Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata hivyo atalipwa ndogo sana , hawa vodacom walishiriki ili auawe , kilichomuokoa ni kelele za Wazungu tu , angeuawa kabla ya kifo cha mama yakeHiyo pesa
2800 x 1 000 000= 2 800 000 000, B2.8ππ
Voda inawalindaje wateja 19m?Voda ana kadiriwa kua na wateja 19M nchi nzima
Endapo wateja 1,000,000 tu wata nunua vocha za jero (500) kwa siku 7 tu ako kapesa kana lipwa kwa M pesa ya kabenda chap
1M Γ 500 Γ 7
= 3,500,000,000
Si tliambiwa huu mtandao ni mali ya chama chetuMwandishi wa Habari, ERICK KABENDERA ameitaka Kampuni ya Simu ya VODACOM TANZANIA kumlipa USD 1,000,000 MILIONI ndani ya SIKU 14 kwa Kufanikisha kutekwa kwake mwaka 2019.
Amefanya hivyo kupitia kwa WAKILI wake Peter Madeleka.
View attachment 2974231
AY na Mwanafa waliuburuza matandao mmoja hapa nchini na walilipa, kuna watu wanajua haki zao chini ya mawakili wabobevuMgonjwa wa akili huyo
Kesi ya Kina AY na hii ni tofauti kabisa. Wao walidai kutumiwa kwa wimbo wao bila idhini yaoAY na Mwanafa waliuburuza matandao mmoja hapa nchini na walilipa, kuna watu wanajua haki zao chini ya mawakili wabobevu
Voda si kampuni ya hao hao?Mwandishi wa Habari, ERICK KABENDERA ameitaka Kampuni ya Simu ya VODACOM TANZANIA kumlipa USD 1,000,000 MILIONI ndani ya SIKU 14 kwa Kufanikisha kutekwa kwake mwaka 2019.
Amefanya hivyo kupitia kwa WAKILI wake Peter Madeleka.
View attachment 2974231
HahahaDola milioni moja inaandikwa
Usd 1m ( usd 1millmion ) sasa huyu amesema dola milioni 1. Halafu akaandika usd 1000,000 milioni. Yaani milioni ziwe milioni duuuu .
Watu wanadhani mzaha......ukisikia ukitazama ile kesi ya Ugaidi ya Mbowe ndio utajua Mitandao ya simu inatakiwa kuwa na Ulinzi imara kwa wateja wake.Mzaa mzaaa kabenderaa anaenda kulamba mabilion kama kina Mana FA..
Mwandishi wa Habari, ERICK KABENDERA ameitaka Kampuni ya Simu ya VODACOM TANZANIA kumlipa USD 1,000,000 MILIONI ndani ya SIKU 14 kwa Kufanikisha kutekwa kwake mwaka 2019.
Amefanya hivyo kupitia kwa WAKILI wake Peter Madeleka.
View attachment 2974231
Kwa akili na uelewa wako unadhani kakurupuka?Mgonjwa wa akili huyo
Naomba uweke yote iliyokamilika ili na sisi tuchambue ana kesi au anajisumbuslaMwandishi wa Habari, ERICK KABENDERA ameitaka Kampuni ya Simu ya VODACOM TANZANIA kumlipa USD 1,000,000 MILIONI ndani ya SIKU 14 kwa Kufanikisha kutekwa kwake mwaka 2019.
Amefanya hivyo kupitia kwa WAKILI wake Peter Madeleka.
View attachment 2974231
Ngoja tuone banaHaya wateja wa voda deni lenu Hilo mtalipa kupitia Gb zenu