya Sana when you eat Pineapple na wewe lina kueat you back so i have to protect you si unajua Tarehe Moja sio Mbali nianze kukupa vizawadi zawadi
![]()
Ennh tukianza yetu utanifundisha ili tule kwa Nafasi si ndioAiseee basi litanila hadi linimalize, make nadhani ndio my favorite tunda, napenda sana nanasi
Ukitaka kufa mapema fatilia mambo hizi.... ..
Aiseee basi litanila hadi linimalize, make nadhani ndio my favorite tunda, napenda sana nanasi