#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

Mtandao wa JK na Samia: Mpango wa Kumchafua Magufuli

Katika siasa za Tanzania, kuandaliwa kwa mtandao wa kisiasa ni jambo la kawaida, lakini wakati mwingine, mipango hii hujikita katika malengo yasiyo ya haki. Hivi karibuni, ripoti zimeibuka zikielezea jinsi mtandao wa Rais Samia Suluhu Hassan na aliyekuwa Rais Jakaya Kikwete (JK) unavyofanya kazi kwa lengo la kumchafua aliyekuwa Rais John Magufuli, hususan kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Muktadha wa Kisiasa

Tanzania imekuwa na historia ndefu ya siasa za ushindani na ukosefu wa umoja miongoni mwa vyama. Baada ya kifo cha Rais Magufuli, ambaye alijulikana kwa sera zake kali na uongozi wake wa kipekee, nchi ilianza kujikuta katika mvutano wa kisiasa. Wakati ambapo Rais Samia alirehemu baadhi ya sera za Magufuli, kuna wale ambao wanadhani kwamba mtandao huu unalenga kumchafua ili kuhalalisha mabadiliko ya kisiasa yanayoweza kufanyika.

Mipango ya Kumchafua

Mtandao huu unadaiwa kujihusisha na kampeni za kueneza taarifa za uongo na propaganda kuhusu utawala wa Magufuli. Kwa kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kuna madai kwamba wanapotosha ukweli kuhusu mafanikio na changamoto za kipindi cha uongozi wa Magufuli. Lengo kuu ni kuwachanganya wapiga kura na kuhamasisha hisia hasi dhidi ya mtu ambaye alichukuliwa kama kiongozi mwenye maono ya kitaifa.

Athari za Mchakato

Athari za kampeni hii ni kubwa. Kwanza, inazua hali ya kutofahamika miongoni mwa wananchi kuhusu utawala wa Magufuli. Watu wanapokumbwa na taarifa mbaya bila uhalisia, wanajikuta wakikosa uamuzi sahihi wa kisiasa. Aidha, inachangia katika kuimarisha tofauti za kisiasa kati ya wafuasi wa Samia, JK, na wale wanaoshikilia miradi ya Magufuli.

Ushirikiano wa Kiuchumi

Kuna hofu kwamba mtandao huu unaweza kuathiri ushirikiano wa kiuchumi kati ya serikali ya sasa na miradi iliyosimamiwa na utawala wa Magufuli. Wakati ambapo baadhi ya miradi hiyo ilikuwa na mafanikio makubwa, propaganda inayofanywa inaweza kuathiri uwekezaji na uhusiano na wahisani ambao walikuwa wakimhimiza Magufuli.

Mkakati wa Kupambana na Propaganda

Katika kutafuta njia ya kupambana na propaganda hii, wafuasi wa Magufuli na baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameanzisha kampeni za kujitafutia ukweli. Wanatumia mitandao ya kijamii na mikutano ya hadhara kuwajulisha wananchi kuhusu mafanikio ya utawala wa Magufuli. Hii ni njia ya kujenga upya imani ya umma na kuondoa dhana potofu zinazowekwa na mtandao wa JK na Samia.

Tathmini ya Hali

Hali hii inahitaji tathmini makini. Ni muhimu kwa watanzania kuwa waangalifu na taarifa wanazopokea, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Uwezo wa mtandao huu wa kisiasa kubadilisha mitazamo ya umma ni mkubwa, lakini ukweli wa mambo unapaswa kuwekwa wazi. Wananchi wanahitaji kuwa na taarifa sahihi ili waweze kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.

Hitimisho

Kwa kuzingatia muktadha wa kisiasa nchini Tanzania, mtandao wa JK na Samia unapaswa kutathminiwa kwa makini. Lengo la kumchafua Magufuli linaweza kuwa na madhara makubwa si tu kwa siasa za nchi bali pia kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Ni lazima wapiga kura wawe na ufahamu wa kutosha ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika uchaguzi wa mwaka 2025. Katika ulimwengu wa habari za kisasa, ukweli na uwazi ni silaha muhimu katika kupambana na propaganda na siasa za chuki.
Kama hizo ndio plan zao basi ni za kitoto bora wajikite kwenye ushindi wa kuiba kura na kununua upinzani.

Litmus test yao MangÄ™ Kimambi, wakamuulize kupitia dada yake sijui nani yule anaempenda ampe ukweli.

