Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Kabisa. Mzee wetu Mohamed, Soca, Yule bwana mdogo wa kule Mbeya alichana picha amepotea mpaka leo... Hawa wameuawa na kiongozi mkristo. Akasema wanaleta drama. Kifo ni kifo tu.Ila viongozi wakristu nchi hii huwa washamba sana,yaani ubabe,udikteta koko nk,kuongoza kwenyewe hawawezi,wakikalia kiti sijui hujiona miungu watu!
Afadhali kikwete ilikuwa wakipona kifo anawagharamia matibabu 🤣🤣🤣Kwamba kibanda kipofu!?.. jakaya hakugharamia matibabu na kumsihi 'msiwachokoze'?!
Unatoa afadhali unaingiza potelea mbali.🤣🤣🤣Jiwe alikuwa mhuni hakuwa Shujaa Bora hata Kizimkazi
Habari za uchunguzi alizokuwa anaandika Kabendera sio siri za usalama wa taifa(state secrets), ni mambo ambayo yalikuwa yako katika public domain kabisa au kumuuliza tu mtu wa kawaida anayefanya kazi ndani ya serikali akakuambia, jambo la ziada labda kwa sababu yeye ni mwandishi habari mzuri kwa Kingereza ambazo zinaweza kusomwa duniani kote level ya Jenerali Ulimwengu ambao ni nadra sana kwa Tanzania ndio maana ilionekana jambo la ajabu na kubwa sana.Kabendera ni mwandishi wa habari, akawa anaandika taarifa za kiuchunguzi na kutafuta majarida ya nje aziuze, sio asaidie. Mtofautishe na yule mwandishi aliyefariki awamu ya Mwinyi aliyeandika kuhusu Loliondo kuuzwa, huyo alitaka kusaidia nchi.
Waandishi kama Kabendera kuna wanaotuma taarifa nje, kuna wanaopewa agenda kutoka nje waziandike kwa wasomaji wa ndani na wa nje. Mfano andika agenda ya ubaya wa bwawa la umeme linalojengwa, andika ubaya wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba linachafua mazingira (hii kandarasi walikuwa nayo Wakenya).
Snowden hakuwa spy, alikuwa contractor wa NSA na CIA kutokana na utaalamu wake. Akavujisha siri, akaiba data za serikali akashtakiwa, ila huwezi msikia analialia kumlalamikia Obama sababu alijua anachofanya. Kabendera yeye alijua kupokea miamala tu, kuhusu akigundulika hakutaja kujisumbua.
Na Soca yupo wapi na wenzie... Tupewe majibu kwa kweli.Ben saanane yuko wapi
Hasa akiwa hawezi kujitetea,Ni ngumu kumsema vizuri adui yako.
Ni hayo tu.
Habari za kuambiwa hizi. Hakushuhudia moja kwa moja ni upuuziNanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Ushuzi tu huu kumbafBalaa..wanadai ilipofika zamu,alimwaga samadi si mchezo,'kila nafsi itaonja mauti'-quran
Umeamini kirahisi rahisi kama demu anaekwenda kutiw.aHiyo ndo UBAYA UBWELA sasa Jiwe mwenyewe yuko wapi. Nadhani kabla hajafa huyo Jiwe ile picha ya hilo tendo ilikuwa inamjia
Umeamini kirahisi rahisi kama demu anaekwenda kutiw.a
Kuwateka watanzania kama huyu ni rahisi sana weka kitu kwenye maandishi wanaamini unawachota kirahisi kama mademu wa mbagalaInauma sana
Kama ni kweli, Jiwe ndo aliyemuuwa huyo jamaa
Damu yake na laana itaiandama familia ya Jiwe
Jamaa liongo kweli lipimbavuUongo.yaani magufuli ampige risasi yeye mwenyewe?haiwezekani na ni uongo kabisa.Bora angesema alikuawa na wasiojulikana angalau tungeamini na siyo kwamba magufuli mwenyewe eti alimpiga risasi Kwa mikono yake yenyewe.Kabendera acha uongo.Chuki zako za magufuli usimtungie uongo mzalendo wetu magufuli
Jamaa liongoJamaa ame andika kijumla jumla sana
Ushuzi mwingine huyu hapaJiwe alikuwa mhuni hakuwa Shujaa Bora hata Kizimkazi
Basi unachekelea utadhani ni ukweli. Hizi ndio akili zilizopo cdm ndio maana chama kinakufaKila Ubaya utalipwa
Mimi apa nasubiria miezi 4 ipite kitakuwepo pirateKipo amazon dola 18 tu braza.
Nimekitamani ila kwa sisi pirates sijui tunakipataje
Jiwe yuko wapi leo?Basi unachekelea utadhani ni ukweli. Hizi ndio akili zilizopo cdm ndio maana chama kinakufa
Liwati=kifiroSikumbuki jina,nilisoma pahali liwati ilihusika,akasimangwa kisha manati ya mzungu ikafanya kazi
Ukimaliza nipasie mkuuyeye anauzaje kitabu $18.85/ $12 kindle wakati anajua sisi uwezo wetu ni $2/siku?
niko hapa nakipirate na nitakiweka hapa kwa faida ya members.
diaspora wenye hela kina Maghayo watanunua.