Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

Thibitisha tuhuma zako!! Acha wivu wa kiana
 

Mungu kazi yake ni kufanya wengine vichekesho na kutoa adhabu tu? Hapo hapo mnasema Mungu ni mwenye huruma na mwenye nguvu zote. Kazi sana kumuelewa Mungu wenu.
 
Mbona afya haikuwa imara na alishawahi kapata stroke akalazwa muhimbili kutoka chanzo cha familia. Sasa nashangaa huyo mdogo maelezo yake.
 
Cha mfugale watu hawakijui, Cha JPM watu hawakijui na John Kijazi pia watu hawakijui. Sasa inakuwaje? Haya ni baadhi ya maswali ambayo majibu yake tutayapata kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2025.
 
Dah pole kwa familia, Erasto alikuwa Mkurugenzi alitumbuliwa na Mwendazake
 
Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava

Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Swela nyee.....Ulongite lunofu mwagito!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…