Siku MangÄ™ aandike umbea wa ma-star kabla ajafungiwa akiwa na followers karibu 10 million kwenye main account yake hapo ni ushambenga tu.

Siku amwandike Magufuli vibaya followers wanabadilika tuachie huyo mtu, yeye mwenyewe alikubali mwisho wa siku kabla ya kufungiwa instagram.

Watanzania wanampenda Magufuli, umchafui Magufuli kwa watanzania.
 
Rais aliyeanzisha:

1. TARURA - Ilianzishwa chini ya utawala wa Rais John Magufuli mwaka 2016.
2. PSSSF (Mfuko wa Pensheni wa Sekta ya Umma) - Pia ulianzishwa chini ya Rais John Magufuli mwaka 2018, kama sehemu ya mabadiliko ya mifuko ya pensheni.
3. Tume ya Madini- Ilianzishwa mwaka 2017 chini ya Rais John Magufuli, ikiwa na lengo la kusimamia rasilimali za madini nchini Tanzania.

Kwa hivyo, Rais John Magufuli ndiye aliyeanzisha taasisi hizi tatu.
 
Kwahiyo wewe umedungwa chanjo? imekusaidia nini?

Ukifa huozi tajiri!! ukifa hunuki tajiri, uishi milele malkia! What else!!! Stupid!!

Mnatuletea machanjo ya hovyo hovyo mnataka tuyabugie tu bila kuuliza kama tunameza sakramenti!! SAHAUUU!!!!

I wish i could be IGP, yaani ningeshughulika na nyie Kweli kweli, ukibandua mguu naweka mguu mara tatu mpaka mnyooke kama RULA.
Unajua covid inawaathiri watu tofauti.

Mimi ilinipata nikaugua vimafua kidogo kama kwa week mbili.

Kipindi ambacho ugonjwa aujulikani vizuri. Upuuzi wangu baada ya kupona bada ya, siku mbili nikapiga whisky (kabla ya chanjo aijapatikana). Dah kesho yake ikaibuka tena covid ilinisumbua sisahau mpaka napata chanjo.

Leo mzima kesho hiyo, miezi karibu mitatu aisee hapana.
 
Hizi story zinasaidia nini kwenye kuinua uchumi wa Taifa na kupanua wigo wa upatikanaji wa ajira kwa vijana na maisha bora kwa kila mwananchi wa Taifa husika?
 
matatizo ya moyo
covid 19

mtasema tu mlichomfanya rais wetu
sie tupo hapa kusubiri hiyo siku
tuwalishe nyama yake wahusika wote
 
Kiongozi hakuna sehemu nimeandika habari za cover story.

Nilichoandika kama kifo cha Magufuli ni COVID itakuwa alipewa, Morogoro sokoni (may be I should have said chances are).

Ukiangalia video akiwa sikoni kuna dogo mmoja alikuwa ana angaika sana atulii sehemu moja anawagusa wenzake afiki kwa Magufuli ila mpaka karibu na wale walinzi wa karibu wa Magufuli hasa yule bonge.

Elewa vijana wakiwa na maambukizi ya COVID wanaweza kuwa wazima mpaka siku 14 bila ya kuonyesha dalili, ila ndani ya muda huo wanaweza ambukiza wengine (chukulia kama conspiracy theory tu).

It’s an observation, sio hitimisho; binafsi naamini kama Magufuli kafa na COVID basi walimpea pale sokoni Morogoro na huyo dogo ndio alikuwa anaisambaza (not conclusive).
Magufuli alisema mwenyewe wanae waliugua covid-19, possible aliutoa kwa wanae au inner circle yake akina kijazi,mfugale nk,acha kusingizia watu
 
matatizo ya moyo
covid 19

mtasema tu mlichomfanya rais wetu
sie tupo hapa kusubiri hiyo siku
tuwalishe nyama yake wahusika wote
Ukiwa na matatizo ya moyo,sukari,ukimwi,saratani ni ngumu kupambana na covid-19 na ukashinda,walipotangaza kuwa kafa kwa shida za moyo ilikua ni kumfichia aibu, sababu alionesha dharau kwa covid-19
 
Unajua covid inawaathiri watu tofauti.

Mimi ilinipata nikaugua vimafua kidogo kama kwa week mbili.

