Epuka sana. Ndani ya Mwezi tu umri wako unakuwa mara mbili yake. Usiombe

Epuka sana. Ndani ya Mwezi tu umri wako unakuwa mara mbili yake. Usiombe

Wakenya sura zao ndio zilivyo, kwa taarifa yako huyo ndio handsome man kwenye familia yao, ukimwona brother wake Mrisho Mpoto haoni ndani.
 
Huyo jamaa mbona yuko poa tu sema ni mwili wa mazoezi
 
Hatari sana. Unajua mambo mengine usijaribu kabisa ukadhani eti yanaweza kukusaidia. Mimi nina miaka 40 ukinicheck sababu nakula vizuri, mazoezi kiasi flani na pia sina mawazo. Unaweza dhani nipo 20s,30s. Sema tu utashtuka kwa madini nayotema.anyway hiyo siyo issue kwako.

Unamjua bwana mdogo Kipchoge? Mwanariadha aliyeweka kumbukumbu ya kukimbia kms 42 chini ya masaa mawili. ushamfahamu eeeeh? Ndo huyo sasa.

We mwenyewe mcheck. Unadhani ana umri gani?sema tu kwa mwono wako.wala haitakuwa so. Ana umri gani? Ha ha ha...huyo ni bwana mdogo tu sema ulaji wa kupitiliza wa cement na malimao ndo umemkausha hivyo. Sasa kwa taarifa yako ana miaka 34 tu. Wala Mstaafu kama unavyodhani kuwa atakuwa kwenye 60 Plus Plus huko.

Mcheck mwenyewe. Then ndo tujadiliane mambo kadhaa.
View attachment 1231194

Jamaa inawezekana hata sperms hana. Atakuwa anatoa upepo tu. Kakausha mafuta yote na protein mwilini... Akitema atakuwa anatoa gesi/upepo tu. Sha sha shaa....sasa sperms unadhani atatoa wap?ikiwa anakula sement na kunywa juice ya limao. Uso kama babu.
Too much is harmful asikwambie mtu.
Jamaa inawezekana hata sperms hana. Atakuwa anatoa upepo tu. Kakausha mafuta yote na protein mwilini... Akitema atakuwa anatoa gesi/upepo tu. Sha sha shaa....sasa sperms unadhani atatoa wap?ikiwa anakula sement na kunywa juice ya limao. Uso kama babu.
Too much is harmful asikwambie mtu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usimseme MTU wa Mwanza huyu kbs
Screenshot_20191013-073842.jpeg
 
Haijakaa vyema kumsimanga binadamu mwenzako kwa muonekano wake...


Cc: mahondaw
Umenena vyema kaka,katika vitu ambavyo naogopa ni kukosoa uumbaji wa Mungu. By the way mleta mada ni achievement gani ambayo umeiletea Taifa rather than being selfish,ulivyo ni kwa ajili yako but huyo mkenya akifa kuna legacy ameiachia nchi yake.
 
Huyo ame burn calories mwilini kupitiliza

Ova
 
Kweli wewe ni mtema madini.. madini yako ukimix na mahindi ya kupalaza unapata finisher safi sana ya vifaranga...
 
Hakika umetema madini
Pia hakika uko na 40yrs.

Ila umeandika kijinga jinga.
 
Kwenyee kutunza mwili role model wangu ni maulid kitengee..kanuni ni kma 3..hvi 1..kuaa na pesaa 2..fanya mazoez.3.usilishe mwili sumu nyingi..hivooo tu..napend maish ya jamaa ..ana umri mkubwaa lakin ukiangaliaa bdo uko kma kijana
 
Back
Top Bottom