Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Amini Kabendera ametumiwa sana na wanasiasa na makapuni ya nje. Makala zake nyingi alizoandikia magazeti ya nje, zilikuwa zikitayarishwa na wanasiasa au makampuni hayo naye akizirusha tu.Aisee mkuu mleta mada mahela yote hayo Kabendera alikuwa anawafanyia kazi ipi nyeti hao mabeberu?
Hii kuanika hadhalani madudu ya mkulu ndo alipwe mihela yote hiyo kweli?
So hizo akaunti zimeshakuwa freezed mpaka muda huu au still operating?
Why pesa ipitie crdb benki tu? Policies za money laundry kwao zikoje?
Kabisa, na ana bahati angekuwa kagame angeshamalizana nae siku nyingi
Watu Kama wewe hata kwa Mungu hamjulikani, your number lies in abyssTujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Kuweni mnachekecha akili zenu!Kwanini alivyoandika barua mara ya kwanza pamoja na watuhumiwa wengine waliokuwa mahabusu baada ya agizo la Rais hakuachiwa huru na DPP?Na agizo la Rais lilikuwa mtuhumiwa yeyote atakayendika barua ndani ya muda ya kukiri na kukubali kulipa aachiwe huru!Kwanini Kabendera aliwekwa kando?Mabeberu wana mkono kwenye kuachiwa kwake,ili iwe win win situation ndio yakatengenezwa mazingira kama hayo,serikali isiabike lakini na Kabendera awe huru!Tafakari!Angetoka bila mashariti ningekuelewa,MTU kakaa miezi saba na analipa million 274 halafu halafu unaleta nyenyeee!!!
kabisa kabisa. namuona M,change hapa katoa ufafanuzi mzuri sanaWengi wanajifanya hamnazo kwa kuingiza siasa kwenye jambo ambalo liko wazi kabisa. Ushauri wako kwa Kabenera ni kuntu usio na dosari.
umemaliza kila kitu mzee babaAmini Kabendera ametumiwa sana na wanasiasa na makapuni ya nje. Makala zake nyingi alizoandikia magazeti ya nje, zilikuwa zikitayarishwa na wanasiasa au makampuni hayo naye akizirusha tu.
Usikute wanasiasa kama Zitto walikuwa wakitumia accnt hizo kuingizia pesa wanazolipwa na mabeberu na kuzihamishia mifukoni mwao.
hata mie niliyaona marefu nikataka kluyapuuza. lakini kadri nilivyokuwa nikiyasoma nimekuwa nikielewa na kuelewaMaelezo marefu sana, sijaona kosa la kimahakama kuhusu kupokea hizo pesa. Kwa hela hizo, faini na fidia bado anabaki na pesa ya kutosha sana! Kama alitakatisha pesa kwa akaunti hizo, mabilioni, mbona mmemtoza 250,000 na 200ml tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
point pleaseHuyo kijana kichwani hamna kitu na ukitaka kuthibitisha hilo kutana naye na ongea naye ana kwa ana utaona jinsi anavyotoa pumba, sielewi kwanini ZZK alimsaidia sana jamaa huyu katika uchaguzi wa 2015 wakati akijua ana kichwa hoho? Mwaka 2015 alifikiri Kibaha ni wajinga kama yeye na akagombea Ubunge lakini walimwonyesha kuwa hafai sasa tena uchaguzi umekaribia ameanza kunyatanyata taratibu sijui safari hii ataingia kwa chama gani na hatujui jimbo gani atalitumia kukamilisha ndoto zake za alinacha.
una hakika na ukinenacho>Acha kusema uongo Kabendera hajakiri mmeona hamna pakutokea mabeberu wamewashika rohoni hamna cha kujitetea kuhusu Kabendera mkajiona mshawekewa vikwazo vingi na misaada ishazuiwa na wengine wameshapigwa block kuhusu kuingia Marekani kwa unyama mnaowafanyia watanzania kuwabambikizia watu kesi kuwapiga risasi kuwateka na wengine kuwatupa baharini mabeberu ushahidi wote wanao kama huamini mwambie makonda akaombe viza aende Marekani kama USA hajaweka mambo hazarani
Tuelewane hapa. Kosa la Kabendera ni ukwepaji Kodi, kodi ya malipo halali yaliyoingia kwenye hizo accounts. Na kwa sababu Pesa/kodi ya TRA ameitumia na ameiingiza kwenye mzunguko basi mwingine. "ameitakatisha" sasa ametakiwa alipe kodi hiyo, Fidia ya kukwepa wajibu wa ku declare TRA malipo, faini ya utakatishaji pesa isiyo yake na faini ya kukwepa kodi.Maelezo marefu sana, sijaona kosa la kimahakama kuhusu kupokea hizo pesa. Kwa hela hizo, faini na fidia bado anabaki na pesa ya kutosha sana! Kama alitakatisha pesa kwa akaunti hizo, mabilioni, mbona mmemtoza 250,000 na 200ml tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
jd41,
Ninaye colleague wangu kwenye kikosi cha plea bargain. Kaniambia hivi ; Hata sisi tunajuwa kuwa kinachoendelea ni kinyume cha sheria na watuhumiwa wanaonewa, lakini haya ni maagizo toka juu. Usipotekeleza ina maana umejifukuzisha kazi" .
