Unahitaji ushauri nasaha, huwezi amini watu wa ulaya na marekani wanatamani kuishi afrika. sijui wewe ukoje!Kuishi Afrika tu ni shida tosha, hayo mambo ya friji tu msamiati
Unahitaji ushauri nasaha, huwezi amini watu wa ulaya na marekani wanatamani kuishi afrika. sijui wewe ukoje!Kuishi Afrika tu ni shida tosha, hayo mambo ya friji tu msamiati
linaharibu ujauzito????mmmh serious???Nifah & Evelyn Salt mnajua lakini kama nanasi linaharibu ujauzito?
Na pia linatumika sana na wauzaji mishkaki kulainishia nyama, yani wanakamua maji ya nanasi alafu wanarowekea nyama, inakuwa laiiiniii....
So lina matumizi mengi...
Enjoy
Sure, ndomana wamama wajawazito hawashauriwi kutumia nanasilinaharibu ujauzito????mmmh serious???
Heheheheheila tikiti likiwa la baridi tamu....hayo mengine tutajua baadae
Labda nguo na viatu tu sasaKwa hiyo kwenye friji tuweke nin sasa?
duh sijawahi kusikia hii....ahsante kwa elimuSure, ndomana wamama wajawazito hawashauriwi kutumia nanasi
Mivinyo!Kwa hiyo kwenye friji tuweke nin sasa?
Salaam Mkuu,Hivi nanasi huwa linahifadhiwa vipi? Ukiweka kwenye friji linaharibika ukiliweka tu kwenye kabati linaharibika, linahifadhiwaje?
Wine je?Mivinyo!