Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Inaonesha alivyokuwa mzembe,mjuaji,mzushi na asyejua chochote kuhusu ueneaji/uambukizaji wa magonjwa kitaalamu.Mwishowe akawasababishia vifo wengine na yeye akatoroka aibu hiyo kwa kuamua kujifia.Kwani ni yeye pekee alikufa kwa corona? That a president is immune to die from covid 19? Corona yenyewe was man made .Cha ajabu kipi hapo
Cha msingi ni kwamba usiwapangie wengine wanaotaka.Hivi covid iliendaga wapi? Na chanjo zipo? Mie nilikuwa nimemsubiri kwa hamu waziri wa afya anilazimishe kuchoma sindano!! Ningempa za uso nakwambia!! Covid was man made to eradicate poor people like Africans .God is great!! It backfired!!
Marehemu hasemwi vibayaWakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.
Kuna dogo alikuwa anaisambaza
Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).
Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,
Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Kama kweli kaandika hivyo basi hilo jalida lake limejaa uongo na upotoshaji. Ni mpuuzi tu atakayenunua hizo hekaya.View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua waiuwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Akisemwa vibaya inakuwaje/nini hutokea mkuu?Marehemu hasemwi vibaya
Ukiitwa uthibitishe hii utatoa ushahidi?Kimsingi Covid-19 ilitumika kama Camouflage, the rest is History.
Ina kono fupi mbona kimambi imewashindaKaflag anamwaga wino tu, anaandika lolote ataloona linafaa kwake.
Naaani wa kumdaka huko ughaibuni, je sirikali yetu ina kono refu kama Russia/North Korea/Israel kumuangusha wasie mhitaji hata akiwa mbali???
Kitabu kimeandikwa kwa ajili ya Eilite group tu elewa maana ya Elite sio kwa ajili ya wapiga kura bodaboda, mamantilie walamachinga.Kama kweli kaandika hivyo basi hilo jalida lake limejaa uongo na upotoshaji. Ni mpuuzi tu atakayenunua hizo hekaya.
Sio matatizo ya moyo tena?Yule mzee ni kweli alidanja kwa Covid.
Ukimsema vibaya anajitekebisha??ni akili za kipinguani kumsema vibaya marehemu.ni sawa na death sentence.huwa inamsaidaje marehemu kumrekebisha?Akisemwa vibaya inakuwaje/nini hutokea mkuu?
Duh!... maneno magumu sana haya...Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,
Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Ingekuwa moyo angekata moto ghafla na si kulazwa.Sio matatizo ya moyo tena?
Maneno yangu sio sheria, that is my own belief.Ukiitwa uthibitishe hii utatoa ushahidi.
"hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility"Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.
Kuna dogo alikuwa anaisambaza
Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).
Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,
Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Watanzania wanawachora tu!UONGO MTUPU Upuuzi kama huu kadanganyeni watoto wa juz ambao hawakuwepo wakati huo. Unadhan kuna mtanzania gani utamdanganya ambae haelewi? Hata awe mwanakijiji anajua kila kitu.