Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Mwanamke ambaye hujamuoa lazima umuhudumie na kila mwanamke ana price tag tofauti ni wewe umemchagua yupi?!!
Ukioa kuna mahari, ukienda riverside kuna cash (nipe nikupe) ukitaka boyfriend & girlfriend unakutana na “Babe nikwambie” kifupi wanawake wote bila pesa ni bora ukakwichy cousin’s wako bro 😹
Tatizo sio kutoa hela, tatizo uyo mwanamke anaprovide nini in return ya izo hela?.

Kama mnajiona mnachotoa(sex) kinalingana na kile ambacho anatakiwa kutoa mwanaume(hela) mbona ikifanyika trading places yaani wewe utoe hela na mwanaume akupe mapenzi hamtaki.

Kama mnaamini kila upande unatoa equal output kwanini hamtaki trading places yaani wewe utoe hela mwanaume atoe mapenzi.
 
Tatizo sio kutoa hela, tatizo uyo mwanamke anaprovide nini in return ya izo hela?.

Kama mnajiona mnachotoa(sex) kinalingana na kile ambacho anatakiwa kutoa mwanaume(hela) mbona ikifanyika trading places yaani wewe utoe hela na mwanaume akupe mapenzi hamtaki.

Kama mnaamini kila upande unatoa equal output kwanini hamtaki trading places yaani wewe utoe hela mwanaume atoe mapenzi.
Wapi tumekataa?!!
Hiyo mbona ndio nzuri na inafanyika sana!! 😹😹
Eti mahi Kapeace kuna mwanamke anakataa huduma huko tumnyang’anye kadi ya uwanachama? 🤣🤣

Nyie ndio wabishi mnaosema huduma apewe na baba yake wakati ngono kante kafanya na wewe!!
 
Vibinti vya elf 2005 kuja mbele, price tag yao ndogo, halafu papuchi mnato 😋 Lamomy
Kikubwa pesa utoe halafu hiyo mnato ni kujifariji tyuu.!!
Uchi wa mwanamke unakuwa mnato kutokana na ukubwa na maumbile ya mwanaume… km ww pin ndogo huwezi kucharge type C lazima uzalilike.. hujasikia “mchimba kisima kaingia mwenyewe?” 😹😹😹
 
Wapi tumekataa?!!
Hiyo mbona ndio nzuri na inafanyika sana!! 😹😹
Eti mahi Kapeace kuna mwanamke anakataa huduma huko tumnyang’anye kadi ya uwanachama? 🤣🤣

Nyie ndio wabishi mnaosema huduma apewe na baba yake wakati ngono kante kafanya na wewe!!
Huyo dish anatafuta umaarufu kwa style yake hata usihangaike kumjibu kwa umakini hivyo siku nyingine, we mpe majibu mafupi ya kumpandisha kisukari
 
Hakuna upuuzi wa the so called brand. Brand your foot?
Ukwelii mchunguu!
Iko hivi mwanamme ni ngumu Sana kumuomba msaada wa kifedha mwanamkee, lakin mwanamkee akiomba msaada wa kifedha kwa mwanamme ni rahisi Sana kupata.

Imagine wamekuomba watano na umewazingatia wote ili kulinda brand yako, matokeo yake watakudhurumu na kukuacha maskini😂.
 
Lipo moja hivi likaja kwangu kuchukua pesa kwaajili ya kwenda kuonyeshea kwenye kikundi ili lipewe mkopo sasa nikalipatia 250k ili akileta alete jumla 310k means faida yangu 60k si akapeleka huko zikamezwa halafu hakupewa mkopo akaambiwa kuwa kuna vigezo hajatimiza..
Sasa akarudi kwangu kunieleza utumbo huo!!! Kama kuna siku nilitamani kuua pisi kali ni siku hiyo kichwa iliwaka moto nikawa namtazama sioni ni kitu gani nimfanye haraka ambacho kitafidia ile pesa.
Sasa alichonikera ni kuniambia kuwa kwanza huoni napambana sana halafu mi ni mwanamke kwani kuna siku nishawahi kukuangusha? Si unanipaga narudisha bila shida yoyote?
Yaani alipotaja jinsia yake ikawa ni kama amenisanua hivi maana ni kama nilikuwa nimesahau kuwa ni mwanamke..
Nilimtukana matusi ya nguoni mpaka watu wote ambao wanatufahamu wakakusanyika wakawa wananishangaa wakijiuliza nimepatwa na nini? Wakawa wanatamani kuingilia ugomvi ila wakisikia ni masuala ya pesa hakuna anaetaka kuhoji tena wanabaki kimya na wakimuangalia mlengwa kaduwaa tu kapanua mdomo.
. Ni kama haamini kuwa ni mimi yule yule ambae siku zote naongea na kucheka nae.
Ila aliponigusa pabaya ni kuniletea mzaha kwenye pesa zangu akitumia jinsia yake kama kigezo cha kujitetea..
Ilibidi afunge biashara kwanza akaitafute pesa yangu baada ya wiki mbili ndio akaja nayo.
Tena siku aliyoipata alinipigia simu usiku kunitaarifu kuwa kesho tukutane mapema amepata pesa yangu tayari nikamjibu poa.
Huo ndio uanaume blood hakuna kumuonea mwanamke huruma et sababu ya K huo usenge sana
 
Umenena vyema mkuu.
Ila mimi kwangu pesa ya guest house na malipo baada ya shughuli ndy inaniuma zaidi kuliko kuhonga mwanamke.

Nilipokuwa single nili enjoy sn aisee.
Nikimvuta msichana gheto ,chips kuku namaliza shughuli ,
ila kwa sasa nina family naumizwa sn na pesa za guest house .

Wanaume tupunguze wanawake wa pembeni wanaleta ufukara.
Sasa ushaowa mkuu bado unaangaika na wanawake wa pembeni wanini wakati tayari pussy ni uhakika muda wowote hizi shida nyingine wanaume tunajitakia mimi nikishaowa kugonga tena madem wa nje bac unless mke wangu amenikwaza siwez kuharibu pesa kulipia Lodge na posho nimpe wakati nina mke nyumbani daah hii kitu sitaweza
 
Sasa ushaowa mkuu bado unaangaika na wanawake wa pembeni wanini wakati tayari pussy ni uhakika muda wowote hizi shida nyingine wanaume tunajitakia mimi nikishaowa kugonga tena madem wa nje bac unless mke wangu amenikwaza siwez kuharibu pesa kulipia Lodge na posho nimpe wakati nina mke nyumbani daah hii kitu sitaweza
Huyo mwanaume ambaye hatongozi wala hana vimada nje alikwisha chukuliwa na gharika ya Noah .

Au labda uwe na shida mahali.
,lakini kama upo vzr huwezi baki njia kuu bila kona kona.

Tuache kudanganyana humu jukwaani..
 
Mkuu nimekujibu uko juu, fungua izo thread jadiri kilichoandikwa, kutaka kumjadiri alieandika ni utoto. Hao wakina dada unaotafuta support yao watakushushia heshima tu., they are very cheap for this argument, we angalia michango yao tu utajua uwezo wao wa kufikiri, ndio maana hata mimi nimewapuuza.
Wanaume wengi wa JF wanapenda tetea hoja na ku-like comments za wanawake kwa malengo fulani hivi

Wapuuze tu.
 
Huyo dish anatafuta umaarufu kwa style yake hata usihangaike kumjibu kwa umakini hivyo siku nyingine, we mpe majibu mafupi ya kumpandisha kisukari
Kati ya mimi na wewe nani dish? Nani mwenye hoja zinazohitaji kujibiwa kwa umakini? yaani mimi nitafute umaarufu kupitia wewe na uyo kiazi mwenzako kweli.!

Wewe na uyo mwenzako si ndo mmeitana hapa na kuanza conversation yenu ya kijinga uko, ndio maana hata mimi sikujisumbua kusoma mnachat nini kwa sababu nilijua tu ni maongezi ya kipumbavu tu.

You are very cheap for me to deal with.
 
Sasa ushaowa mkuu bado unaangaika na wanawake wa pembeni wanini wakati tayari pussy ni uhakika muda wowote hizi shida nyingine wanaume tunajitakia mimi nikishaowa kugonga tena madem wa nje bac unless mke wangu amenikwaza siwez kuharibu pesa kulipia Lodge na posho nimpe wakati nina mke nyumbani daah hii kitu sitaweza
Mwanawane ndoa inafika hatua mnazoeana inabaki kutazamana na kufocus kwenye mambo ya msingi tu kama watoto na misingi mingine ya maisha.
 
Mimi ninacho cha kumpa mwanaume wangu sababu ngono akiitaka hata kwa malaya riverside ataipata…!!
Kuna kuumwa namuhudumia, kuna kuporomoka kiuchumi nasimamia show, matatizo ya nyumbani kwao mimi ndio waziri wake mkuu namuwakilisha anapokuwa safarini… zaidi namuhudumia kuanzia chakula cha kumboroshea afya yake ambayo anatamba nayo..! Na mengineyo mengi
Lini umeolewa au ndo story za furahisha genge
 
Acha Woga
Mwanamke akikusema vibaya au kukuponda na kukushusha basi wewe ndo mwenyewe dume OG yani umemshinda kuijasusi ila ukiona unasifiwa sijui Jasiri, gentlemen mara muelewa na upuuzi mwingine ujue unaandaliwa ulainike tayari kwa kupigwa mapigo mabaya kabisa ya Wing Chuu.

#Ndio ni woga na tumeamua kukwepa huo mtego, unataka kusemaje?
 
Daah mbona kazi
Nop, as a man some times you need to appreciate when your fellow is fedup in your relation, coz we dont value things in same or one way.
Men value relationship differently to women accept it, just do your stuffs and pay your dues. Pushing things forward keep calm even when heartbroken. B'cos only time shows the righteous to the person.
In marriage there is no rocket science all you need is wisdom to embrace the younger generations of your version/children.
They are innocent, despite parents' misunderstandings keep their innocense enclosed, b'leave me at the end of time it pays.
 
Tatizo sio kutoa hela, tatizo uyo mwanamke anaprovide nini in return ya izo hela?.

Kama mnajiona mnachotoa(sex) kinalingana na kile ambacho anatakiwa kutoa mwanaume(hela) mbona ikifanyika trading places yaani wewe utoe hela na mwanaume akupe mapenzi hamtaki.

Kama mnaamini kila upande unatoa equal output kwanini hamtaki trading places yaani wewe utoe hela mwanaume atoe mapenzi.
Kanuni ya mahusiano mtu ukiielewa tu basi haitajalisha ni nani uko nae kwenye mahusiano maana kanuni yenyewe itakuwa inakutune tu kuwa vile inatakiwa kama ni b*tch you only consider her for f*cking and giving her less.
You only invite her around you when you need to f*ck her, after that she dont deserve your presence rather other stuffs.
Mkuu Natafuta Ajira niwaongezee hii kuwa ukiona unalala na kuamka na mwanamke freequently siku 365 ujue unaukaribisha umasikini kwenye future yako.
 
Ukwelii mchunguu!
Iko hivi mwanamme ni ngumu Sana kumuomba msaada wa kifedha mwanamkee, lakin mwanamkee akiomba msaada wa kifedha kwa mwanamme ni rahisi Sana kupata.

Imagine wamekuomba watano na umewazingatia wote ili kulinda brand yako, matokeo yake watakudhurumu na kukuacha maskini😂.
Inategemea. Ukiwa Mr nice Guy utahonga hadi boksa.

İla kWa mabandidu kama sisi tuna Principle yetu ya nipe nikupe,

Mwanamke kama hanipi utamu asinisogelee
 
Back
Top Bottom