Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Watu wa jukwaa la siasa wanajua mwisho wa mjadala bila ya kutoleana kejeli.Niangalie ujinga!!
You should have got the hint.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa jukwaa la siasa wanajua mwisho wa mjadala bila ya kutoleana kejeli.Niangalie ujinga!!
Wanae ilikuwa long time hadi kifo chake. Una siku 14 baaada ya kuambukizwa kabla ya dalili kuonekana (kama na kumbuka vizuri).
Ni miezi mingi sana kati ya alipo ni vi mafua vya manawe na kifo chake.
Kikazi pia ni out of the equation, kwangu mimi ni Morogoro sokoni akiwa ananunua vitu (theory only).
Hakukataa kuwa covid haipo, na ndio maana kuna juhudi kadhaa zilifanyika kama kupiga nyungu na hata kujaribu kutafuta dawa kutoka Madagascar.Angewekwa na nani quarantine wakati yeye alipiga marufuku na kusema huo ugonjwa haupo.
Sembuse hata madaktari walikua wanapata kikugumizi kumtaarifu
Hata akidanjishwa now kitabu tayari kipo na kitakuwepoKaflag anamwaga wino tu, anaandika lolote ataloona linafaa kwake.
Naaani wa kumdaka huko ughaibuni, je sirikali yetu ina kono refu kama Russia/North Korea/Israel kumuangusha wasie mhitaji hata akiwa mbali???
We n chz, basi tuambie utakufa lin na kwasababu gan ndugu yetu mjuaji?Not all the time
Kuimba kupokezana , let dance with Kabendera toneKutesa kwa zamu. Sasa Erick kapewa gongo, refa ni yeye mwenyewe na mtoa adhabu ni yeye mwenyewe
Mkuu naomba link ya hiyo YouTube clip husika. Najaribu kusearch YouTube zinakuja videos nyingi, sioni huyo dogo unayemsem
Mkuu kama wewe umekubaliana na kabendera katika hili bas yawezekana Kabendera ana taarifa nyingi za ndaniWakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.
Kuna dogo alikuwa anaisambaza
Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).
Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,
Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
MUNGU Fundi aiseeee, Erick anaanza kuandaa kitabu chake kwa KiswahiliKutesa kwa zamu. Sasa Erick kapewa gongo, refa ni yeye mwenyewe na mtoa adhabu ni yeye mwenyewe
Hujaelewa nilicho comment, punguza emotion kwanza and put logicWe n chz, basi tuambie utakufa lin na kwasababu gan ndugu yetu mjuaji?
Logic za nn mkuu, kfo n ktendawili unakufa popote na muda wowote, hvo yeye kapangiwa hvo unawezaje kusema hakustail ilo we n mungu? je unajua altakiwa kufa lini, utuambie?Hujaelewa nilicho comment, punguza emotion kwanza and put logic
Kuna washabiki wa 2Pac mpaka leo hawakubali 2Pac kafariki.View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Siku ya Mwisho kila goti litapigwaHuu si ushahidi ?😏
Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo. Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18. NANUKUU: Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the...www.jamiiforums.com
View attachment 3192839
Mkuu,Kabendera katumika vizuri kufikisha ujumbe lakini hiki kitabu muasisi wake ametulia anagonga mvinyo taratibu anapima kilivyopokelewa na uzuri timing ndo yenyewe kabisa kwani kimeingia mtaani kwa wakati.
Kuwasafisha? Au una maanisha kuwanyima credit zao wanaohisiwa kum terminate?Mmh! Kuna kaharufu ka kusafisha watu ambao walikisiwa kuhusika kumterminate!
Lakini inafikirisha!
Kama nyuma ya Kabendera kuna watu halafu wanajificha kiasi hicho, basi watu hao lazima awep Kabudi, Bashiru, Siro na Diwani, Madilu na yule aliyekuwa main-wofaKabendera katumika vizuri kufikisha ujumbe lakini hiki kitabu muasisi wake ametulia anagonga mvinyo taratibu anapima kilivyopokelewa na uzuri timing ndo yenyewe kabisa kwani kimeingia mtaani kwa wakati.
KILA MTU ATAKUFA AWE MBAYA KIASI AU MZURI KIASI GANI, KIFO N MPANGO WA MUNGU