Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Msisahau... Ya Kabendera ni madogo kulinganisha na ya MangeKaflag anamwaga wino tu, anaandika lolote ataloona linafaa kwake.
Naaani wa kumdaka huko ughaibuni, je sirikali yetu ina kono refu kama Russia/North Korea/Israel kumuangusha wasie mhitaji hata akiwa mbali???
Inawezekana yule anayenuna na kujiuliza maswali potoshi kuhusu marehemu kusemwa ndiye kantyentye zaidi.Lengo huwa ni kuakisi aliyoyafanya na matokeo yake kwa mtu mmojammoja au jamii yote.Hii husaidia waliobaki kuujua ukweli,kujirekebisha,kujutia,kuacha uovu na kuiacha jamii ikiwa salama.Fundisho hutolewa.Aliyekufa na anaweza kusikia na kujibu ni Yesu tu.Ukimsema vibaya anajitekebisha??ni akili za kipinguani kumsema vibaya marehemu.ni sawa na death sentence.huwa inamsaidaje marehemu kumrekebisha?
Inawezekana yule anayenuna na kujiuliza maswali potoshi kuhusu marehemu kusemwa ndiye kantyentye zaidi.Lengo huwa ni kuakisi aliyoyafanya na matokeo yake kwa mtu mmojammoja au jamii yote.Hii husaidia waliobaki kuujua ukweli,kujirekebisha,kujutia,kuacha uovu na kuiacha jamii ikiwa salama.Fundisho hutolewa.Aliyekufa na anaweza kusikia na kujibu ni Yesu tu.
Sasa how do you eliminate a person without a cause? Or you can do that on wishful thinking."hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility"
hapo juu unasema ni covid kaambukizwa na dogo sijui mlinzi wake
Chini hapo unasema alikuwa eliminated
Sasa tuende na lipi?
Ndiyo akasababisha John augope ulimwengu na kutorokea shimoni?Mark Zuckerberg Mmiliki wa Facebook Akiri Kuchakachua Taarifa za COVID-19 Kwa Shinikizo la Biden
Yeye mwenyewe alisema kila mtu atakufa, alifikia stage nadhani hakuogopa kifo, na he knew he was next In line after Mfugale and Kijazi.Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.
Kuna dogo alikuwa anaisambaza
Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).
Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,
Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Mkuu twende taratibu kuna kitu nataka kuelewa umesema kwenye video ya Morogoro dogo mlinzi wake ndio kamuambikiza Covid-19Sasa how do you eliminate a person without a cause? Or you can do that on wishful thinking.
Si unatakiwa uumpe mtu sumu kwanza halafu ndio afe au kuna namna nyingine; mbona ni straight forward post.
Hilo mbona linajulikana siku nyingi na kinadhihirisha ukichaa wake. Hakuamini kubwa kuna huo ugonjwa na watu wake wa karibu wote walikufa kwa ugonjwa huo sababu ya unafiki. Kwa mashabiki maandazi wake kuna wanaoamini kuwa hajafa kuna siku atarudi madarakaniView attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Huyu alikufa na Nini?View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Kiongozi hakuna sehemu nimeandika habari za cover story.Mkuu twende taratibu kuna kitu nataka kuelewa umesema kwenye video ya Morogoro dogo mlinzi wake ndio kamuambikiza Covid-19
Swali langu ni Covid- 19 ilitumika kama elimination method au Cover story ya elimination??
Asante KiongoziKiongozi hakuna sehemu nimeandika habari za cover story.
Nilichoandika kama kifo cha Magufuli ni COVID itakuwa alipewa, Morogoro sokoni (may be I should have said chances are).
Ukiangalia video akiwa sikoni kuna dogo mmoja alikuwa ana angaika sana atulii sehemu moja anawagusa wenzake afiki kwa Magufuli ila mpaka karibu na wale walinzi wa karibu wa Magufuli hasa yule bonge.
Elewa vijana wakiwa na maambukizi ya COVID wanaweza kuwa wazima mpaka siku 14 bila ya kuonyesha dalili, ila ndani ya muda huo wanaweza ambukiza wengine (chukulia kama conspiracy theory tu).
It’s an observation, sio hitimisho; binafsi naamini kama Magufuli kama na COVID basi walimpea pale na huyo dogo ndio alikuwa anaisambaza (not conclusive).
Hili mbona Mh Rais Dr Samia alisha thibitisha kwenye filamu ya Royal Tour? Nini cha ajabu hapa?View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Nanyi mmekubaliana nae?View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Na PhD aiseDr. Eric Kabendera?
Ishu ya covid magufuli alikuwa sahihi kabisa dk.wao usa wanamshtaki sasa hivi kwa kuwadanganya.View attachment 3192824
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19.
Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika maeneo ya umma.
Kimya cha serikali ya Tanzania kiliendelea kuzua wasiwasi hasa miongoni mwa wananchi, watalaam wa afya na wanaharakati wa haki za binadamu, ambao walizuiwa kuzungumzia maambukizi hayo hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Magufuli si rahisi kumchafua akachafulika, kwan kazi zake ndo hutumika kwa ajiri ya location kwa wasanii na wageni mbalimbali ktoka mataifa tofautiMtandao wa JK na Samia: Mpango wa Kumchafua Magufuli
Katika siasa za Tanzania, kuandaliwa kwa mtandao wa kisiasa ni jambo la kawaida, lakini wakati mwingine, mipango hii hujikita katika malengo yasiyo ya haki. Hivi karibuni, ripoti zimeibuka zikielezea jinsi mtandao wa Rais Samia Suluhu Hassan na aliyekuwa Rais Jakaya Kikwete (JK) unavyofanya kazi kwa lengo la kumchafua aliyekuwa Rais John Magufuli, hususan kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Muktadha wa Kisiasa
Tanzania imekuwa na historia ndefu ya siasa za ushindani na ukosefu wa umoja miongoni mwa vyama. Baada ya kifo cha Rais Magufuli, ambaye alijulikana kwa sera zake kali na uongozi wake wa kipekee, nchi ilianza kujikuta katika mvutano wa kisiasa. Wakati ambapo Rais Samia alirehemu baadhi ya sera za Magufuli, kuna wale ambao wanadhani kwamba mtandao huu unalenga kumchafua ili kuhalalisha mabadiliko ya kisiasa yanayoweza kufanyika.
Mipango ya Kumchafua
Mtandao huu unadaiwa kujihusisha na kampeni za kueneza taarifa za uongo na propaganda kuhusu utawala wa Magufuli. Kwa kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kuna madai kwamba wanapotosha ukweli kuhusu mafanikio na changamoto za kipindi cha uongozi wa Magufuli. Lengo kuu ni kuwachanganya wapiga kura na kuhamasisha hisia hasi dhidi ya mtu ambaye alichukuliwa kama kiongozi mwenye maono ya kitaifa.
Athari za Mchakato
Athari za kampeni hii ni kubwa. Kwanza, inazua hali ya kutofahamika miongoni mwa wananchi kuhusu utawala wa Magufuli. Watu wanapokumbwa na taarifa mbaya bila uhalisia, wanajikuta wakikosa uamuzi sahihi wa kisiasa. Aidha, inachangia katika kuimarisha tofauti za kisiasa kati ya wafuasi wa Samia, JK, na wale wanaoshikilia miradi ya Magufuli.
Ushirikiano wa Kiuchumi
Kuna hofu kwamba mtandao huu unaweza kuathiri ushirikiano wa kiuchumi kati ya serikali ya sasa na miradi iliyosimamiwa na utawala wa Magufuli. Wakati ambapo baadhi ya miradi hiyo ilikuwa na mafanikio makubwa, propaganda inayofanywa inaweza kuathiri uwekezaji na uhusiano na wahisani ambao walikuwa wakimhimiza Magufuli.
Mkakati wa Kupambana na Propaganda
Katika kutafuta njia ya kupambana na propaganda hii, wafuasi wa Magufuli na baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameanzisha kampeni za kujitafutia ukweli. Wanatumia mitandao ya kijamii na mikutano ya hadhara kuwajulisha wananchi kuhusu mafanikio ya utawala wa Magufuli. Hii ni njia ya kujenga upya imani ya umma na kuondoa dhana potofu zinazowekwa na mtandao wa JK na Samia.
Tathmini ya Hali
Hali hii inahitaji tathmini makini. Ni muhimu kwa watanzania kuwa waangalifu na taarifa wanazopokea, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Uwezo wa mtandao huu wa kisiasa kubadilisha mitazamo ya umma ni mkubwa, lakini ukweli wa mambo unapaswa kuwekwa wazi. Wananchi wanahitaji kuwa na taarifa sahihi ili waweze kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
Hitimisho
Kwa kuzingatia muktadha wa kisiasa nchini Tanzania, mtandao wa JK na Samia unapaswa kutathminiwa kwa makini. Lengo la kumchafua Magufuli linaweza kuwa na madhara makubwa si tu kwa siasa za nchi bali pia kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Ni lazima wapiga kura wawe na ufahamu wa kutosha ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika uchaguzi wa mwaka 2025. Katika ulimwengu wa habari za kisasa, ukweli na uwazi ni silaha muhimu katika kupambana na propaganda na siasa za chuki.
Suala ni wakati gani?Covid or No Covid ! We have been Born to die !
Including everyone ! Safari ipo pale pale ! Tena huwa ni ya One way ticket !
Kwahiyo wewe umedungwa chanjo? imekusaidia nini?Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,