kipigapasi
Senior Member
- Dec 7, 2010
- 185
- 443
Mkuu uko sahihi Sana, au wanafikiri kuamka asubuhi Sana ndio kupata fedha
Hivi mpaka leo kuna watu wanaishi maisha ya kijima kwamba kazi lazima asubuhi uamke ugombee daladala ndio uende kazini?
Hamuwezi kuishi online na ofisi zikawa majumbani kwenu?