#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

Kwani ni yeye pekee alikufa kwa corona? That a president is immune to die from covid 19? Corona yenyewe was man made .Cha ajabu kipi hapo
Inaonesha alivyokuwa mzembe,mjuaji,mzushi na asyejua chochote kuhusu ueneaji/uambukizaji wa magonjwa kitaalamu.Mwishowe akawasababishia vifo wengine na yeye akatoroka aibu hiyo kwa kuamua kujifia.
 
Hivi covid iliendaga wapi? Na chanjo zipo? Mie nilikuwa nimemsubiri kwa hamu waziri wa afya anilazimishe kuchoma sindano!! Ningempa za uso nakwambia!! Covid was man made to eradicate poor people like Africans .God is great!! It backfired!!
Cha msingi ni kwamba usiwapangie wengine wanaotaka.

Wewe sio mungu kuna maamuzi ni personal, hakuwa na mamlaka ya kuzuia chanjo kwa wengine.
 
Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.

Kuna dogo alikuwa anaisambaza

Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).

Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Marehemu hasemwi vibaya
 
View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua waiuwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Kama kweli kaandika hivyo basi hilo jalida lake limejaa uongo na upotoshaji. Ni mpuuzi tu atakayenunua hizo hekaya.
 
Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Duh!... maneno magumu sana haya...
 
Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.

Kuna dogo alikuwa anaisambaza

Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).

Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
"hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility"


hapo juu unasema ni covid kaambukizwa na dogo sijui mlinzi wake

Chini hapo unasema alikuwa eliminated

Sasa tuende na lipi?
 
Na anayesema ni covid 19 ilimuua ana ushahidi wa kimaabara ? Ni umbea tu unawasumbua .

Unashindwa kuandika vitabu vya kuwafundisha watu namna ya kutafuta hela wewe unaandika umbea ATI Jpm alikufa kwa kovid ,mara alimpigia lisasi za kichwa mtu Fulani!! Ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom