The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
"Ninayo kila sababu ya kuishukuru serikali kwa namna inavyowatumikia wananchi wake. Ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jimbo la Buchosa peke yake mimi kama mbunge nimepokea bilioni 63 za maendeleo, tumejenga barabara, tumejenga vituo vya afya vitano tumejenga sekondari mpya zaidi ya 8 tumejenga zahanati za kutosha karibu 21 imejenga madarasa ya kutosha kila kona. Wananchi wa Buchosa wanakuambia maisha yao yamekuwa bora kuliko yalivyokuwa zamani kwa sababu serikali ya Chama Cha Mapinduzi inafanya kazi."
"Haya yote yanafanyika katika taifa ambalo moja limefiwa na Rais wake, yote haya yanafanyika dunia ikiwa uchumi wake umetetereka kwa sababu ya Covid 19, kwa sababu ya vita vya Ukraine kwa sababu ya vita vya mashariki ya kati."
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Eric Shigongo Mbunge wa Jimbo la Buchosa akizungumza leo Februari 22 na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam.
"Haya yote yanafanyika katika taifa ambalo moja limefiwa na Rais wake, yote haya yanafanyika dunia ikiwa uchumi wake umetetereka kwa sababu ya Covid 19, kwa sababu ya vita vya Ukraine kwa sababu ya vita vya mashariki ya kati."
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Eric Shigongo Mbunge wa Jimbo la Buchosa akizungumza leo Februari 22 na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam.