kipigapasi
Senior Member
- Dec 7, 2010
- 185
- 443
Hivi mpaka leo kuna watu wanaishi maisha ya kijima kwamba kazi lazima asubuhi uamke ugombee daladala ndio uende kazini?
Hamuwezi kuishi online na ofisi zikawa majumbani kwenu?
Pesa haitafutwi, pesa inategwa, angalia watu wenye maisha bora wengi wanalala saa tisa usiku au wanakesha kabisa kuamka saa nne asubuhi.Mkuu uko sahihi Sana, au wanafikiri kuamka asubuhi Sana ndio kupata fedha
Upo sahihi kabisa ku fake life ni mzigo..Sikatai kabisa unalosema appearance matters and cloths makes a pirate..., ila point yangu ni kwamba conscious wise kudanganya vitu kama haujazoea pia ni mzigo (na kuishi fake life pia ni shida) kwahio ndio maana nasema if you can be real try to be.....
Hujawahi kushikwa njaa ya kufa chiefUko sahihi. Shida zako ziishie chumbani kwako. Ukitoka vaa vizuri, kuwa mchangamfu huku ukitabasamu na epuka kuongelea shida zako. Ukikutana na watu ongelea ishu zao positively badala ya kuongelea ishu zako. Ukipata bahati ya kukutana na matajiri jizuie kuwapiga mizinga au kuonyesha kiashiria chochote cha tamaa. Kwa mfano umekutana nao sehemu ya starehe wakakupa ofa agiza hata maji tu na sio kukimbilia vitu vya gharama.
Kusema huna kazi, nikosa jinai.Wakuu
Ukiulizwa unapiga mishe gani we wambie watu unapga kazi fulani.
Usiwambie sina kazi wanaanza kukuepuka
Kumbuka kua
1.Kila mtu anahitaji mchongo
2.Kila mtu anahitaji connection
3.kila mtu anajisogeza kwa mwenye uafadhari
4.Kila mtu anataka ajuane na mtu mwenye msaada hata kwa baadae
5.Kila mtu anataka mtu useful
Sometimes watu wanatafuta watu au mtu wakumpunguza kwenye circle hasa useless
NB ISHI NAYO HII UTANISHUKURU
Mkuu sio kitu kizuri kujisifia kupita kwenye shida ila nikuhakikishie nimepita kwenye nyakati ngumu sana wakati fulani kwenye maisha yangu. Mimi kinachonisaidia sio kulia kuwa sina kazi. Huwa nafanya yoyote ya halali iliyoko mbele yangu. Hiyo njaa ya kufa humpata mvivu.Hujawahi kushikwa njaa ya kufa chief
Wewe kazi yako kutukana watu mitandaoni?Nawewe kazi yako chawa wa mama!!
heeWewe kazi yako kutukana watu mitandaoni?
hao ni machiziKuna watu wanaamini kuwa na kazi ni mpaka uajiriwe serikalini..ukiajiriwa sekta binafsi au mfanya biashara bado watakuita huna kazi..mi nshaikubali hiyo na nikiulizwa kazi nawambia sina kazi ..kwanza unaepuka mizinga isiyo na maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapiga mishe gani mzee??
Amna mishe mwanangu tunapambana tu, wakulungwa tunaelewa tu kua mwamba hataki nijue mishe zake, imeisha hiyo.
kweikuna huyu jamaa aliniambia hivi
hili kulinda undugu na urafiki kopesha kiasi ambacho unaweza kusamehe
Msaada gani?Mungu Ni msaada wetu.