kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Vawulige napoDah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vawulige napoDah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Madudu ni mengi!! Mwendo ameumalizaAu ile ya kulipia barabara mara mbili mbili imemshtua!
Haahaa...ulukani lekage lunoge kwiwusa muhimu munyakilamboPe tunsizile kivembo paucha tubita pono kugenda kwiwusa tupata hela lijibu. swela
Thibitisha tuhuma zako!! Acha wivu wa kianaJana hapa,watu walikuwa wakishangiria akina Shelukindo kuachiwa wakati walikula ela za wananchi, Sasahivi majizi yote yaliyokuwa yamewekwa ndani yameachiwa kwa kasi, Sasahivi kama una ela yako hauguswi, maana utavuruga uchumi ambao unatengenezwa,labda kama ulikuwa timu Magufuri.
Alitegemea kifo kimpe taarifa? Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Mungu lihimidiwe.
Watao salamu za rambirambi wanakuja na mibarakoa wakifika kwenye microphone wanaivua. Microphone hiyo hiyo moja kwa wote wala hakuna cha juhudi za kuidisinfect. Ngoja Mungu wa Mbinguni aendelee kuwafanya kichekesho cha dunia hii.
Tanu kugenda ,ilekelage inguluvi yene isele.Pe tunsizile kivembo paucha tubita pono kugenda kwiwusa tupata hela lijibu. swela
Erasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda.
Alivyokuwa kule, mtoto wake Aron Mfugale alikuwa anaumwa pia akamtakia hali. Asubuhi amepata chai pale nyumbani kwake Dodoma, akatoka kwenda kazini.
Sasa kilichotokea kazini sisi hatujui, mwisho wa siku nashkuru wizara ya ujenzi kupitia Edgar Msigala nikapigiwa simu lakini akaona hatuelewani, baadae Hija akapiga simu na akaniambia moja kwa moja Engineer amefariki dunia, nilikuwa barabarani Bagamoyo, nilitaka nigongwe na gari maana sikuwa nimetegemea kwasababu jana yake mimi nimekuwa na dada yangu, Frida Mfugale alikuwa na andiko, akasema mimi silielewi peleka kwa kaka yako, Frida ilikuwa aje Bagamoyo kwaajili ya usaidizi wa hilo andiko ili liwe andiko makini.
Basi ni maajabu, sijui kimetokea nini. Tumefika jana Dodoma, tunawashkuru serikali, tumeenda hospitali, tumefatilia ile nyaraka, wanasema hatujui ugonjwa, sasa kulikoni?
Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.
PIA, SOMA=> Waziri Chamurilo: Familia(Mfugale) wameonyesha ombwe kwamba ilikuwa haifahamu, Mhandisi Mfugale alisema anajisikia vibaya kikaoni
Inumbula yivava swe nige valava pe tupilwike kugenda twiwulaga na sosoliTanu kugenda ,ilekelage inguluvi yene isele.
Mama Janeth , yeye amejinyamazia masaki kimya. Hujui kilichotokea Wala hakuambiwa kilichotokea.inauma sana kutojua mtu/ndugu yako kafariki kwasababu gani kibinadamu inaumiza sana.
The same used to his right hand man of him .Yap sumu ileile iliyomuua yule muovu
Nani? Marehemu?Hongera zake
Alikuwa mtu wa watu haiwezekani siyo kama Mwendakivyake"Takuwa wamemwua kwa sumu"
Nzi wa kijani wewe atakufa mama yako atamuwacha mbohe" wamwue na mbohe freman"
Watu waliokuwa karibu na mwendazake ninahisi wanasakwa Kwa udi na ufumba.Alikuwa mtu wa watu haiwezekani siyo kama Mwendakivyake
Swela nyee.....Ulongite lunofu mwagito!!Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava