Erdogan adhiihirisha tena si mtu wa kumtegemea,Anafanya kinyume na anavyotangaza

Erdogan adhiihirisha tena si mtu wa kumtegemea,Anafanya kinyume na anavyotangaza

Erdoğan sio mjinga anaangalia MASLAHI yake, hawezi kuacha Wakurdi waigawe Turkiye kwa ajili ya Waarabu wa Palestine.
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
Geopolitics hizo...
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.
Erdogan ni hatari sana, huwa haeleweki. Ila nahisi kwa Ulaya Uturuki inajipambanua sana katika power za hapa na pale. Halafu inawezekana wale waasi wanaoishambulia Uturuki walikuwa wamejificha Syria
 
Ni suala la muda tu Syria ishakua shamba la bibi na ni waasi wa kila aina makundi tofauti hivyo kinaweza kuwaka upya hata kwa edogan mwenyewe n muislael
 
Rais wa Uturuki katikati ya vita vya Gaza alitangaza ataingia Israel ili kuizuia Israel isiendelee kuwaua wapalestina,

Hilo jambo hakulifanya kamwe.

Anachokifanya sasa kuwapa silaha waasi na mamluki wa Marekani ili kumpinuda Bashar Al Assad ni msaada mkubwa kwa Israel ambaye imechanganyikiwa kutokana na nguvu za mapigano ya Hizbullah.

Netanyahu ameelewa kuwa hatawaweza Hizbullah ambao wamekuwa wa mwanzo kuleta kizaa zaa katikati ya Tel Aviv na miji yote ya Israel.Amegungua nguvu kubwa ya Hizbullah inatoka Iran kupitia Syria.

Israel imepiga vituo vyote vya mipaka na bado silaha na wapiganaji wanamiminika Lebanon kuungana na wenzao wa Hizbulah.

Anachokifanya Erdogan ni msaada wa moja kwa moja kwa Israel kuipa nafuu kutokana na kipigo kinachowasaburi katika duru zinazofuatia.

At some point kila mtu ni mbinafsi, ameona kujipendekeza kwa Wayahudi kuna faida, shida yako ni nini Bwana Cobasi?
 
Yale makombora na drones zinazowafanya watu wa Tel Aviv wakanyagane kukimbilia mashimoni huwa vinatoka wapi
Hayo makombora hata wewe unarudha, unajificha zako chooni unatupia vitu simple tu
 
Back
Top Bottom