Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahiiHata kama ni udikteta,ila hakuna mjinga anaweza kufanya kama alichoandika Erick kwamba alimteka na kumpeleka ikulu na kumpiga risasi mwenyewe...........kwa uelewa wangu dicteta anakuwa na watu wake wanaofanya hivyo movements
Serikali hii haina wadunguaji wa mbali, ulishasikia wammdungua nani, utasikia alipigwa risasi akipambana na polisi, au alitaka kikimbia bahati mbaya akapigwa risasi ya mgongoni badala ya mguu, au wanakufata kama mzee KibaoSawa, ila bado ni assumption. Hazina nguvu ya kumpiga Kabendera knock out kwa taarifa aliyoandika.
TAL alipopigwa risasi kuna watu tulipata tabu kuamini kuwa ni kazi ya serikali sababu tunajua Serikali ikitaka kukuua haina sababu ya kutumia marisasi mengi yasiyo na shabaha ilihali ina wataalam wa kuua kwa risasi za mbali zenye shabaha. Lakini je, ni kweli serikali haikuhusika? Zinabaki kuwa assumption.
Mna ushahidi?Kama Magufuli alianza kuuwa watu kwa mikono yake tena Ikulu basi Samia anamzidi akili kwa kuua na kwenda kutupa kwenye mbuga za Wanyama ili Fisi wale mpaka mifupa.
Sativa na Kibendera.Mna ushahidi?
TrueSijakisoma na wala sitakisoma maana tayari kinaonekana kimebeba hisia za mtu ma tayari kimehakisi hasira na hatia za mtunzi wa kitabu.
Yaani ni sawa na unatumga kitabu kisa babako alikuchapa sana ukiwa chini ya himaya yake.
Unaenda huko kijijini kwenu (kwa babako) kwenda kufuatilia maisha yake kisa ni kumchafua sababu "alikuua" kwenye malezi yake, 😂 ahahahah!.
Bado naendelea kujifunza!.
Inajulikana Ulimwenguni Hayat Rais John Pombe Magufuli hakuwa mwanasiasa. Vilevile Inajulikana fika, Hayati J.P.M alikuwa ni KIONGOZI.Mwandishi anajulikana ni kibaraka wa mabeberu. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atahangaika naye.
Ukiambiwa magufili hakupandisha vyeo watumishi wa umma utabisha?Ukienda hospital ukiwa unachemka na kichwa kinauma ukiambiwa una malaria unapata relief shida imeonekana.
Ukienda kwa Mganga umefiwa mtoto mkawa mnamuhisi jirani na mganga akawaambia yule jirani asiye na mtoto ndiye kamuondoa mnapata nguvu mbaya wenu kajulikana.
Kitabu cha IN THE NAME OF THE PRESIDENT cha Erick Kabendera kimebeba majibu ya hisia za watu hivyo ni vyema hisia zikawekwa pembeni ni kujiridhisha kuhusu ukweli wake au uongo wake.
Kuweka kumbukumbu sawa katika historiaKuna kuwa na faida gani kumu ongelea mtu aliyekufa?
Kwanini nibishe ?Ukiambiwa magufili hakupandisha vyeo watumishi wa umma utabisha?