Duh! Hapa kwenye mayai sijui itakuwaje maana huwa nahifadhi kwenye friji.msiweke mayai fresh pia kwenye fridge.hasa mayai yasiyokuwa sealed. watu husahau mayai hutoka kwenye vinyeo vya kuku,na huwa hayaoshwi. kama vilivyo vinyeo vyote duniani, mayai pia huwa na masalia ya uchafu ya yalipotoka.mayai ili yasiharibike huwa hayaoshwi.
kufuatia hilo, msiwe mnashika mayai fresh na kula chakula.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahMi firiji nasikia kwa majirani tu
Tumboni [emoji4]Hivi nanasi huwa linahifadhiwa vipi? Ukiweka kwenye friji linaharibika ukiliweka tu kwenye kabati linaharibika, linahifadhiwaje?
Very right!Ukitaka kufa mapema fatilia mambo hizi.... ..
KWA JINSI UNAVYONIFURAHISHA, KWA KWELI NINGEKUNUNuLIA bicycle mpya kabisa ya PEUGEOTKuishi Afrika tu ni shida tosha, hayo mambo ya friji tu msamiati
kuhifadhia viatu na socks zinazotemaAcheni mbwembwe sasa jokofu litumike kwa kazi gani mbona kila kitu mnakipiga ban?
ha ha ha nshapata njia kumbe nlikua nakosea naweka bila kufunika, msimu ukifika nitanunua ndoo ndogo nayamenya naweka kwenye friji nafunika.....Tumboni [emoji4]
[emoji1] [emoji1]Kwa hiyo kwenye friji tuweke nin sasa?
Hifadhi sehemu ya wazi isiyo na jotoNapenda sana nanasi, nikienda sokoni natamani kununua mengi nikae nakula daily, ila ndo yanaharibika
Umefurahiiiii eti, nyie wa masaki eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sabuni, ndala na mswakiii
Mimi msimu wa nanasi nafurahi kinoma maana muda wote lipo kwenye fridge la baridiiiiiha ha ha nshapata njia kumbe nlikua nakosea naweka bila kufunika, msimu ukifika nitanunua ndoo ndogo nayamenya naweka kwenye friji nafunika.....
kila dakika napitia kama panya vile
Hapana mkuu,mimi mbona wa uswazi tu?Umefurahiiiii eti, nyie wa masaki eeh
Dah! mie naisoma humu ila kuna kipindi nakumbuka nilienda hospital nikuta hiyo kitu walinambia yaitwa JokofuMi firiji nasikia kwa majirani tu
Good , kumbe u mwenzangu ki mazingira , lolHapana mkuu,mimi mbona wa uswazi tu?
Nimefurahi tu kwa jinsi ulivyoandika comment yako ndio maana nimekupa like.
Nothing else [emoji135]
hii nayo swafi nitafanya hivo pia, ila hata kulifunika linakaa zaidi ya siku mbili na utamu ule uleMimi msimu wa nanasi nafurahi kinoma maana muda wote lipo kwenye fridge la baridiiiii
Uwiiiiiii napenda nanasi sana.
Ujue nilikuwa nafanyaje?
Nanunua kama ma3/4 yaani la kuliwa siku ya kwanza linakuwa bivu,la siku inayofuata limeiva kidogo,lingine bichi kidogo na lingine bichi kabisa.
So yanaiva kwa kupishana
Hahahahahaaaaa
Chezea utamu wa nanasi wewe?Mbinu hazikosekani.
Hata hivyo nanasi likizidisha siku 2 kwenye fridge ni majanga tu.
Nitaendelea na mbinu yangu ileile [emoji4]
Ndio umejifunza.., usianze kuyaosha tu kabla ya kuyaweka kwenye fiji, yataharibika.Duh! Hapa kwenye mayai sijui itakuwaje maana huwa nahifadhi kwenye friji.