Kipindi ambacho ugonjwa aujulikani vizuri. Upuuzi wangu baada ya kupona bada ya, siku mbili nikapiga whisky (kabla ya chanjo aijapatikana). Dah kesho yake ikaibuka tena covid ilinisumbua sisahau mpaka napata chanjo.

Leo mzima kesho hiyo, miezi karibu mitatu aisee hapana.
Wewe hata ukiumwa jipu dogo la kwenye tako unakimbilia kudungwa chanjo!!

Sio kila kitu lazima udungwe chanjo Nyanda, ACHA USHAMBA!
 
View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.

Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
So what?
 
Magufuli alisema mwenyewe wanae waliugua covid-19, possible aliutoa kwa wanae au inner circle yake akina kijazi,mfugale nk,acha kusingizia watu
Wanae ilikuwa long time hadi kifo chake. Una siku 14 baaada ya kuambukizwa kabla ya dalili kuonekana (kama na kumbuka vizuri).

Ni miezi mingi sana kati ya alipo ni vi mafua vya manawe na kifo chake.

Kikazi pia ni out of the equation, kwangu mimi ni Morogoro sokoni akiwa ananunua vitu (theory only).
 
Wanae ilikuwa long time una siku 14 baaada ya kuambukizwa kabla ya dalili kuonekana (kama na kumbuka vizuri).

Mwanae na Kijazi ni out of the equation, kwangu mimi ni Morogoro sokoni akiwa ananunua vitu (theory only).
Kwa hiyo kijazi, mfugale,mpango walikua kwenye chain ya huyo kijana wa morogoro?..halafu hao secret service hawagusani!?
 
Anyway twendeni taratibu kimsingi COVID 19 ni ugonjwa wa virusi unaoenea haraka sana kwa njia ya hewa, majimaji kutoka kwa muathirika kupitia kugusana, kukaribiana etc
Kipindi late President yupo hospital alikuwa kazungukwa na viongozi wakuu wa nchi na vyombo vya usalama ambao walikuja kukubali kuwa waliongea nae mambo kadhaa hata kuwaomba wamrudishe kwao Chato.
Kwa namna coyote kama ingethibitika ni COVID 19 hill lisingewezekana maana angewekwa totally quarantine bila kukaribiana na watu wengine kuzuia maambukizi zaidi.
Kimazingira Inaonesha haikuwa Covid 19 na ndiomaana walikuja na hoja ya ugonjwa na moyo sasa wameturn to covid. Twende tu taratibu ukweli utajulikana tu.
 
Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.

Kuna dogo alikuwa anaisambaza

Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).

Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
UKo sawa mkuu.

Nilikua nikimuona na harakati zake za kukataa chanjo, Kukataa uhalisia wa COVID - 19, na kusema hakuna ugonjwa Tz.

Wakati kuna mamia ya watu wako hospitalized, Watu wanauguza ndugu zao wanapigania uhai kwenye ventilator, alafu unawasha TV unamsikia anasema hakuna corona, sijui maombi siku 3

Hivi wale ndugu waliokua wanauguza wenzao hospitali walikua wanajiskiaje

Au upo hospitali ya Umma, Mgonjwa wako wa matatizo ya upumuaji amekufa kwa kukosa Ventilator, Alafu unamsikia mtu ambae anatakiwa kuleta hizo ventilator akisema huo ugonjwa haupo.

Ni huzuni mno.
 
Anyway twendeni taratibu kimsingi COVID 19 ni ugonjwa wa virusi unaoenea haraka sana kwa njia ya hewa, majimaji kutoka kwa muathirika kupitia kugusana, kukaribiana etc
Kipindi late President yupo hospital alikuwa kazungukwa na viongozi wakuu wa nchi na vyombo vya usalama ambao walikuja kukubali kuwa waliongea nae mambo kadhaa hata kuwaomba wamrudishe kwao Chato.
Kwa namna coyote kama ingethibitika ni COVID 19 hill lisingewezekana maana angewekwa totally quarantine bila kukaribiana na watu wengine kuzuia maambukizi zaidi.
Kimazingira Inaonesha haikuwa Covid 19 na ndiomaana walikuja na hoja ya ugonjwa na moyo sasa wameturn to covid. Twende tu taratibu ukweli utajulikana tu.
Angewekwa na nani quarantine wakati yeye alipiga marufuku na kusema huo ugonjwa haupo.

Sembuse hata madaktari walikua wanapata kikugumizi kumtaarifu
 
Back
Top Bottom