Erdogan adhiihirisha tena si mtu wa kumtegemea,Anafanya kinyume na anavyotangaza

Erdogan adhiihirisha tena si mtu wa kumtegemea,Anafanya kinyume na anavyotangaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
 
Hizbullah ipi? Hii ya akina Nasrallah ambayo imetimuliwa Kusini mwa Lebanon. Hizbullah imeisha. Zamani Hizbullah walichapana na Israel Viongozi walikuwa hawagusiki. Leo Hizbulla makao yao makuu yameshalipuliwa. Kiongozi wao mkuu yupo Chali na pagers zao zikalipuliwa zote. Hakuna Cha Hizbullah Tena.
 
Hizbullah ipi? Hii ya akina Nasrallah ambayo imetimuliwa Kusini mwa Lebanon. Hizbullah imeisha. Zamani Hizbullah walichapana na Israel Viongozi walikuwa hawagusiki. Leo Hizbulla makao yao makuu yameshalipuliwa. Kiongozi wao mkuu yupo Chali na pagers zao zikalipuliwa zote. Hakuna Cha Hizbullah Tena.
Yale makombora na drones zinazowafanya watu wa Tel Aviv wakanyagane kukimbilia mashimoni huwa vinatoka wapi
 
Demokrasia ya vyama vingi imepitwa na wakati !!!!!
Dah! Mkuu umekaa kishari shari tu yaan we muda wote unawaza kushusha makombora huko mido east 😆

Hivi ikitokea ukapelekwa front line, vipi utawezana kumudu mikiki ya vyuma vya mazayuni vyenye baruti na vilipuzi au umeamua tu kuwa mchambuzi wa vita kama walivyo wachambuzi wa soka ambao wakiwa studio wanajikuta mafundi ila Kwa ground ni chai 😁😁??
 
Hizbollah ni Hamas walio changamka wamebaki kuvulumisha unguided rockets tu na kukimbilia mashimoni kama mapanya huku vile
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
Hakuna hizbula sasa hivi silaha zote zilizokamatwa lebanon ambazo hesbulah walipewa na mrusi kupitia iran iisrael imezigawa kwa waasi wa hts pamoja na mafunzo makali ya kutumia drone kutoka kwa jeshi la ukraine
Huu mwaka kabla haujaisha lazima mtuambie pale middle east adui wenu nani netanyanhu au erdogan
 
Hizbullah ipi? Hii ya akina Nasrallah ambayo imetimuliwa Kusini mwa Lebanon. Hizbullah imeisha. Zamani Hizbullah walichapana na Israel Viongozi walikuwa hawagusiki. Leo Hizbulla makao yao makuu yameshalipuliwa. Kiongozi wao mkuu yupo Chali na pagers zao zikalipuliwa zote. Hakuna Cha Hizbullah Tena.
unajidanganya hizzbola ipo japo wamepigwa lakini wapo na kama unasoma historia hawajaanza leo kupigwa lakini wapo
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
Nimezingatia neno "kipigo"!🤣🤣🤣🤣🙏
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
Wee ni mjinga sn mfuasi wa muddy
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
Tulia wewe sindano ziwaingie. Wewe kaa na udini wako wenzio wanaangalia kesho ya mataifa yao wewe endelea kuvaa vibarakashia
 
Yale makombora na drones zinazowafanya watu wa Tel Aviv wakanyagane kukimbilia mashimoni huwa vinatoka wapi
Hebu tuwekee picha za mji wa Tel Aviv ya sasa hivi ilivo na linganisha na miji yote ambayo ilikua ngome ya Hezbollah, nataka tuachane na mahaba, tu deal na facts tu
 
Tukisema hao viongozi ni controlled opposition na wanatumika kwa malengo ya Zionist mnatuita conspiracy theoriests....

Hata hao waasi kama Hamas na wengine wote wanatumika kuhalalisha jambo fulani...

Ndege mmoja mwenye vichwa viwili
 
Tukisema hao viongozi ni controlled opposition na wanatumika kwa malengo ya Zionist mnatuita conspiracy theoriests....

Hata hao waasi kama Hamas na wengine wote wanatumika kuhalalisha jambo fulani...

Ndege mmoja mwenye vichwa viwili
Kwamba ndio mambo ya order out of chaos sio?
 
Back
Top Bottom