#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

Wanae ilikuwa long time hadi kifo chake. Una siku 14 baaada ya kuambukizwa kabla ya dalili kuonekana (kama na kumbuka vizuri).

Ni miezi mingi sana kati ya alipo ni vi mafua vya manawe na kifo chake.

Kikazi pia ni out of the equation, kwangu mimi ni Morogoro sokoni akiwa ananunua vitu (theory only).

Mkuu naomba link ya hiyo YouTube clip husika. Najaribu kusearch YouTube zinakuja videos nyingi, sioni huyo dogo unayemsema.
 
Angewekwa na nani quarantine wakati yeye alipiga marufuku na kusema huo ugonjwa haupo.

Sembuse hata madaktari walikua wanapata kikugumizi kumtaarifu
Hakukataa kuwa covid haipo, na ndio maana kuna juhudi kadhaa zilifanyika kama kupiga nyungu na hata kujaribu kutafuta dawa kutoka Madagascar.

Kikubwa alichokataa ni watu kujifungia ndani eti sababu ya covid alitaka shughuli ziendelee kama kawaida hata ivyo ili work na hata nchi za magharibi zilizotaka watu wajifungie walirudi kwenye mtazamo huo.
Kitaaalam mwili wa binadamu unauwezo wa kupambana na mazingira yake kwakutengeneza kinga wenyewe. Unapokuwa kwenye certain harmed environmental or disease mwili unatengeneza resistance to that certain antigen. Na ndio maana kuna watu hawakuchanja na wapo mpaka leo na wanadunda vizuri.
 
Kaflag anamwaga wino tu, anaandika lolote ataloona linafaa kwake.
Naaani wa kumdaka huko ughaibuni, je sirikali yetu ina kono refu kama Russia/North Korea/Israel kumuangusha wasie mhitaji hata akiwa mbali???
Hata akidanjishwa now kitabu tayari kipo na kitakuwepo
 
Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.

Kuna dogo alikuwa anaisambaza

Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).

Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Mkuu kama wewe umekubaliana na kabendera katika hili bas yawezekana Kabendera ana taarifa nyingi za ndani
 
Jamaa ana hate na Jiwe sana ana amini ndio sababu ya kifo cha mama ake
 
View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.

Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Kuna washabiki wa 2Pac mpaka leo hawakubali 2Pac kafariki.

Nilifikiri na washabiki wa Magufuli nao watasema hajafariki yupo kajificha, yule aliyezikwa si yeye.

Maana wanabishia kila kitu, hata vitu vilivyojulikana kabla ya Kabendera kuandika.

Yani sasa hivi hata ukiandika Magufuli alikuwa na nyumba ndogo kwa Kidoti Kisarawe kuna raia wazalendo watapinga au wata rationalize.
 
Kabendera katumika vizuri kufikisha ujumbe lakini hiki kitabu muasisi wake ametulia anagonga mvinyo taratibu anapima kilivyopokelewa na uzuri timing ndo yenyewe kabisa kwani kimeingia mtaani kwa wakati.
 
Kabendera katumika vizuri kufikisha ujumbe lakini hiki kitabu muasisi wake ametulia anagonga mvinyo taratibu anapima kilivyopokelewa na uzuri timing ndo yenyewe kabisa kwani kimeingia mtaani kwa wakati.
Mkuu,

Upo JF hujulikani. Muasisi wake unayemkusudia ni nani?
 
Mmh! Kuna kaharufu ka kusafisha watu ambao walikisiwa kuhusika kumterminate!
Lakini inafikirisha!
Kuwasafisha? Au una maanisha kuwanyima credit zao wanaohisiwa kum terminate?
 
Kabendera katumika vizuri kufikisha ujumbe lakini hiki kitabu muasisi wake ametulia anagonga mvinyo taratibu anapima kilivyopokelewa na uzuri timing ndo yenyewe kabisa kwani kimeingia mtaani kwa wakati.
Kama nyuma ya Kabendera kuna watu halafu wanajificha kiasi hicho, basi watu hao lazima awep Kabudi, Bashiru, Siro na Diwani, Madilu na yule aliyekuwa main-wofa
 
Back
Top Bottom