TheFastest
Member
- Jun 17, 2016
- 86
- 87
Kasema likiwekwa likiwa tayari lishakatwa sawa ila si kabla ya kulikataila tikiti likiwa la baridi tamu....hayo mengine tutajua baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema likiwekwa likiwa tayari lishakatwa sawa ila si kabla ya kulikataila tikiti likiwa la baridi tamu....hayo mengine tutajua baadae
Mayai usipoyaweka kwenye friji yanapungua yale maji yake, ila yakikaa kwenye friji freeesh hata mwezi yanakua vizuri tumsiweke mayai fresh pia kwenye fridge.hasa mayai yasiyokuwa sealed. watu husahau mayai hutoka kwenye vinyeo vya kuku,na huwa hayaoshwi. kama vilivyo vinyeo vyote duniani, mayai pia huwa na masalia ya uchafu ya yalipotoka.mayai ili yasiharibike huwa hayaoshwi.
kufuatia hilo, msiwe mnashika mayai fresh na kula chakula.
Dawa yake kuhifadhi tumboni tu maana hakuna namna sasa, liliwe tu hapo hapoHivi nanasi huwa linahifadhiwa vipi? Ukiweka kwenye friji linaharibika ukiliweka tu kwenye kabati linaharibika, linahifadhiwaje?
Yahifadhi tumboni piavp kuhusu maziwa fresh nayo
Nunua la saizi yako ule umalizeHivi nanasi huwa linahifadhiwa vipi? Ukiweka kwenye friji linaharibika ukiliweka tu kwenye kabati linaharibika, linahifadhiwaje?
Napenda sana nanasi, nikienda sokoni natamani kununua mengi nikae nakula daily, ila ndo yanaharibikaNunua la saizi yako ule umalize
Napenda sana nanasi, nikienda sokoni natamani kununua mengi nikae nakula daily, ila ndo yanaharibika
Hapana namaliza kusoma nachukua tikiti kwenye friji. Ni tamu balaa.ila tikiti likiwa la baridi tamu....hayo mengine tutajua baadae
Sabuni, ndala na mswakiiiKwa hiyo kwenye friji tuweke nin sasa?
Ha ha ha ha ha hakanitoshi mamaUkienda sokoni nunua kale kakipande wanakokuwa wamekata kula.. :cry:
Mbona lenyewe tu tayari ni baridii bila hata kuwekwa frijiniila tikiti likiwa la baridi tamu....hayo mengine tutajua baadae