Kamuamini mumeo!!Kwa hiyo unataka sisi tumwamini huyo collegue wako. JF raha sana.
Kikundi cha kihalifu ni pamoja na walioshiriki kumpa mpunga pamoja na kumfungulia accounts. Mwenyewe kakubali nyinyi mnapiga filimbi tu hapa na huo mkwanja mnaota hamuwezi kuupata katika Maisha yenu.Chakaza,
TUHUMA: Erick Kabendera alituhumiwa kwa utakatishaji fedha, kukwepa kodi na kuongoza kikundi cha uhalifu
HUKUMU; kulipa faini TZS 273M (utakatishaji fedha na kukwepa kodi)
Vipi hili kosa la tatu la 'kuongoza kikundi cha uhalifu' ni kikundi gani? Kimetajwa?
Kamuamini mumeo!!
Kwani wewe ni mgeni Tanzania? Au umeamua kutumia fuvu la kichwa kubebea nywele tu. Use your gray matter if at all you have some. Kama huwezi kuona udhalimu wanaofanyiwa wakosoaji wa mfumo kandamizi then you are useless to this nation.Hapo ndipo ulipogota, kwa sababu wewe unategemea mume huwezi kufahamu, issue zikikushinda unakimbilia kwenye matusi, if that helps you to feel better you are welcome.
Swali linakuja akshabu ya kuongoza kikundi cha uhalifu nini? Kwa kuwa tumeona adhabu 2 ya kukwepa kodi na kutakatisha fedha!Kikundi cha kihalifu ni pamoja na walioshiriki kumpa mpunga pamoja na kumfungulia accounts. Mwenyewe kakubali nyinyi mnapiga filimbi tu hapa na huo mkwanja mnaota hamuwezi kuupata katika Maisha yenu.
Sasa kwa nini wameondoa baadhi ya mashitaka kama kutakatisha fedha na kuongoza genge la kihalifu? Huku si ndio tunasema kubambikiwa kesi?
Haraka za kumbandikia makosa ya urakatishaji fedha na kuongoza genge la uhalifu zilikuwa za nini? Ni afadhali wangeanza na makosa madogo na kisha kurekebisha na kumwekea hayo makosa yasidhaminika.
DPP na polisi wanaichafua serikali. Wasiwasi wa wananchi, wanarakati, watetezi wa haki za binadamu na mabalozi waliopo nchini walikuwa na mashaka na hii kesi kuanzia namna polisi walivyomkamata kama 'watu wasiojulikana' , haya mabadiliko ya mashitaka yanadhihirisha huo 'ubambikizwaji' wa kesi dhidi ya Kabendera.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Eric Kabendera itakuwa na makosa yeyote bali amenuua uhuru wake ulioporwa na Serikali dhalimu kwa fedha.Nadhani una matatizo yako...soma vizuri makubaliano hayo ambayo Kabendera amekiri mwenyewe...soma vizuri....usikimbilie kwa haki za binadamu....kitu hiki hakipo duniani....ukiichezea dola unakwenda na maji...Hakuna cha kubambikiwa hapa.Acha kulia lia...Acha kulalamika pasipo sababu...Uwe objective...Ukweli umewekwa hadharani unataka nini sasa...Heshimuni mamlaka...dola ina mkono mrefu...Wananchi hawakuwa na shaka na hii kesi...wewe na wenzio wachache ndio mliokuwa mkipiga kelele pasipo sababu na mkitaka ukweli uwekwe hadharani...sasa ukweli umewekwa hadharani lakini bado mnapiga kelele....uhaini na usalitini jambo baya sana duniani kote...Nchi nyingine nyingi duniani wasaliti na wahaini hupigwa risasi pasipo huruma...Tanzania hatuna utaratibu na utamaduni huo....
Eric Kabendera itakuwa na makosa yeyote bali amenuua uhuru wake ulioporwa na Serikali dhalimu kwa fedha.