Erick Kabendera ametupa yale tuliyopenda kuyasikia kuhusu Hayati Magufuli; yasitufanye tukashindwa endelea tafuta ukweli

Hata kama ni udikteta,ila hakuna mjinga anaweza kufanya kama alichoandika Erick kwamba alimteka na kumpeleka ikulu na kumpiga risasi mwenyewe...........kwa uelewa wangu dicteta anakuwa na watu wake wanaofanya hivyo movements
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
Pointi yako ni hipi!!! Khaa Kiswahili kumekuwa kigumu kuliko kidigo
 
Hata kama ni udikteta,ila hakuna mjinga anaweza kufanya kama alichoandika Erick kwamba alimteka na kumpeleka ikulu na kumpiga risasi mwenyewe...........kwa uelewa wangu dicteta anakuwa na watu wake wanaofanya hivyo movements
Sawa, ila bado ni assumption. Hazina nguvu ya kumpiga Kabendera knock out kwa taarifa aliyoandika.

TAL alipopigwa risasi kuna watu tulipata tabu kuamini kuwa ni kazi ya serikali sababu tunajua Serikali ikitaka kukuua haina sababu ya kutumia marisasi mengi yasiyo na shabaha ilihali ina wataalam wa kuua kwa risasi za mbali zenye shabaha. Lakini je, ni kweli serikali haikuhusika? Zinabaki kuwa assumption.
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
Una uhakika alichaguliwa????
 

Wahuni wamepewa hitaji la moyo wao. Sasa watalala milango waazi na usingizi mnono.
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
awamu ya kwanza unauhakika alishinda kwa kura nyingi? au ilifanyika funika kombe, umeyasahau ya Zecha Zanzibar?
 
"udumavu mkubwa sana wa akili" hili lina ka ukweli kiasi maana watu hawataki kupigania hali zao kama akina Eric na Lissu.

Bro mtu pekee ambaye naweza kumuelewa kwa kiasi ni TL. Lakini Kabendera ni mchumia tumbo ambaye anaweza kuiweka nchi rehani
 
No one Cares kama hutokisoma. Sisi wengine tutasoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…