L LC300 Member Joined Jan 23, 2025 Posts 45 Reaction score 49 Feb 10, 2025 #221 pesakilakitu said: Mkuu Huyo bilionea kashaachiwa ...mtu unaweza kununua jumba Dubai kwa bilioni 3 , unateseka na nini, polisi? Simu Moja tu Inapigwa na anaachiwa. ..tena inaweza toka Moja kwa Moja kwenye jumba jeupe huko kwao Click to expand... Ningeshindwa kushangaa kama angebabaishwa na hiyo case. Ni case ndogo sana 😂
pesakilakitu said: Mkuu Huyo bilionea kashaachiwa ...mtu unaweza kununua jumba Dubai kwa bilioni 3 , unateseka na nini, polisi? Simu Moja tu Inapigwa na anaachiwa. ..tena inaweza toka Moja kwa Moja kwenye jumba jeupe huko kwao Click to expand... Ningeshindwa kushangaa kama angebabaishwa na hiyo case. Ni case ndogo sana 😂