#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

Kwahyo Corona iliisha au imeishaje!?
 
Covid-19 imeenda wapi,ina maana haikuwepo au toka huko china na duniani ilikua maigizo!?.. kuhusu mkapa hata jakaya alilalamika kwamba 'jana nilikua nae, alikua mzima,mara naambiwa kafa'..hapa tumuulize yule dikteta wako aliyedaiwa kutaka kutawala milele,lakini mpango alipona na mkapa hakuwa na covid-19,mahiga,mfugale,kijazi,wauawe Ili iweje?.. yaani mhandisi wa madaraja mfugale auawe Ili iweje!?.. duniani kote covid-19 haipo kwa sasa
 
Kuisafisha huchafuki, ila ukitaka kuchafua ndipo unachafuka...
Crude oil ni chafu na husafishwa kuwa mafuta ya kila aina ikiwemo grease safi, petrol, oil, diesel, oaraffin nk. Tatizo oil chafu huwezi tena kuipurify iweze kuwa safi elewa hapo 😀 Magu hakuwa msafi na anayetaka kimsafisha ataishia kuchafuka yeye tu.
 
We dogo una mtindio wa ubongo si bure...
Achana na reply zangu, huwezi kuzielewa.
Kuniita dogo haiwezi kusaidia.

Fafanua, iweje mtu kaandika kitabu tu unataka auawe?

Tukitaka kila mwny maoni tofauti na upendavyo wewe auawe, na wewe si itabidi uuawe kwa kuwa una maoni tofauti na mimi?

Wewe na huyo jiwe mwendazake, nani aliwapa mamlaka ya kutoa uhai wa binadamu wengine kisa tu wanaandika au kusema vitu msivyopenda?
 
Fatilia comments zangu za nyuma kuhusu Eriki kaflag.
Tatizo lako una mihemko sana.
Na fatilia pia comments na reply za wenzio kwenye hiyo comment yangu ndo ujue ni kwa namna gani una mihemko.
 
Pumbavu sana.Sasa hii ni habari? kufa kwa COVID siyo habari .Tanzania walikufa wengi na duniani kwa ujumla.Kwa hiyo Magufuli kufa kwa Covid siyo habari.Ni maradhi miongongoni mwa maradhi .Angekufa kwa kupigwa amefumaniwa hiyo ndiyo ingekuwa habari.
Yaani hiki Kibendera na Kitabu chake anachemka kwelikweli.
 
Fatilia comments zangu za nyuma kuhusu Eriki kaflag.
Tatizo lako una mihemko sana.
Na fatilia pia comments na reply za wenzio kwenye hiyo comment yangu ndo ujue ni kwa namna gani una mihemko.
Hakuna hoja yeyote uliyojibu hapa.

Ni watanzania msiojitambua, huna hoja.

Lakini mimi nakuambia, ipo siku mtawaeleza watanzania, mamlaka ya kuteka na kuua mliyatoa wapi, mark my words.
 
The positive aspect is that he passed away while fearlessly defending his beliefs, standing firm in the face of intimidation, and refusing to bow to the imperialists, making him a true hero.
 
Magufuli bado anaishi kwenye mioyo ya watanzania walio wengi , yaani kama hawaamini wamshindanishe aliyekuwepo na hayati watapata majibu..

Japo binafsi sikuwa na mkubali ila kumchafua Magufuli kutabakia mitandaoni mtaani unaweza kuchapwa viboko hawawezi kukuelewa na itachukua miaka mingi kulifuta jina lake kwenye Mioyo ya Watanzania walio wengi.
 
M
mmh !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…