Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo. Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa. Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake. Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.

Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885. Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.

Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi. Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB.

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine. Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.

Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania. Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' . Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA
Ninakushauri Ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa. Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu. Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Shida ni kuwa alipokamatwa mbona kuhangaika na masuala ya uraia? Hii taarifa naitilia shaka kwa asilimia 95%
 
Tokea mwaka 2015 baada ya zile sarakasi za kuchenji gear angani,ndio nika gundua kila mwana siasa either wa chama tawala au wa upinzani wote wana nunulika sababu wote wana tamaa za kupata hela kwa njia za mkato.

Wapinzani walio wengi wanatumia hii huruma kufanya mambo yao mengi ya kipuuzi sometimes mpaka kuiumiza nchi na sisi tunashindwa kuwauliza.Ripoti za CAG mara kibao upinzani wanapata hati chafu,lkn hawaulizwi zaidi ya hapo watainyooshea kidole serikali na CCM,ukiwauliza watakwambia "mbona CCM nao wana hati chafu".Sasa mtajitofautishaje nyinyi na CCM wakati wanayo ya fanya CCM na nyinyi mnayafanya,miaka yote wanakubali mdahalo lkn 2015 walikataa mdahalo ukiwauliza "mbona CCM nao wamekataa".

Zitto naye nilikuwa na mkubali,kumbe naye mpuuzi tu,wakati akihojiwa na BBC sakata ya kutaka kuzuia hela za mkopo kutoka benki ya dunia na kile alichokiandika kwenye barua ni vitu viwili tofauti.

Kwenye barua aliandika kwanza hela zizuiwe sababu serikali inakataza watoto walio pata mimba kuendelea na shule.Wakati ana ulizwa na Zuhura Yunus alijibu kwamba "zile hela zizuiliwe sababu zitatumika na CCM ktk kujenga vyuo ambavyo vinatumika na makada wa CCM" na aka sisitiza ushahidi anao.

Yaani mtu mmoja lkn ana badilika badilika,sasa kama ushahidi unao kwa nini husiuambatanishe huo kwenye barua mpaka utumie swala la mimba ili uzuie mkopo,wakati wizara yaelimu imetoa nafasi ya pili QT kwa mwanafunzi mwenye mimba kuendelea na masomo.

Haya swala jingine hili la Kabendera,mimi mwenyewe mwanzoni niliona kama hana hatia ,ila nilivyo soma hii thread nimekuja kugundua kuna baadhi ya WANASIASA,WANAHARAKATI na WAANDISHI wa habari wana amua kwa makusudi,kutumia hii huruma yetu kwao,kuharibu image ya nchi na kuhatarisha usalama na maslahi mapana ya nchi.

Najua humu mshaanza kumwita Habibu msukule wa Zitto,mnasahau kudiscuss hoja ambazo zime ambatanishwa na vielelezo vinavyo onyesha Kabendera alitakatisha fedha na ndio tatizo tulio kuwa nalo,hasa upinzani wakiguswa wana harakati au wanasiasa wa upinzani baada ya kujadili tuhuma zao,tunaanza kuwa kebehi wanao watuumu.
 
Kama maamuzi ya magufuli yana tija kwa nchi wananchi hawana shida. Sasa wewe unayeuliza kama ni nchi yake binafsi wewe kwani nchi hii yako? Yeye ni rais wananchi wamempa ridhaa kama unaona shida hama nchi
Jinga kweli wewe, unatoa majibu ya ki.pumbavu kwa hoja za msingi!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo. Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa. Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake. Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.

Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885. Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.

Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi. Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB.

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine. Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.

Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania. Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' . Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA
Ninakushauri Ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa. Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu. Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
HII HABARI AIIMHUSU KABENDERA NAONA UNHEANDIKA ZITTO KILANNIPITAPO ZITOO HUUYU ANGEBEBA MSALABA WA HII POST MKUU
 
Kama kweli upande wa mashtaka walikuwa na uthibitisho wote huo, ni nini kilichokuwa kinachelewesha hiyo kesi kuanza kusikilizwa mahakamani? kwanini kila siku story ilikuwa upelelezi bado unaendelea?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam swali zuri sana 👏👏👏
Japo naamini shida yao ni hizo hela kuliko kesi iendeshwe hukumu itoke then atumikie kifungo bora wamshawishi akiri wavute mpunga
 
Ujinga mzigo.
1. Kwanini mke wa Kabendera hakuwekwa mahabusu kwa makosa aliyofanya na Erick Kabendera?
2. Yaani accounts ifunguliwe 2016 halafu imeanza kuwekewa fedha 2015!! Hahaha
3. Kwani BRELLA hawakagui ofisi kabla ya cheti kutolewa?
4. Huu uzi ni hewa
Mkuu hapo ndipo huwa tunasema mtu kuwa na "akiliccm" inabidi ujivike ujuha na kujivua weledi... wenzake wanashangilia maana wamesoma heading pekee si vilivyoandikwa!!
 
Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Wewe ni mwandishi wa habari?

Kiasi kwamba hata taratibu za benki zinavyofanya kazi huzijui hata kidogo?

Stori ndeefu saaana yote inaishia kumlalamikia Zitto? Huyo Zitto ana'supernatural power' juu ya watu wengine wote?

Hivi waandishi wa habari nchi yetu hii, mbona mmekuwa watu msiotambua kitu? Yaani hata kuandika taarifa ya uongo ionekane kidogo inaweza kuaminika kwa msomaji pia hamuwezi?

Kunakili hamuwezi, kutunga stori za kuungaunga hamuwezi, ni kipi mnachoweza?
 
Panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo. Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa. Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake. Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.

Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885. Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.

Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi. Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB.

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine. Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.

Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania. Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' . Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA
Ninakushauri Ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa. Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu. Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Unaongea kana kwamba matamshi yako ndio sheria, yani Ujinga wakiwangu Cha juu mno.

Nilitegemea nitakuta nakala hata moja ya uthibitisho wa haya uliyoyaorodhesha hapa lakini unajifanya eti Kabendera alikiri.
Alikiri katika mazingira gani? Unaweza kuweka hapa ushahidi wa kukiri kwake?

Yani ukwepe Kodi ya zaidi ya milioni 300 ulipe fine ya laki mbili na nusu??

Alafu unajiita muandishi? Muandishi wa nini hasa? Maana hata muandishi wa kula matunda kimasihara Hana upunguani Kama huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kweli msemo wa "penye moshi.." una ukweli?
Ama kweli Leo nimeamini habari unapoisoma, msomaji anaamua yeye namna ya kuielewa kutokana na itikadi/mrengo wake.

Yani Ni Kama hapa habari hii haina uthibitisho wowote Ni muandishi anaandika kwa ku command msomaji aamini anachosema not otherwise. Kwamba hakuna haja yoyote ya uthibitisho wa nakala yoyote Bali maneno yake tu.

Na wewe umechagua fungu lako dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa shidaaa iko wspiii? Unajua alikua akifanyaaa biashara gani haduiii akaingiziwa hizio oesa?? Ungeeelezavsababu ya hizon pesa. Vinginevuo shut up

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Huyu kaflag ni mtu kama askari wa kukodishwa. Aliandikia gazeti la kibeberu the economics mambo wanayotaka kuhusu magufuli akijua kabisa ni uongo ili mradi analipwa. Alidiriki hadi kuomba jumuia ya kimataifa eti isaidie kumtoa magufuli madarakani. Magufuli tunu nyingine ya nchi kwa jinsi anavyoongoza nchi vizuri eti ang'olewe ni dikteta.
Alaamiwe kaflag na wapinga maendeleo wote kama zitto na tundulisu
Upumbavu kabisa huu mnatuletea enyi wapumbavu wa kizazi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga mzigo.
1. Kwanini mke wa Kabendera hakuwekwa mahabusu kwa makosa aliyofanya na Erick Kabendera?
2. Yaani accounts ifunguliwe 2016 halafu imeanza kuwekewa fedha 2015!! Hahaha
3. Kwani BRELLA hawakagui ofisi kabla ya cheti kutolewa?
4. Huu uzi ni hewa


Point namba one is very serious and inaharibu I halali wa andiko lote
 
Zitto anatafuta simple popularity wakati mwenzake yamemfika makubwa
Na hiyo ndiyo itakayommaliza.
Yaani leo hivi hajulikani anasimamia nini!?
Yaani serikali ikipita kushoto yeye atapita kulia. Serikali ikipita kulia yeye atapita kushoto.
Haitokei hatua akakiri huku mlikopita serikali hata mimi najua ndio njia sahihi.
Na alivyo fala anafikiri amefanikiwa kulaghai UMMA.
Asubiri tu wapiga kura watamjibu
We are not stupid.
Mnafikiri hizi stupid arguments zinasaidia!??
 
Mkiambiwa serikali ya kichawi na kishetani mnakataa.
Keep on asking babe! Ila huyu Kabendera ashukuru Mungu Serikali iliyopo madarakani ni ya Kidemokrasia na yenye kuzingatia Utawala Bora na Haki za Kibinadamu. Ningelikuwa mimi ndiye Mkulu wa Nji hii, Angelikuwa historia!!!
 
Back
Top Bottom