Epuka kuwambia watu huna kazi au huna mchongo! Hutapata wa kukukopesha wala kukusaidia

Epuka kuwambia watu huna kazi au huna mchongo! Hutapata wa kukukopesha wala kukusaidia

Kwanza kabisa kwanini uwaambie watu maisha yako (kwahio kaa kimya) sasa ukitaka kuanza kuwaambia kwanini udanganye..., Sasa kama issue ni short term unadanganya ili upate kitu hapo naweza nikakuelewa...

Mfano kuna Muhindi mmoja UK kipindi kile ilibidi abadilishe jina ajiite Smith (watu wasijue ni muhindi) alafu akakodi store ya janitor kwenye jengo kubwa huko Mayfair ili kwenye contacts ionekane amekodi kwenye jengo la gharama (kufanya hivyo akapata kazi kutoka hata kwa wazungu) kwa ile biasness asingefanya hivyo asingefanikiwa
Kwahiyo ukiulizwa unafanya kazi gani ujibu niko tu sifanyi kazi? Kufanya kazi za nyumbani ni kudanganya??
 
Wakuu
Ukiulizwa unapiga mishe gani we wambie watu unapga kazi fulani.
Usiwambie sina kazi wanaanza kukuepuka

Kumbuka kua
1.Kila mtu anahitaji mchongo
2.Kila mtu anahitaji connection
3.kila mtu anajisogeza kwa mwenye uafadhari
4.Kila mtu anataka ajuane na mtu mwenye msaada hata kwa baadae
5.Kila mtu anataka mtu useful

Sometimes watu wanatafuta watu au mtu wakumpunguza kwenye circle hasa useless

NB ISHI NAYO HII UTANISHUKURU
Muleba New City Plan

Baada ya mradi wa kigamboni kukataliwa vilivyo sasa mtanzania msomi kapewa dola za marekani $150,000,000,000 kwa ajili ya kusimika jiji kwenye wilaya ya Muleba kagera..

Project kama ya Kigamboni kasolo jina tuu.. Kama ilivyoada ya mtanzania hataki kitu lakini anakipambania kwa asilimia 100..

Ajira za masaveya, mafundi, maenginner kupanda kwa asilimia 300.. Tatizo la Ajira litapungua.. Mradi utatekelezwa kwa siku zaidi ya 12000.

Mradi unatarajia kuanza mwezi desemba 2024.. Mungu anaipenda sana Tanzania mambo mazuri kuelekea Muleba, Kagera karibu kabisa na Rwanda na Uganda

Elimu dili tusome jamani



View: https://youtu.be/xVkzmOVRyKo?si=wRj0MUCzODAODGhW
 
Kwanza kabisa kwanini uwaambie watu maisha yako (kwahio kaa kimya) sasa ukitaka kuanza kuwaambia kwanini udanganye..., Sasa kama issue ni short term unadanganya ili upate kitu hapo naweza nikakuelewa...

Mfano kuna Muhindi mmoja UK kipindi kile ilibidi abadilishe jina ajiite Smith (watu wasijue ni muhindi) alafu akakodi store ya janitor kwenye jengo kubwa huko Mayfair ili kwenye contacts ionekane amekodi kwenye jengo la gharama (kufanya hivyo akapata kazi kutoka hata kwa wazungu) kwa ile biasness asingefanya hivyo asingefanikiwa
Watu wakogo wambea kuna mtu atakupigia ajue unafanya nn sasa ivi
 
Kwahio uwe muongo muongo ? Unajuaje kama mchongo utakaopewa ni hio kazi ? Sasa hauna kipato alafu unataka upewe mkopo utarudisha vipi ?

Nadhani huu uongo uongo ndio umefanya watu kukosa imani na watu...; Be Yourself sio kwa maigizo kwahio hata hizo circles za watu ambao wanakusogelea sababu una kitu fulani ni vema ukaziondoa mapema tu (bora kuwa na watu genuine wawili au mmoja kuliko mlolongo wa Fakers)
Maisha yamebadirika sana siku hizi.

Ukijifanya uko real sana na ukaendekeza umaskini na kila mmoja unamtangazia shida zako utaendelea kubaki hivyo hivyo.
 
Ishi real,hakuna maana ya ku fake uwalisia.that why i just call my self B'real,siwezi kuwa chawaa,au nisemee na mishe bandari wakati sina kitu,bora nikakomae road as chingaa,niuze kukuchoma road jioni.vijana wengi tunaishi fake life
fake it until you make it….
endelea na kua real good luck
 
Ishi real,hakuna maana ya ku fake uwalisia.that why i just call my self B'real,siwezi kuwa chawaa,au nisemee na mishe bandari wakati sina kitu,bora nikakomae road as chingaa,niuze kukuchoma road jioni.vijana wengi tunaishi fake life
Aliyesema UISHI REAL
-Anatumia fake ID jf😂😂😂nchi ngumu sana hii
Ukute na picha ni fake😂😂😂
 
Muleba New City Plan

Baada ya mradi wa kigamboni kukataliwa vilivyo sasa mtanzania msomi kapewa dola za marekani $150,000,000,000 kwa ajili ya kusimika jiji kwenye wilaya ya Muleba kagera..

Project kama ya Kigamboni kasolo jina tuu.. Kama ilivyoada ya mtanzania hataki kitu lakini anakipambania kwa asilimia 100..

Ajira za masaveya, mafundi, maenginner kupanda kwa asilimia 300.. Tatizo la Ajira litapungua.. Mradi utatekelezwa kwa siku zaidi ya 12000.

Mradi unatarajia kuanza mwezi desemba 2024.. Mungu anaipenda sana Tanzania mambo mazuri kuelekea Muleba, Kagera karibu kabisa na Rwanda na Uganda

Elimu dili tusome jamani



View: https://youtu.be/xVkzmOVRyKo?si=wRj0MUCzODAODGhW

good luck
 
Sahihi, usikitweze/ kujishusha au kulia lia. Lakini pia usikimbilie kukopa. Kwa kuwa huna cha kulipa wakianza kukudai na huna utaimbuka mapema na kudhalilika kabisa. Komaa kiume.
Kukopa lazima
kopa tu kwa malengo kama huna cha kulipa why ukope

Unakopa kama kuna hela utaipata soon ya kurudisha
 
Kwahiyo ukiulizwa unafanya kazi gani ujibu niko tu sifanyi kazi? Kufanya kazi za nyumbani ni kudanganya??
Anayeniuliza ni nani ? unaweza kusema napiga issue za hapa na pale napambana au kama una skill unaweza kusema skill yako ila kwa sasa biashara / kazi ngumu...

By the way huyo anayeuliza anataka kunipa mchongo au ? Kwahio useme unafanya kazi za nyumbani wakati hufanyi kazi za nyumbani ?

Issue ni kwamba kama mtu hana msaada au anakuuliza mfanye mchongo fulani sio lazima ajue maisha yako.., na kama ni mtu wako wa karibu obvious atakuwa anajua unachofanya au eventually atajua... sio mpaka aulize
 
Maisha yamebadirika sana siku hizi.

Ukijifanya uko real sana na ukaendekeza umaskini na kila mmoja unamtangazia shida zako utaendelea kubaki hivyo hivyo.
Ukiwa real hata watu utakaokuwa una associate nao watakuwa real..., na nimesema tangia mwanzo kutangaza shida zako kwa watu ni upuuzi na kuwasumbua watu / kuwakera...

'Never tell your problems to anyone...20% don't care and the other 80% are glad you have them.' Na mimi naongezea unaweza kuwa unawaambia watu matatizo yako kumbe ya kwao ni makubwa kuliko wewe...

If we all threw our problems in a pile and saw everyone else's, we'd grab ours back. AKA I Cried because I had no Shoes Until I saw Someone with no Feet
 
Mtu anaweza akawa Hana kazi/issue lakini ana hekima ,ndio maana vijiwe vya kahawa wanaheshimiana pale ni michango ya mawazo zaidi , hana kazi lakini anaishi kama wewe utamdharau wapo rafiki zake wa kweli haijalishi ana kazi Hana mgonjwa au mzima Kawa tajiri au maskini unakuta wapo nae pia connections haziwezi kukusaidia katika Kila kitu , marehemu tajiri Ruge alikuwa na connections nzito aliumwa zilichangwa pesa hata Rais wa nchi JPM alimchangia m50 hazikusaidia ,tujifunze kujaliana ki utu zaidi itakusaidia kumbuka hii.
 
Anayeniuliza ni nani ? unaweza kusema napiga issue za hapa na pale napambana au kama una skill unaweza kusema skill yako ila kwa sasa biashara / kazi ngumu...

By the way huyo anayeuliza anataka kunipa mchongo au ? Kwahio useme unafanya kazi za nyumbani wakati hufanyi kazi za nyumbani ?

Issue ni kwamba kama mtu hana msaada au anakuuliza mfanye mchongo fulani sio lazima ajue maisha yako.., na kama ni mtu wako wa karibu obvious atakuwa anajua unachofanya au eventually atajua... sio mpaka aulize
Hivi mpaka leo kuna watu wanaishi maisha ya kijima kwamba kazi lazima asubuhi uamke ugombee daladala ndio uende kazini?

Hamuwezi kuishi online na ofisi zikawa majumbani kwenu?
 
Hivi mpaka leo kuna watu wanaishi maisha ya kijima kwamba kazi lazima asubuhi uamke ugombee daladala ndio uende kazini?

Hamuwezi kuishi online na ofisi zikawa majumbani kwenu?
Kufanyia kazi Nyumbani na kufanya kazi za Nyumbani ni vitu viwili tofauti..., ila that is beside the point kama mtu haji kwako kuomba chumvi kufuatilia maisha yake ni kukosa kazi....
 
Back
Top Bottom