Erick Kabendera: John Magufuli alifukuzwa Katoke Seminary kutokana na uvutaji bangi, Walimu wake walisema alikuwa na matatizo ya akili

Erick Kabendera: John Magufuli alifukuzwa Katoke Seminary kutokana na uvutaji bangi, Walimu wake walisema alikuwa na matatizo ya akili

Bangi mbona hata masheikh,mapadre walimu na ma doctor wanavuta sana tu,labda ungeandika ulichokuwa unataka kuandika ila siyo Bangi
 
Na ilikuwaje mtu mwenye matatizo ya akili akawa mwalimu, mbunge, waziri then rais wa nchi?

Kabendera ni chizi tu aliyekatiza dozi, angekuwa sio chizi angesema... "wote waliowahi kuwa wenyeviti wa CCM kitaifa walikuwa na matatizo ya akili... Hata mwenyekiti wa sasa ana matatizo ya akili.."

Mwisho angekazia kwa kusema yeye ni chizi pia na wabongo wote ni machizi 😂😂
Ukimsoma katikati ya mistari unagundua ni mwanaharakati sawa na Maria Sarungi na wengine wa aina hiyo.
 
Acha uongo kenge maji wewe.
Toka enzi za kikwete watu walikua wakitekwa.
Toka enzi za Mkapa watu walikua walitekwa.
Unamjua Doctor Ulimboka wewe!?
Je alitekwa na Magufuli yule!?
Mnaropoka ropoka tu vitu msivyokua na uhakika navyo.
Kuhusu ubadhilifu wa uchaguzi mbona huzungumzii vifo alivyosababisha Mkapa kule Zanzibar wakati wa uchaguzi ili kuiweka CCM madarakani!?
Kwahiyo unakubaliana na mimi sio kuwa Magufuli alikuwa mtekaji, mzulumaji na alienda kwa samia na pajama akitaka kumbaka wakti huo akiwa makamu wake wa urais?
 
Si nimesoma humu viongozi wa kutoka bara ni wabaya,then wale wa upande ule ndio wazuri,sasa isiwe issue,
Pitisheni sheria viongozi watoke upande ule,nyinyi wabara mbaki kuongozwa si hamfai....hahaha!

Na uzuri mnajipigia debe hamfai,mnapochafua image ya viongozi wenu mnategemea nini,nachowapendea upande ule wanajua kuteteana balaa.

Sasa njoo upande huu,kusagiana kunguni tu.

Anyway mitano tena.
 
Ni Erick Kabendera tena! Akihojiwa na muandishi Ghassan kuhusu kitabu chake IN THE NAME OF THE PRESIDENT, amesema alifanya mahojiano na waalimu wa JPM pale Katoke Seminary, wakamwambia kwamba JPM alifukuzwa seminary kutona na uvutaji bangi, na utovu wa nidhamu uliosababisha kuvunja dirisha la shule..

Katika mahojiano hayo, Erick Kabendera amesema waalimu wa JPM walimueleza kwamba waliona JPM ana matatizo ya akili. Nenda huko YouTube utakuta mahojiano yao, mambo ya kuwela link sijayajua
View attachment 3191181
Kumechangamka sana, Dotto James hajaguswa mpaka sasa?
 
Kweli JPM hawezi sahaulika

Pamoja na kuwa mfu bado anazidi kuongelewa kila kukicha.
 
Bill Clinton alivuta, Kamila Mhindi Mjamaica alivuta,

Nyerere Naye alikuwa na Tatizo lakini alijuwa jinsi ya kuli mudu tatizo lake.

Na kiukweli Binadamu wengi wana matatizo Yao ya kiasili au kimaumbile, lakini wanajua jinsi ya kuyathibiti kwa namna fulani mapungufu yao
George Bush jr alivuta na Obama alivuta. It's not a big deal to smoke that thing.
 
Kwahiyo unakubaliana na mimi sio kuwa Magufuli alikuwa mtekaji, mzulumaji na alienda kwa samia na pajama akitaka kumbaka wakti huo akiwa makamu wake wa urais?

Dr. Kabendera katunfungua macho.

Yaani CCM pamoja na kumjua bado wakamkabidhi nchi kwa uriho wao wa madaraka. Kikwete na waliomshauri inabidi wawajibishwe
 
Kwahiyo unakubaliana na mimi sio kuwa Magufuli alikuwa mtekaji, mzulumaji na alienda kwa samia na pajama akitaka kumbaka wakti huo akiwa makamu wake wa urais?
Una ushahidi wa Magufuli kutaka kumbaka mama Samia!?
Utekaji na kashfa zingine za dhulma zinawezekana ashutumiwe Trump sembuse Magufuli!?
 
Bill Clinton alivuta, Kamila Mhindi Mjamaica alivuta,

Nyerere Naye alikuwa na Tatizo lakini alijuwa jinsi ya kuli mudu tatizo lake.

Na kiukweli Binadamu wengi wana matatizo Yao ya kiasili au kimaumbile, lakini wanajua jinsi ya kuyathibiti kwa namna fulani mapungufu yao
Obama walivuta but it was controlled. Wabongo wengi wanavuta but matokeo tofauti? Wanakosea wapi?
 
Moyo wangu una amani Sana juu ya Maisha ya JOHN POMBE MAGUFURI nasema haya kwa sababu ni aina ya watu wachache walio tuonyesha kua work must be done/ punda afe mzigo ufike. Waafrika wengi na watu weusi Wana ka uzembe ka kuzaliwa nako.

Hakua na longo longo ni mtu mwenye huruma na alituonyesha trela.. WATANZANIA wengi tunampenda/wanampenda Sanaa jamaa alikua jiwe kweli kweli/ chuma kweli kweli.. likitajwa jina lake mafisadi yanatetemeka..wapiga Dili wana jikojolea.. likitajwa jina la MAGUFURI WAZALENDO wanagonga cheers

NB.
Kabendera anacho kifanya binafsi nimejikuta na kerwa/ kasirika/ chukia/ je watu wa familia ya JPM/ wanajisikiaje/ watajisikiaje / haikubarik na huu upotoshaji... kabendera must pay for it.
Wewe unafikiri wazazi na ndugu wa Ben Saanane wanajisikiaje!? Yule mbwa alikuwa katili kweli.
 
"Magufuli is not Burundian"
My point is that Erick is Burundian and is being used by thugs to tarnish Magufuli's reputation, considering that Magufuli has already passed away and cannot defend himself!

I expected Samia to take strong action against Erick for spreading nonsense online."
Can Hitler defend himself!? If not, why is it a big deal when the dark side of magufuli is revealed!?
 
Back
Top Bottom