M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Jiwe alikufa kwa COVID-19 hata Samia alikiri kuhusu hilo.Huyo mwandish ni punguani anatumika na wanasiasa mafisadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alikufa kwa COVID-19 hata Samia alikiri kuhusu hilo.Huyo mwandish ni punguani anatumika na wanasiasa mafisadi
Mbona Samia alikubali ya kuwa Jiwe alikufa kwa COVID-19?Kama kweli kaandika hivyo basi hilo jalida lake limejaa uongo na upotoshaji. Ni mpuuzi tu atakayenunua hizo hekaya.
Wewe kwenye habari zote za machanjo lazima utie guu kwa kasi na kupiga porojo, lakini propaganda zako tumeshazitambua.Yeah ukilinganisha waliochanjwa na wasiochanjwa utagundua vifo vingi ni kwa wasiochanjwa kaangalie CDC kule takwimu zote zipo. Tupunguze ujuaji waTanzania leo chanjo mbaya ila ARV, chanjo ya homa ya ini, chanjo ya manjano na chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi mbona tunatumia?
kumbe!Ukiwa na matatizo ya moyo,sukari,ukimwi,saratani ni ngumu kupambana na covid-19 na ukashinda,walipotangaza kuwa kafa kwa shida za moyo ilikua ni kumfichia aibu, sababu alionesha dharau kwa covid-19
NoooooYule mzee ni kweli alidanja kwa Covid.
Yaani mtu kuandika kitabu tu mnataka auawe?!Kaflag anamwaga wino tu, anaandika lolote ataloona linafaa kwake.
Naaani wa kumdaka huko ughaibuni, je sirikali yetu ina kono refu kama Russia/North Korea/Israel kumuangusha wasie mhitaji hata akiwa mbali???
Hapa umeonesha usivyoweza kufikiri,aliyekufa kwa covid ni magu tu dunia nzima!?.. viongozi siyo watu!?kumbe!
vipi hiyo covid sikuhizi iko wapi?
imeisha? sikuhizi haiui tena viongozi?
au viongozi wenye matatizo ya moyo washaisha?
Kejeli iko wapi!?..nimalize mb zangu kuangalia usalama wa taifa wakigusana,kila siku hawagusani!?Watu wa jukwaa la siasa wanajua mwisho wa mjadala bila ya kutoleana kejeli.
You should have got the hint.
Asingeweza kupona wakati wasaidizi wake Wakuu walisafishwa na COVID 19.View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
COVID ilitusaidia sana, nchi ilikuwa inaongozwa na mwendawazimu!"hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility"
hapo juu unasema ni covid kaambukizwa na dogo sijui mlinzi wake
Chini hapo unasema alikuwa eliminated
Sasa tuende na lipi?
KIFO N KIFO TUKama kifo ni mpango wa Mungu kwa nini huwa mnakwenda hospitalini? Kuhangaika kuokoa akina mama wajawazito wasifariki wakati wa kujifungua au kupambania vichanga vizaliwe salama huwa ina faida gani kama kweli kufa ni mpango wa Mungu?
Kwa nini nchi masikini average life span iko chini tofauti na nchi zilizoendelea? Mungu anabagua nchi masikini majority wafe mapema huku wale wa developed countries akiwapendelea maisha marefu?
Mungu wenu mbona ana ubaguzi kiasi hicho? Hata wanaoshambuliwa na kuuawa na majambazi ni mpango wa Mungu?
Ushahidi wako kutoka kwa huyo Mungu ni upi?
Walichanja wakiwa wagonjwa ikawa sumu.Ila,wengi waliokufwaga ni wale wabishi wa chanjo na dhaifu wa kinga.Waliochanjwa hawakufa?
Waliokufa ni viongozi tu!?..sasa mfugale kwa nini auawe?..kijazi ana nini hadi auawe!?..mpango hakuugua!?..au yeye hakutakiwa kuuawa?..ngwilizi hakwenda kuzikwa tabora baada ya kifo cha covid?.. hakuwa na maradhi sugu!?wewe ndio huna akili, ni tutusa fulani hivi
unasema mtu akiwa na matatizo ya moyo/sukari/ukimwi covid inamuua
msululu wa viongozi walikufa kwa kufuatana kama kuku, wauaji mkasema eti ni covid
JPM, Kijazi, Kwandikwa, Mfugale, Mahiga etc
nakuuliza mbona siku hizi covid haiui viongozi tena kwa mafungu? covid iliyowaua kina JPM imeenda wapi?
Duh! 😭😭😭Chanjo ya covid haijawahi kuzuia covid wala kuokoa maisha ya mtu hata wazungu walioileta wenyewe wameikataa na wanawashtaki wenye makampuni ya chanjo.
Sawa ila Kuna mijitu mingine ikitangulia nchi huwa FURAHANI KWA NDEREMO NA VIFIJO.KILA MTU ATAKUFA AWE MBAYA KIASI AU MZURI KIASI GANI, KIFO N MPANGO WA MUNGU
Jibu lilikuwa walikufa/hawakufa. Umeanza na maelezo meengi. China, Ulaya na Usa je walikochanja mapema kabisa, walikufa ama hawakufa?Walichanja wakiwa wagonjwa ikawa sumu.Ila,wengi waliokufwaga ni wale wabishi wa chanjo na dhaifu wa kinga.
Nyungu zilisababisha Kijazi na Mfugale wakaondokaView attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Kumbe? mbona sasa chanjo ya homa ya ini hamjaikataa na watengenezaji ni wazungu hao haoTunashukuru watanzania waliwagomea mashetani na machanjo yao ya kubumba.
Kwahiyo tusitende mema kwasababu mwisho wa siku tutakufa tuuu? 🤔KILA MTU ATAKUFA AWE MBAYA KIASI AU MZURI KIASI GANI, KIFO N MPANGO WA MUNGU