#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

Yeah ukilinganisha waliochanjwa na wasiochanjwa utagundua vifo vingi ni kwa wasiochanjwa kaangalie CDC kule takwimu zote zipo. Tupunguze ujuaji waTanzania leo chanjo mbaya ila ARV, chanjo ya homa ya ini, chanjo ya manjano na chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi mbona tunatumia?
Wewe kwenye habari zote za machanjo lazima utie guu kwa kasi na kupiga porojo, lakini propaganda zako tumeshazitambua.

Na mimi nimejitolea bure kupambana na manabii uchwara wa machanjo mitandaoni kwa nguvu zote, nipo chonjo silali kama bundi.

Hatuwezi kubugia machanjo hovyo hovyo kama tunameza sakramenti, NEVER EVER FOREVER.

Tunashukuru watanzania waliwagomea mashetani na machanjo yao ya kubumba. It is on record, and we are happy!!

Kwendeni zenu na machanjo yenu uchwara.
 
Ukiwa na matatizo ya moyo,sukari,ukimwi,saratani ni ngumu kupambana na covid-19 na ukashinda,walipotangaza kuwa kafa kwa shida za moyo ilikua ni kumfichia aibu, sababu alionesha dharau kwa covid-19
kumbe!
vipi hiyo covid sikuhizi iko wapi?
imeisha? sikuhizi haiui tena viongozi?
au viongozi wenye matatizo ya moyo washaisha?
 
Kaflag anamwaga wino tu, anaandika lolote ataloona linafaa kwake.
Naaani wa kumdaka huko ughaibuni, je sirikali yetu ina kono refu kama Russia/North Korea/Israel kumuangusha wasie mhitaji hata akiwa mbali???
Yaani mtu kuandika kitabu tu mnataka auawe?!

Kumbe inawezekana wafuasi wa Magu na nyie mna matatizo ya akili kama alivyokuwa boss wenu.
 
kumbe!
vipi hiyo covid sikuhizi iko wapi?
imeisha? sikuhizi haiui tena viongozi?
au viongozi wenye matatizo ya moyo washaisha?
Hapa umeonesha usivyoweza kufikiri,aliyekufa kwa covid ni magu tu dunia nzima!?.. viongozi siyo watu!?
 
Watu wa jukwaa la siasa wanajua mwisho wa mjadala bila ya kutoleana kejeli.

You should have got the hint.
Kejeli iko wapi!?..nimalize mb zangu kuangalia usalama wa taifa wakigusana,kila siku hawagusani!?
 
View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.

Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Asingeweza kupona wakati wasaidizi wake Wakuu walisafishwa na COVID 19.

Cha ajabu wapumbavu wanaamini eti alisepeshwa wakati uhakika ni uviko 19 ambayo aliipuuza.
 
"hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility"


hapo juu unasema ni covid kaambukizwa na dogo sijui mlinzi wake

Chini hapo unasema alikuwa eliminated

Sasa tuende na lipi?
COVID ilitusaidia sana, nchi ilikuwa inaongozwa na mwendawazimu!
 
Kama kifo ni mpango wa Mungu kwa nini huwa mnakwenda hospitalini? Kuhangaika kuokoa akina mama wajawazito wasifariki wakati wa kujifungua au kupambania vichanga vizaliwe salama huwa ina faida gani kama kweli kufa ni mpango wa Mungu?
Kwa nini nchi masikini average life span iko chini tofauti na nchi zilizoendelea? Mungu anabagua nchi masikini majority wafe mapema huku wale wa developed countries akiwapendelea maisha marefu?
Mungu wenu mbona ana ubaguzi kiasi hicho? Hata wanaoshambuliwa na kuuawa na majambazi ni mpango wa Mungu?
Ushahidi wako kutoka kwa huyo Mungu ni upi?
KIFO N KIFO TU
 
wewe ndio huna akili, ni tutusa fulani hivi
unasema mtu akiwa na matatizo ya moyo/sukari/ukimwi covid inamuua
msululu wa viongozi walikufa kwa kufuatana kama kuku, wauaji mkasema eti ni covid
JPM, Kijazi, Kwandikwa, Mfugale, Mahiga etc
nakuuliza mbona siku hizi covid haiui viongozi tena kwa mafungu? covid iliyowaua kina JPM imeenda wapi?
Waliokufa ni viongozi tu!?..sasa mfugale kwa nini auawe?..kijazi ana nini hadi auawe!?..mpango hakuugua!?..au yeye hakutakiwa kuuawa?..ngwilizi hakwenda kuzikwa tabora baada ya kifo cha covid?.. hakuwa na maradhi sugu!?
 
Chanjo ya covid haijawahi kuzuia covid wala kuokoa maisha ya mtu hata wazungu walioileta wenyewe wameikataa na wanawashtaki wenye makampuni ya chanjo.
Duh! 😭😭😭
Chanjo imeokoa mamilioni ya watu. Mwendazake alikuwa mjinga sana kudharau ugonjwa.
 
Walichanja wakiwa wagonjwa ikawa sumu.Ila,wengi waliokufwaga ni wale wabishi wa chanjo na dhaifu wa kinga.
Jibu lilikuwa walikufa/hawakufa. Umeanza na maelezo meengi. China, Ulaya na Usa je walikochanja mapema kabisa, walikufa ama hawakufa?
 
View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.

Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Nyungu zilisababisha Kijazi na Mfugale wakaondoka
 
Back
Top Bottom