Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Akina nani hao walibambikiziwa kesi ya uhujumu uchumi kisa kalamu zao?Mwandishi wa Habari Kabendera ana maslahi nao gani? Maana kama ni ishu ya waandishi, hao wengine waliowahi kuwa na kesi mabeberu walikuwa wanatuma watu wao?