Mwandishi anajulikana ni kibaraka wa mabeberu. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atahangaika naye.
Inajulikana Ulimwenguni Hayat Rais John Pombe Magufuli hakuwa mwanasiasa. Vilevile Inajulikana fika, Hayati J.P.M alikuwa ni KIONGOZI.
Kuna tofauti kati ya mtu Mwanasiasa anayetambulika kama kiongozi na wale wanaoitwa 'Kiongozi' kwa sababu tu ya cheo chake/vyeo vyao-mifano ni mingi sana.
Hatahivyo...
Historia yetu inaonyesha, Watanzania tumebarikiwa kuwa na watu wawili ambao wana stahaili kuitwa Viongozi iwe ni uongozi kwenye Elimu, Siasa, ama Lugha, na yote yanayohusiana na Uongozi.
Viongozi hao ni Marehemu Rais J.K Nyerere na Hayat Rais J. P. Magufuli. Period.
Vilevile, inajulikana Ulimwenguni, Viongozi wa Afrika waliotambulika huko nyuma na leo kama Viongozi-WALIULIWA na KUUWAWA(ASSASINATED) na MABEBERU. Kwasababu tu waliweza kuwaamsha wananchi wao ku ukataaa ubeberu(Hata Raisi ajaye Marekani anaukataa ama anaukana ubeberu) na wamejaribu kumuondoa ama sio?? Hakuna kipangamizi.
Haijalishi.
Mkuu, Sangudi, naafiki na kukubaliana na sentesi zako/maoni yako,
Kabendera anatumika kuuzima moto aliowasha Magufuli kamavile Nationalism, Fiscal Responsibility, Anti-Corruption in Governance, and Social Justice.. Ongeza zako.
Moto huu, unawaka, kuanzia Europa, Asia, Americas etc. moto huo unawaka. In essence, Magulification is Real.
Itoshe, kampeni za kumchafua Magufuli (smear campaign) ma Psycho Ops zinafanywa na mabeberu, pamoja na vibaraka wao kama Kabendera na Erythrocyte, Mshana JR na wengine wengi tu hapa JF. Hawatashinda KAMWE.
Ni kweli, hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atahangaika na Uongo, Uchafu, na siasa zingine za majitaka kuhusu "KIONGOZI" wetu Hayat Rais J.P.M(pumzika kwa amani kaka)